Pre GE2025 Lissu athibitisha kuandika barua ya kugombea Urais, asema CCM wameweka fedha katika Akaunti yake, tatizo liko wapi?

Pre GE2025 Lissu athibitisha kuandika barua ya kugombea Urais, asema CCM wameweka fedha katika Akaunti yake, tatizo liko wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
LISSU: NIMEANDIKA BARUA YA KUTIA NIA KUWANIA URAIS WA NCHI KUPITIA CHADEMA
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema ameshaandika barua ya kutia nia ya kuwania nafasi ya Mkamu wa Rais wa CHADEMA nafasi anayoishikilia kwa sasa pamoja na nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia chama chake.

Amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha Crown FM, Agosti 16, 2024, ameongeza kuwa “CHADEMA hakuna mkanganyiko, ni joto la uchaguzi, hizo ni kelele za kawaida kabisa, nimeshawasilisha barua mbili wala hakuna cha kuficha.”

LISSU: CCM WAMENICHANGIA, WAMEPELEKA BENKI, SHIDA IKO WAPI?
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), #TunduLissu amekiri kuwa risiti ya Benki inayoonesha fedha zilizochangwa na Wanachama wa CCM kwa ajili ya kumnunulia gari, vina jina lake na Namba ya Akaunti yake ya benki.

Amesisitiza kuwa wakati wanaomba achangiwe kupata gari hawakuweka masharti ya watu wa kuwachangia, amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha Crown FM, Agosti 16, 2024, na kusisitiza kuwa amechangiwa na Wana-CCM wengi anaowafahamu na ambao hawafahamu.

 

Tundu Lissu will die one day a frustrated man but not as a former president of Tanzania.

Nahakikisha Tundu hawezi kuwa Rais. Wanaopata uRais wa Tanzania siyo wa haiba kama ya kwake au wanaopania kwa udi na uvumba kuwa maRais wa Tz.

Yeye amepewa nafasi ya pili ya kuishi baada ya Magufuli na Makonda kutaka kumuua, amshukuru Mungu tu. Ila Urais kwake ni maji marefu
 

Nafikiri Bw. Tundu Lissu, CHADEMA, pamoja na wanachama wengine wa vyama vya Siasa hususani wapinzani kwa sasa hivi wajikite zaidi Kupigania upatikanaji wa Katiba Mpya itakayokuwa nzuri. Waachane na haya mambo ya kutaka kugombea vyeo, wafikirie suala la kubadilishwa kwa Katiba ya nchi kwanza ndipo masuala mengine yafuatie.

Tundu Lissu anataka kugombea Urais kwa kupitia kwenye Katiba ipi ambayo anafikiri kwamba atatangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi endapo kama atapata kura nyingi zaidi? Kwa sababu Katiba iliyopo hivi sasa hairuhusu jambo hili kufanyika. TAL Atakuwa anajisumbua nafsi yake bure na kupoteza wakati wake na rasilimali zake bure kabisa. Kwa Katiba hii iliyopo hapa Tanzania hata kama atapata Kura kwa Asilimia 99 ya Kura zote kabisa za Wagombea wa Kiti Cha Urais, KAMWE hataweza kutangazwa kuwa ni Mshindi wa Uchaguzi kwa kiti Cha Urais. Badala yake Mgombea wa CCM ndiye atakayetangazwa kuwa ni Mshindi.
 


LISSU: NIMEANDIKA BARUA YA KUTIA NIA KUWANIA URAIS WA NCHI KUPITIA CHADEMA
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema ameshaandika barua ya kutia nia ya kuwania nafasi ya Mkamu wa Rais wa CHADEMA nafasi anayoishikilia kwa sasa pamoja na nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia chama chake.

Amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha Crown FM, Agosti 16, 2024, ameongeza kuwa “CHADEMA hakuna mkanganyiko, ni joto la uchaguzi, hizo ni kelele za kawaida kabisa, nimeshawasilisha barua mbili wala hakuna cha kuficha.”

LISSU: CCM WAMENICHANGIA, WAMEPELEKA BENKI, SHIDA IKO WAPI?
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), #TunduLissu amekiri kuwa risiti ya Benki inayoonesha fedha zilizochangwa na Wanachama wa CCM kwa ajili ya kumnunulia gari, vina jina lake na Namba ya Akaunti yake ya benki.

Amesisitiza kuwa wakati wanaomba achangiwe kupata gari hawakuweka masharti ya watu wa kuwachangia, amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha Crown FM, Agosti 16, 2024, na kusisitiza kuwa amechangiwa na Wana-CCM wengi anaowafahamu na ambao hawafahamu

Yajao yanafurahidha,kidogo kidogo itaonekana kumbe kuwa CHADEMA au CCM hakuondoi utanzania wetu,ndicho tunataka,tunajenga nyumba Moja,fito ni fito tu,iwe ya CDM au CCM,eti Mume awe CDM na mke awe CCM iwe sababu ya Talaka,Watanzania tutumie mabraini wetu kujenga Nchi yetu.tuachane na wale jamaa wa sisi tunafanyaga hivi toka kale hadi leo.
 
Hitaji la sasa ni Katiba mpya na kufanya kura ya maamuzi kuhusu muundo wa Muungano. Lissu kujinadi sasa kugombea kiti cha urais ni uthibitisho wa uchu wa madaraka ya kushika Dola wakati akijua kuwa nchi imejengwa kwenye misingi mibovu ambayo tiba yake ni kuwa na Katiba mpya.

Nawashauri wapinzani wote wasikubali kushiriki uchaguzi mkuu wa 2025 bila kuwa na Katiba mpya maana hata akishinda yeye Lissu bado tutamdai Katiba mpya.
Huu uchaguzi wa Serikali za mitaa wanaweza kushiriki ili kupata watendaji lakini uchaguzi mkuu hapana!.

Samia na chama chake cha CCM aendelee hadi 2030 wakati tukishughulikia Katiba mpya na referendum.... Hiyo ndio njia sahihi ya kufuata.
 
Katib ya CHADEMA haina nafasi ya Makamu wa Rais wa chama.

Huyu Lissu kachanganyikiwa
 
Ujinga mtupu hamna atayechagua raia wa ubelgiji kuwa rais wa Tanzania
Kutokana na hali halisi mbaya kabisa iliyopo hapa nchini Tanzania kwa Sasa, hata kama atajitokeza mtu Raia wa nchi nyingine yoyote ile hapa duniani ambaye Watanzania tunaamini kwa dhati kabisa kwa 100% kuwa atatufanyia mambo mema, ataweza kuongoza nchi hii vizuri na ataweza kutupatia Katiba ya nchi iliyo nzuri na Bora, basi Watanzania tulio wengi ambao wenye moyo safi na tulio na mapenzi mema na nchi hii hatutakuwa na Pingamizi lolote lile la kumpatia cheo Cha u-Rais mtu huyo. Ni lazima tutampatia kazi ya u-Rais hata kama siyo Raia wa nchi hii.

"Bora Shetani mkweli, mtenda mema na anayetimiza ahadi zake kuliko Malaika ambaye ni Muovu, mhalifu, muongo-muongo na asiyetimiza ahadi."

Aidha, 'tumekuwa tukitendewa mambo mema na wale Watu wanaoitwa kuwa ni WABAYA, lakini pia tumekuwa tufanyiwa mambo mabaya Sana na wale Watu wanaojiita kuwa ni Wazuri na wema.'
 
Ujinga mtupu hamna atayechagua raia wa ubelgiji kuwa rais wa Tanzania
Tupo wengi tu tutampa KURA ya ndio.

Yaani wewe unajua sana Lissu ni raia wa Ubelgiji umewashida hadi watu wa usalama??
Wewe ni mkewe au nani? Maana wengi tunajua ni mtanzania mwenzetu.!!
 


LISSU: NIMEANDIKA BARUA YA KUTIA NIA KUWANIA URAIS WA NCHI KUPITIA CHADEMA
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema ameshaandika barua ya kutia nia ya kuwania nafasi ya Mkamu wa Rais wa CHADEMA nafasi anayoishikilia kwa sasa pamoja na nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia chama chake.

Amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha Crown FM, Agosti 16, 2024, ameongeza kuwa “CHADEMA hakuna mkanganyiko, ni joto la uchaguzi, hizo ni kelele za kawaida kabisa, nimeshawasilisha barua mbili wala hakuna cha kuficha.”

LISSU: CCM WAMENICHANGIA, WAMEPELEKA BENKI, SHIDA IKO WAPI?
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), #TunduLissu amekiri kuwa risiti ya Benki inayoonesha fedha zilizochangwa na Wanachama wa CCM kwa ajili ya kumnunulia gari, vina jina lake na Namba ya Akaunti yake ya benki.

Amesisitiza kuwa wakati wanaomba achangiwe kupata gari hawakuweka masharti ya watu wa kuwachangia, amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha Crown FM, Agosti 16, 2024, na huu kusisitiza kuwa amechangiwa na Wana-CCM wengi anaowafahamu na ambao hawafahamu

Makamu mwenyekiti wa chadema na siyo makamu rais wa chadema je ulitaka uwakilishe hivyo
 
Tundu Lissu will die one day a frustrated man but not as a former president of Tanzania.

Nahakikisha Tundu hawezi kuwa Rais. Wanaopata uRais wa Tanzania siyo wa haiba kama ya kwake au wanaopania kwa udi na uvumba kuwa maRais wa Tz.

Yeye amepewa nafasi ya pili ya kuishi baada ya Magufuli na Makinda kutaka kumuua, amshukuru Mungu tu. Ila Urais kwake ni maji marefu
Makinda au Makonda?
 
Hitaji la sasa ni Katiba mpya na kufanya kura ya maamuzi kuhusu muundo wa Muungano. Lissu kujinadi sasa kugombea kiti cha urais ni uthibitisho wa uchu wa madaraka ya kushika Dola wakati akijua kuwa nchi imejengwa kwenye misingi mibovu ambayo tiba yake ni kuwa na Katiba mpya.

Nawashauri wapinzani wote wasikubali kushiriki uchaguzi mkuu wa 2025 bila kuwa na Katiba mpya maana hata akishinda yeye Lissu bado tutamdai Katiba mpya.
Huu uchaguzi wa Serikali za mitaa wanaweza kushiriki ili kupata watendaji lakini uchaguzi mkuu hapana!.

Samia na chama chake cha CCM aendelee hadi 2030 wakati tukishughulikia Katiba mpya na referendum.... Hiyo ndio njia sahihi ya kufuata.
hajajinadi, alikuwa akijibu maswali

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Back
Top Bottom