Uchaguzi 2020 Lissu atolea ufafanuzi kuitwa kwenye tume ya Maadili

Uchaguzi 2020 Lissu atolea ufafanuzi kuitwa kwenye tume ya Maadili

Ni aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.

Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?

Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?

Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.

Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.
Lissu anafanya kampeni na kutoa elimu ya uraia,Mgombea wa CCM yeye anafokea wananchi na kutoa maagizo hewa
 
Ni aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.

Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?

Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?

Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.

Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.
Nilijuwaga unaakili kumbe na wewe Ni walewale
 
Lisu hana cha kupoteza na baada ya uchaguzi watamuwinda kila mahala ambapo riziki yake inapatikana lengo tu kumkomoa, ila watanzania tushukuru kumpata Tundu Lisu ambaye amejitoa muhanga kutusemea watanzania hasa kipindi hiki cha Magufuri ambapo hakuna Uhuru wa kutoa maoni, nimejikuta najuta kwann sikuwahi kufikiria kusoma sheria,

Hongera sana muheshimiwa kabisa Tundu Antipas Lisu, siku ukiondoka watu ndio watajua umuhimu wako
 
Ni aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.

Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?

Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?

Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.

Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.

Umetazama na kuisikiliza hiyo video?

Umeelewa?

Ni ishu ya utaratibu tu na kamwe siyo kulifanya tatizo lake kuwa la wananchi...

Kama NEC wana tatizo na Lissu, ni rahisi tu. WAFUATE UTARATIBU WA KISHERIA waliyoitunga wenyewe....!

Kuumia kwako nadhani ni kwa sababu anelitolea ufafanuzi mbele ya umati wa maelfu ya wananchi...

Kama ndivyo, unaweza kutuambia kama kuna kosa lolote kisheria kufanya hivyo?

Obviously, jibu ni HAKUNA..!

By the way, wananchi ndiyo mahakama kuu na ya rufaa vilevile. Hiyo ndiyo maana halisi ya PEOPLE'S POWER...!!
 
Lisu hana cha kupoteza na baada ya uchaguzi watamuwinda kila mahala ambapo riziki yake inapatikana lengo tu kumkomoa, ila watanzania tushukuru kumpata Tundu Lisu ambaye amejitoa muhanga kutusemea watanzania hasa kipindi hiki cha Magufuri ambapo hakuna Uhuru wa kutoa maoni, nimejikuta najuta kwann sikuwahi kufikiria kusoma sheria,

Hongera sana muheshimiwa kabisa Tundu Antipas Lisu, siku ukiondoka watu ndio watajua umuhimu wako

Kushinda TUNDU LISSU ktk uchaguzi huu is not an option. Is a guarantee. Ni lazima...

Ni hivi Edward Lowassa (CHADEMA) alishinda uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kura zaidi ya million 12 huku Magufuli (CCM) akiambulia kura zisizozidi milini 3...

NEC wakatumia njia na mbinu zao kutengeneza matokeo yao mengine tu tofauti na yaliyopokelewa toka vituo vya kupigia kura....

Wakabadilisha matokeo na kuoneokana Magufuli (CCM) ameshinda kwa kura milioni 8+ dhidi ya milion 6+ za Lowassa (CHADEMA). Chapchap wakatangaza na ngoma ikaishia hapo...

This time kila mlango wa wizi na uchakachuaji kura ulishaonekana na kudhibitiwa na kufungwa kabisa. They have no any other option at all...

The only RISKY and DANGEROUS OPTION they have, ni kutumia nguvu ya bunduki na risasi kumshindisha Magufuli. Hawana option nyingine. Kwenye Ballot Box, absolutely CCM HAWANA CHAO. MAGUFULI HANA CHAKE....!!!

Na kitendo cha kubadilisha matokeo ama kumpa ushindi kwa nguvu tu huyu dikteta Magufuli (CCM) dhidi ya ushindi wa Tundu Lissu (CHADEMA), itakuwa ndiyo mwisho wa CCM na huyu mtu wao aitwaye Magufuli....!!
 
Kwani mkurugenzi wa NEC kwa mujibu wa katiba anapaswa kuwa na sifa gani? Nauliza tu,I know magu ana phD ya kuokota watu majalalani

Tume inaundwa na Wajumbe saba (7), miongoni mwao wakiwemo Mwenyekiti na

Makamu Mwenyekiti ambao wanapaswa kuwa na sifa ya Jaji wa Mahakama Kuu au

Mahakama ya Rufani. Katika Uteuzi, Rais anazingatia kuwa endapo Mwenyekiti ni

mtu anayetoka sehemu moja ya Muungano, Makamu wake atakuwa ni mtu

anayetoka sehemu ya pili ya Muungano. Hii, ni kwa mujibu wa Ibara ya 74(1) na (2)

ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, na Kifungu cha

4(1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.



Aidha, Mjumbe mmoja anateuliwa kutoka miongoni mwa Wanachama wa Chama cha

Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) na Wajumbe wengine

wanne (4) wanatakiwa wawe na uelewa wa kutosha kuhusiana na kusimamia na

kuendesha Uchaguzi wa Wabunge au sifa nyingine kama ambavyo Rais wa Jamhuri

ya Muungano atakavyoona inafaa kwa ajili ya kuendesha shughuli za Tume.
 
Tume inaundwa na Wajumbe saba (7), miongoni mwao wakiwemo Mwenyekiti na

Makamu Mwenyekiti ambao wanapaswa kuwa na sifa ya Jaji wa Mahakama Kuu au

Mahakama ya Rufani. Katika Uteuzi, Rais anazingatia kuwa endapo Mwenyekiti ni

mtu anayetoka sehemu moja ya Muungano, Makamu wake atakuwa ni mtu

anayetoka sehemu ya pili ya Muungano. Hii, ni kwa mujibu wa Ibara ya 74(1) na (2)

ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, na Kifungu cha

4(1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.



Aidha, Mjumbe mmoja anateuliwa kutoka miongoni mwa Wanachama wa Chama cha

Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) na Wajumbe wengine

wanne (4) wanatakiwa wawe na uelewa wa kutosha kuhusiana na kusimamia na

kuendesha Uchaguzi wa Wabunge au sifa nyingine kama ambavyo Rais wa Jamhuri

ya Muungano atakavyoona inafaa kwa ajili ya kuendesha shughuli za Tume.
Huyu mkurugenzi ana sifa ya ujaji? Au sifa zake anazijua aliyemteua tu?
 
Tume inaundwa na Wajumbe saba (7), miongoni mwao wakiwemo Mwenyekiti na

Makamu Mwenyekiti ambao wanapaswa kuwa na sifa ya Jaji wa Mahakama Kuu au

Mahakama ya Rufani. Katika Uteuzi, Rais anazingatia kuwa endapo Mwenyekiti ni

mtu anayetoka sehemu moja ya Muungano, Makamu wake atakuwa ni mtu

anayetoka sehemu ya pili ya Muungano. Hii, ni kwa mujibu wa Ibara ya 74(1) na (2)

ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, na Kifungu cha

4(1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.



Aidha, Mjumbe mmoja anateuliwa kutoka miongoni mwa Wanachama wa Chama cha

Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) na Wajumbe wengine

wanne (4) wanatakiwa wawe na uelewa wa kutosha kuhusiana na kusimamia na

kuendesha Uchaguzi wa Wabunge au sifa nyingine kama ambavyo Rais wa Jamhuri

ya Muungano atakavyoona inafaa kwa ajili ya kuendesha shughuli za Tume.
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.

Babymama cariha , pls join me
 
Hivi huyu Mkurugenzi wa NEC anasoma Kanuni kweli???

Uchaguzi ni mchakato ambao kila hatua imeainishwa kwenye sheria, Kanuni, taratibu na miongozo.

Yaani hakuna jambo lolote linalohusiana na uchaguzi ambalo halijatajwa na sheria.

Kwa hiyo, inashangaza inakuwaje NEC inatenda baadhi ya mambo kinyume na sheria, au pengine wanafanya nakusudi au hawana hela na au hizo sheria hawana kopi zake
Maagizo kutoka juu kwa Mhutu yanawachanganya Mpaka wanasahau sheria na kanuni .
 
Back
Top Bottom