Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #41
Kama mlalamikaji ni Tume nani atafanya maamuzi endapo Mgombea atakutwa na hatia?
..nilitegemea mlalamikaji awe CCM na Tume isikilize hoja za pande zote na kufanya maamuzi...hii Nchi ina maajabu sana.
Lissu anafanya kampeni na kutoa elimu ya uraia,Mgombea wa CCM yeye anafokea wananchi na kutoa maagizo hewaNi aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.
Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?
Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?
Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.
Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.
AhahahaHahaaa! Yaani tume wanapewa maelekezo na mgombea nini wanatakiwa kufanya, Inasikitisha sana....
Kama vile sio rizikNikiangalia hako kajamaaa kalivyoweka mkono na kichwa hicho Yani na [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mwalim wa sheria ukisikia msomi wa sheria ndio huyu sasaNa mpaka hapo LISSU wamemuongezea umaarufu,kuwa anajua sheria zaidi kuliko Mijitu ya Tume,hivyo Hali hi itauongezea mamilioni ya kura.
Nasema hivi Lisu Ni mbabe wa sheria.
Hahahahaha!!!!Mnamuhangaisha huyu mpiga kampeni wa Tume ya uchaguzi kwa kweli, hadi huruma!
View attachment 1583780
Yakweli hayaDr Mahela ni mbobezi wa masuala ya Hesabu, sasa hesabu na sheria wapi na wapi.
Labda atatumia hesabu zake kuiba kura ambazo zitamtokea puani
Mahera alikuwa mwl wangu UdsmYakweli haya
Mnamuhangaisha huyu mpiga kampeni wa Tume ya uchaguzi kwa kweli, hadi huruma!
View attachment 1583780
Nilijuwaga unaakili kumbe na wewe Ni walewaleNi aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.
Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?
Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?
Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.
Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.
Kwa hiyo upo vizuri...kwenye " derivatives and partial derivatives of functions of complex numbers "...Ha ha ha haaa!!!Mahera alikuwa mwl wangu Udsm
Ni aibu kwa mwanasheria nguri anayetaka kuwa kiongozi mkuu wa nchi kutumia jukwaa la kisiasa kwa matatizo yake mwenyewe.
Nimemsikia Lissu akiwasomea wananchi, kwenye kampeni yake ya Urais wa JMT, vifungu kutoka kwenye kitabu cha MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020 (Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343) kuhusu kuitwa kwake na Tume. Yeye mwenyewe, kwa mdomo wake, ameituhumu Tume na anatakiwa aende kutoa ushahidi. Je, wananchi ndio mashahidi wake au baraza la wazee wa mahakama?
Lissu asiweweseke kutaka kufanya kosa lake liwe la kiasa. Je, akifanikiwa kuwa Rais ataacha watu wafanye wanavyotaka?
Kwa jinsi alivyojipambanua ya kuwa ni jasiri wa dharau, ni dharau hiyo hiyo atawashushia walio chini yake.
Hakika atapata kura za wanachama wa CHADEMA wasiojitambua.
Lisu hana cha kupoteza na baada ya uchaguzi watamuwinda kila mahala ambapo riziki yake inapatikana lengo tu kumkomoa, ila watanzania tushukuru kumpata Tundu Lisu ambaye amejitoa muhanga kutusemea watanzania hasa kipindi hiki cha Magufuri ambapo hakuna Uhuru wa kutoa maoni, nimejikuta najuta kwann sikuwahi kufikiria kusoma sheria,
Hongera sana muheshimiwa kabisa Tundu Antipas Lisu, siku ukiondoka watu ndio watajua umuhimu wako
Kwani mkurugenzi wa NEC kwa mujibu wa katiba anapaswa kuwa na sifa gani? Nauliza tu,I know magu ana phD ya kuokota watu majalalani
Huyu mkurugenzi ana sifa ya ujaji? Au sifa zake anazijua aliyemteua tu?Tume inaundwa na Wajumbe saba (7), miongoni mwao wakiwemo Mwenyekiti na
Makamu Mwenyekiti ambao wanapaswa kuwa na sifa ya Jaji wa Mahakama Kuu au
Mahakama ya Rufani. Katika Uteuzi, Rais anazingatia kuwa endapo Mwenyekiti ni
mtu anayetoka sehemu moja ya Muungano, Makamu wake atakuwa ni mtu
anayetoka sehemu ya pili ya Muungano. Hii, ni kwa mujibu wa Ibara ya 74(1) na (2)
ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, na Kifungu cha
4(1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.
Aidha, Mjumbe mmoja anateuliwa kutoka miongoni mwa Wanachama wa Chama cha
Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) na Wajumbe wengine
wanne (4) wanatakiwa wawe na uelewa wa kutosha kuhusiana na kusimamia na
kuendesha Uchaguzi wa Wabunge au sifa nyingine kama ambavyo Rais wa Jamhuri
ya Muungano atakavyoona inafaa kwa ajili ya kuendesha shughuli za Tume.
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.Tume inaundwa na Wajumbe saba (7), miongoni mwao wakiwemo Mwenyekiti na
Makamu Mwenyekiti ambao wanapaswa kuwa na sifa ya Jaji wa Mahakama Kuu au
Mahakama ya Rufani. Katika Uteuzi, Rais anazingatia kuwa endapo Mwenyekiti ni
mtu anayetoka sehemu moja ya Muungano, Makamu wake atakuwa ni mtu
anayetoka sehemu ya pili ya Muungano. Hii, ni kwa mujibu wa Ibara ya 74(1) na (2)
ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, na Kifungu cha
4(1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.
Aidha, Mjumbe mmoja anateuliwa kutoka miongoni mwa Wanachama wa Chama cha
Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) na Wajumbe wengine
wanne (4) wanatakiwa wawe na uelewa wa kutosha kuhusiana na kusimamia na
kuendesha Uchaguzi wa Wabunge au sifa nyingine kama ambavyo Rais wa Jamhuri
ya Muungano atakavyoona inafaa kwa ajili ya kuendesha shughuli za Tume.
Maagizo kutoka juu kwa Mhutu yanawachanganya Mpaka wanasahau sheria na kanuni .Hivi huyu Mkurugenzi wa NEC anasoma Kanuni kweli???
Uchaguzi ni mchakato ambao kila hatua imeainishwa kwenye sheria, Kanuni, taratibu na miongozo.
Yaani hakuna jambo lolote linalohusiana na uchaguzi ambalo halijatajwa na sheria.
Kwa hiyo, inashangaza inakuwaje NEC inatenda baadhi ya mambo kinyume na sheria, au pengine wanafanya nakusudi au hawana hela na au hizo sheria hawana kopi zake