Lissu atuhumu wabunge kuhongwa, waandishi walipewa 6m na DP World

Lissu atuhumu wabunge kuhongwa, waandishi walipewa 6m na DP World

Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari kuhusu Mkataba wa Bandari, amesema

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"


Mungu atusaidie tufike salama tuendako
 
Tumeshindwa kulinda rasilimali zetu
Mbuga Loliondo tumeuza Gesi Mtwara tumeshindwa Bandari tumeshindwa kunisimamia Basi Nchi tuwarudishie Wakoloni wakati tuanze kujiandaa upya kupata Uhuru wa kutawala Malizetu
 
Mpina anasemaje kuhusu hii issue ya DP mbona sijamsikia?
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari kuhusu Mkataba wa Bandari, amesema

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Tatizo la wabongo hasa wabunge wetu na watawala wanawaza Leo na siyo kesho na jingine izi elimu za kupeana tu ( PhD ) zifutwe tu kunawatu mpaka aibu . Mimi so mwanasheria ila wako wanasheria wengi wenye uwezo wa kusaidia serikali hii . Mimi nimepita Kwa Net tu nikagundua Hawa jamaa washakataliwa marekani huko Sababu ya matakwa( condition of contract) yanakuwa magumu ukipitia vizuri mkataba unagundua wao ndo watamiliki aridhi yote ya hamjui ya muungano wa Tanzania. Yaani bara na visiwani ukiongeza na anga pia. NB: so Kwa ubaya ila wabunge waloenda Dubai hawakuhongwa ila walikuwa na ushamba Kwa lugha ya mtaani walishangaa mitambo tu hawakujua uzito wa mkataba walivyokuja hata uwaeleze vipi wanataswila ya kule wanakuona msaliti , Sawa na kijana wa hovyo ukimwambia mwanamke anatabia mbaya huku yeye sura na shape vishamuingia kichwani mtauana bure
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari kuhusu Mkataba wa Bandari, amesema

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

 
Tatizo la wabongo hasa wabunge wetu na watawala wanawaza Leo na siyo kesho na jingine izi elimu za kupeana tu ( PhD ) zifutwe tu kunawatu mpaka aibu . Mimi so mwanasheria ila wako wanasheria wengi wenye uwezo wa kusaidia serikali hii . Mimi nimepita Kwa Net tu nikagundua Hawa jamaa washakataliwa marekani huko Sababu ya matakwa( condition of contract) yanakuwa magumu ukipitia vizuri mkataba unagundua wao ndo watamiliki aridhi yote ya hamjui ya muungano wa Tanzania. Yaani bara na visiwani ukiongeza na anga pia. NB: so Kwa ubaya ila wabunge waloenda Dubai hawakuhongwa ila walikuwa na ushamba Kwa lugha ya mtaani walishangaa mitambo tu hawakujua uzito wa mkataba walivyokuja hata uwaeleze vipi wanataswila ya kule wanakuona msaliti , Sawa na kijana wa hovyo ukimwambia mwanamke anatabia mbaya huku yeye sura na shape vishamuingia kichwani mtauana bure
Kwahiyo walilipiwa nauli tu kisha wakajitegemea kwa mishahara yao kununua zawadi za kurudi nazo! Hongo inatekelezwa kwa njia au namna nyingi sana, kuwapeleka huko kutalii ni hongo pia, kuwapa dola posho ya safari nje ya nchi bila kazi maalumu ni hongo pia, kuwakarimu kwa chakula, malazi na pesa ya soda ni hongo pia, si vizuri kutetea uhalifu ambao hauna tija.
 
Mungu Ibariki Tanzania!
Eee Mungu eeh, Ibariki Tanzania! Njoo huku!

CCM must go!

Pamoja na kuwa mkataba unawapa nyenzo na mamlaka Kampuni ya watu binafsi kuilazimisha Serikali ya Tanzania kufanya maamuzi magumu kama ya 'kuwataarifu' kuhusu hatua zezote zile Serikali itakayochukua, yaani....

Tanzania itaijulisha DPW juu ya fursa zozote zilizopo, na zitakazokuwepo sasa na baadae.

Basi,sasa Wananchi nao kwa sauti moja, watoe na kuitaarifu CCM, kuwa nao, Wananchi watafanya maamuzi magumu na kuwapa taarifa kuwa CCM hawatachagilika hapo baadae.

Sasa, kwa muktadha huo, itakuwa sahihi kwa Wananchi wote waendelee kudumisha amani na utulivu, umoja na mshikamano, kwa kulinda Katiba.....na maadili na utamaduni zetu na rasilimali zetu kuwajulisha chama cha mapinduzi, kuwa fursa zezote zile walizobakiwa nazo na fursa zezote zile zitakazo kuwepo hapo baadae, kuwa, itawa taarifu Umma/Wananchi, kuwa ifikapo Tarehe itakayotangazwa na uwepo wa Uchaguzi, kuwa, kama Chama kilichopo madarakani, kuwa, kitatota taarifa kuwa Chama kipigiwe kura iwapo tu, kilisharudisha Mkataba bungeni ujadiliwe kwa mapana na marefu, kwamba, kimeondoa vipengele tajwa na tata katika mkataba unaojadiliwa na mijadala yote nchini, na kuwa pia,kitaondoa wingu, jinamizi, laana , shetani, tandabuli la na hofu, waliouleta na kwa, manufaa ya Nchi na Wananchi wake, kuwa, limerudisha matumaini na matamanio ya wananchi kwa Serikali yake, kuwa, kinyume na hayo, kuwa, Mkataba wake na Wananchi utakoma kwa njia ya Kura.

Kwamba, Wananchi watapiga kura yao na kuwaondoa wote waliohusika kwa namna moja au nyingine kuchagiza mkataba hovyo kutokea Nchini kutoka madarakani.

Chagua kwa Uangalifu na Umakini mkubwa 2025.
Amani ikutandae
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari kuhusu Mkataba wa Bandari, amesema

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"


Lissu ni kimeo.
 
MTU KUHONGWA HAITUSAIDII LOLOTE, WATANZANIA WANATAKA MKATABA ULIO BORA NA SALAMA KWA SIKU ZIJAZO!,
Aliongwa au la, how could this help? Bogus!

Watanzania ukiwajaza upepo, hata tafakari inahama sijui wapoje wapoje!
 
Kuhongwa Ili uandike vizuri Kuna shida gani,mbona wao Huwa wanawahonga bodaboda Ili wajae kwenye mikutano Yao?
Madalali ya samia na warabu wauza watumwa yamejazwa jf kutetea udalali wa kuuzwa bandari, kwa taarifa yenu nyie madalali tutawanyoosha mpaka akili ziwarudi.
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari kuhusu Mkataba wa Bandari, amesema

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

La wanadishi kuhongwa sina shaka nalo kabisa,
 
Back
Top Bottom