Pre GE2025 Lissu: Baada ya uchaguzi CHADEMA itahitaji maridhiano yawezekana chini yake tu

Pre GE2025 Lissu: Baada ya uchaguzi CHADEMA itahitaji maridhiano yawezekana chini yake tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Nimemsikia Lissu akisema baada ya uchaguzi mkuu wa CDM Jan 21 uongozi utatakiwa kufanya maridhiano na Viongozi,Wanachama,Mashabiki & Wananchi (Watanzania) lakini chini ya uongozi mpya na si chini ya uongozi wa Freeman.

Kwa maneno rahisi fujo zote anazofanya sasa hadi siku ya uchaguzi atakayekuwa na uwezo wa kuponya majeraha ni yeye Lissu pekee yake.

Sijamsikia Freeman akikibagaza chama chake na wakati mwingine amejaribu hata kufukia mashimo pale Lissu anapoonyesha mpasuka ndani ya chama.

Kwa maneno rahisi Lissu akishindwa CDM ife ila akishinda atatibu majeraha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
 
Kama Lisu ataendelea kuwa hai. Hofu yangu ni kwamba yule bwana mifedha anaweza kum"Soka" ama kum"kibao".
 
Heri ya Christmas Wanajamvi.
Mjadala wa CHADEMA, kwa sasa ndio habari ya mjini, hata kwa wasiofuatilia Siasa.

Imefikia hatua hata uteuzi na uapisho uliofanyika Ikulu ndogo ya TUNGUU uliofanyika majuma kadhaa yaliopita ,kutopata coverage ya kutosha kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo Habari ya umwenyekiti wa CHADEMA.

Ushauri wangu, mteue KINGWENDU kuwa Mbunge, na BAMBO kuwa mjumbe wa bodi Mojawapo kama vile bodi ya utalii,kupitia waziri mwenye dhamana.

Baada ya uteuzi huo kwa muda Mjadala wa CHADEMA utaenda likizo na watu watajadili uteuzi wa BAMBO na KINGWENDU.

Ukilifanya hilo mheshimiwa Rais, utakuja kunishukuru.

Nimetumia BAMBO na KINGWENDU kama mfano, inawezekana pia ukawateua Ndugu wengine tofauti, kama ndugu yangu MADEBE LIDAI na na mtaani wangu Muhogo mchungu.

Ushauri sio shururuti, unaweza kukataa pia sio Lazima kuafiki.

Ni hayo tu mh Rais, Nikutakie Christmas njema.
 
Nimemsikia Lissu akisema baada ya uchaguzi mkuu wa CDM Jan 21 uongozi utatakiwa kufanya maridhiano na Viongozi,Wanachama,Mashabiki & Wananchi (Watanzania) lakini chini ya uongozi mpya na si chini ya uongozi wa Freeman.

Kwa maneno rahisi fujo zote anazofanya sasa hadi siku ya uchaguzi atakayekuwa na uwezo wa kuponya majeraha ni yeye Lissu pekee yake.

Sijamsikia Freeman akikibagaza chama chake na wakati mwingine amejaribu hata kufukia mashimo pale Lissu anapoonyesha mpasuka ndani ya chama.

Kwa maneno rahisi Lissu akishindwa CDM ife ila akishinda atatibu majeraha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Lissu ni mkweli sana na anahitajika sana kipindi hiki.. In fact ni wakati wake
 
Kauli za Lissu zinatosha kumfuta uanachama
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nimemsikia Lissu akisema baada ya uchaguzi mkuu wa CDM Jan 21 uongozi utatakiwa kufanya maridhiano na Viongozi,Wanachama,Mashabiki & Wananchi (Watanzania) lakini chini ya uongozi mpya na si chini ya uongozi wa Freeman.

Kwa maneno rahisi fujo zote anazofanya sasa hadi siku ya uchaguzi atakayekuwa na uwezo wa kuponya majeraha ni yeye Lissu pekee yake.

Sijamsikia Freeman akikibagaza chama chake na wakati mwingine amejaribu hata kufukia mashimo pale Lissu anapoonyesha mpasuka ndani ya chama.

Kwa maneno rahisi Lissu akishindwa CDM ife ila akishinda atatibu majeraha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Kama kweli Lissu kasema hivyo basi atakuwa mwehu! Yaani kila post humu ni yeye kasema, yeye kasema. Halafu baadae akishinda afanye maridhiano? Kweli Lissu ni mwehu!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwa kusema ukweli jamaa yangu Lissu hastahili nafasi yeyote ile baada ya uchaguzi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nimemsikia Lissu akisema baada ya uchaguzi mkuu wa CDM Jan 21 uongozi utatakiwa kufanya maridhiano na Viongozi,Wanachama,Mashabiki & Wananchi (Watanzania) lakini chini ya uongozi mpya na si chini ya uongozi wa Freeman.

Kwa maneno rahisi fujo zote anazofanya sasa hadi siku ya uchaguzi atakayekuwa na uwezo wa kuponya majeraha ni yeye Lissu pekee yake.

Sijamsikia Freeman akikibagaza chama chake na wakati mwingine amejaribu hata kufukia mashimo pale Lissu anapoonyesha mpasuka ndani ya chama.

Kwa maneno rahisi Lissu akishindwa CDM ife ila akishinda atatibu majeraha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Una hamu kuona Mbowe ajivue nguo uone nini labda?
Chadema ni Mbowe na Mbowe ni chadema
 
Baada ya ukimya mrefu hatimae Dr.Slaa nae kaamua kutema nyongo,Dr. Slaa anasema Lissu ni mkali na tunamtaka Lissu na ukali wake na aina ya Siasa zake ambazo hamuonei aibu mtu yeyote.


View: https://youtu.be/VMi7LDOgNZo?si=9Xozs1C2CHmveA0h

Mzee wa watu hawezi kushindia mihogo halafu unamletea Lowassa yaani...Sultani Mbowe Mungu anakuona.
 
Muda ni Mwalimu mzuri sana,uwezo wa kuunganisha hana kabisa.
Ni sawa tu, na Mbowe ndio itakuwa sababu ya hali hiyo kwa kuwa king'ang'anizi wa madaraka. Lisu akishinda hakuna haja ya kuunganisha kwa kubembeleza, anayetaka atajiunga naye, asiyetaka atajiunga na Mbowe kufanya hujuma.
 
Kama kweli Lissu kasema hivyo basi atakuwa mwehu! Yaani kila post humu ni yeye kasema, yeye kasema. Halafu baadae akishinda afanye maridhiano? Kweli Lissu ni mwehu!
Kama lissu ni mwehu je majizi na matapeli ya ruzuku tuyaiteje
 
Kama kweli Lissu kasema hivyo basi atakuwa mwehu! Yaani kila post humu ni yeye kasema, yeye kasema. Halafu baadae akishinda afanye maridhiano? Kweli Lissu ni mwehu!
Mwehu kuliko mamayenu mzururaji na ombaomba Kwa mabeberu ama kweli ccm ni mapumbavu.
 
Mwehu kuliko mamayenu mzururaji na ombaomba Kwa mabeberu ama kweli ccm ni mapumbavu.
Ahahahahah! Kama mwehu anaongoza nchi na mamlaka zote zinamtii, wewe kapuku mzungu wa reli ambaye babu zako pande zote mbili, bibi zako pande zote mbili, wakwe zako, mke wako, wewe mwenyewe na watoto zako ambao hata ujumbe wa kitongoji hamna tuwaiteje? Maana hata kuwaita wehu ni kuwapendelea! Ahahahahaha!!!
 
Heri ya Christmas Wanajamvi.
Mjadala wa CHADEMA, kwa sasa ndio habari ya mjini, hata kwa wasiofuatilia Siasa.

Imefikia hatua hata uteuzi na uapisho uliofanyika Ikulu ndogo ya TUNGUU uliofanyika majuma kadhaa yaliopita ,kutopata coverage ya kutosha kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo Habari ya umwenyekiti wa CHADEMA.

Ushauri wangu, mteue KINGWENDU kuwa Mbunge, na BAMBO kuwa mjumbe wa bodi Mojawapo kama vile bodi ya utalii,kupitia waziri mwenye dhamana.

Baada ya uteuzi huo kwa muda Mjadala wa CHADEMA utaenda likizo na watu watajadili uteuzi wa BAMBO na KINGWENDU.

Ukilifanya hilo mheshimiwa Rais, utakuja kunishukuru.

Nimetumia BAMBO na KINGWENDU kama mfano, inawezekana pia ukawateua Ndugu wengine tofauti, kama ndugu yangu MADEBE LIDAI na na mtaani wangu Muhogo mchungu.

Ushauri sio shururuti, unaweza kukataa pia sio Lazima kuafiki.

Ni hayo tu mh Rais, Nikutakie Christmas njema.
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom