Pre GE2025 Lissu: Baada ya uchaguzi CHADEMA itahitaji maridhiano yawezekana chini yake tu

Pre GE2025 Lissu: Baada ya uchaguzi CHADEMA itahitaji maridhiano yawezekana chini yake tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimemsikia Lissu akisema baada ya uchaguzi mkuu wa CDM Jan 21 uongozi utatakiwa kufanya maridhiano na Viongozi,Wanachama,Mashabiki & Wananchi (Watanzania) lakini chini ya uongozi mpya na si chini ya uongozi wa Freeman.

Kwa maneno rahisi fujo zote anazofanya sasa hadi siku ya uchaguzi atakayekuwa na uwezo wa kuponya majeraha ni yeye Lissu pekee yake.

Sijamsikia Freeman akikibagaza chama chake na wakati mwingine amejaribu hata kufukia mashimo pale Lissu anapoonyesha mpasuka ndani ya chama.

Kwa maneno rahisi Lissu akishindwa CDM ife ila akishinda atatibu majeraha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Nawashangaa watu wasio ona hilo. Na akikwama tu hata chelea kuwasukuma watu chini ya basi. Yakiwa mabaya zaidi atasepa.

Amandla...
 
Muda ni Mwalimu mzuri sana,uwezo wa kuunganisha hana kabisa.
Akishinda, atatumia kama miezi 6 hivi kuonyesha jinsi Mbowe alivyokuwa mbaya. Atatoa ahidi kibao. Atazungukia matawi, atakunywa na kula na wanachama. Atajitoa katika mazungumzo ya maridhiano. Atabasilisha sekretariat karibu yote. Mambo ya Chadema yataongelewa Clubhouse. Atatangaza miradi ya kuingizia pesa CDM. Atatuambia jinsi dispora watakavyoibeba Chadema.

Uchaguzi ukifika atasema hana pesa za kufanyia kampeni kwa sababu Mbowe na genge lake wamezitafuna zote. Uchaguzi utasimamiwa na Tume ile ile. Wakurugenzi wataendelea kusimamia upigaji kura. Atakuwa na choice mbili tu. Asusie Uchaguzi kuonyesha kuwa ana msimamo au agombee na ashindwe na ACT-WAZALENDO. 2026 utakuwa mwaka mgumu sana kwa CDM ya Lissu. Honeymoon itakuwa over maana hataweza kumsingizia Mbowe kwa mismanagement yake. Na ruzuku itaota mbawa.

Amandla...
 
Nimemsikia Lissu akisema baada ya uchaguzi mkuu wa CDM Jan 21 uongozi utatakiwa kufanya maridhiano na Viongozi,Wanachama,Mashabiki & Wananchi (Watanzania) lakini chini ya uongozi mpya na si chini ya uongozi wa Freeman.

Kwa maneno rahisi fujo zote anazofanya sasa hadi siku ya uchaguzi atakayekuwa na uwezo wa kuponya majeraha ni yeye Lissu pekee yake.

Sijamsikia Freeman akikibagaza chama chake na wakati mwingine amejaribu hata kufukia mashimo pale Lissu anapoonyesha mpasuka ndani ya chama.

Kwa maneno rahisi Lissu akishindwa CDM ife ila akishinda atatibu majeraha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Naomba video clip akiongea hayo tafadhali.
 
Nimemsikia Lissu akisema baada ya uchaguzi mkuu wa CDM Jan 21 uongozi utatakiwa kufanya maridhiano na Viongozi,Wanachama,Mashabiki & Wananchi (Watanzania) lakini chini ya uongozi mpya na si chini ya uongozi wa Freeman.

Kwa maneno rahisi fujo zote anazofanya sasa hadi siku ya uchaguzi atakayekuwa na uwezo wa kuponya majeraha ni yeye Lissu pekee yake.

Sijamsikia Freeman akikibagaza chama chake na wakati mwingine amejaribu hata kufukia mashimo pale Lissu anapoonyesha mpasuka ndani ya chama.

Kwa maneno rahisi Lissu akishindwa CDM ife ila akishinda atatibu majeraha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Huyu jamaa imefikia hadi anavujisha siri za vikao vya chama vya kamati kuu - CDM mtajilaumu sana kumwamini.
 
Back
Top Bottom