Uchaguzi 2020 Lissu badala ya kueleza sera hugeuza mkutano kuwa Darasa la Sheria akitumia daftari zake za Mwaka wa Kwanza Chuo Kikuu

Uchaguzi 2020 Lissu badala ya kueleza sera hugeuza mkutano kuwa Darasa la Sheria akitumia daftari zake za Mwaka wa Kwanza Chuo Kikuu

Lissu anasema Uhuru na Maendeleo. Uhuru ni sehemu kubwa ya sera za CHADEMA. Elewa kwanza falsafa ya chama na mgombea. Kama madaraja, watu wakipigwa risasi, vyombo vya habari vikifungwa midomo, yanatosha kwako - nenda upande msikilize Magufuli.
 
Lisu yupo katikati ya sera za chama na maoni yake binafsi, Lisu anapenda lions haki inatendeka lakini sera za chama chakra haziko hivyo
 
Magufuli anajinasibu kuwa yeye ni Rais wa wanyonge na anajua kweli kuwanyonga hao wanyonge.
Elimu bure ni bora elimu watoto 100 darasa moja na mwalimu mmoja.

Mama kule kijijini aliendelea kujifungua ni lazins anunue mpaka gloves za mkunga.

korosho aliwapoka wakulima.
Taratibu wasije wakakimbia uwanja wengine.
 
Mkuu, inaonyesha ya kuwa wewe unaishi kwa mazoea na unaamini sera za CCM tu ndizo hasa zinapaswa kufuatwa. Fikra zako zipo ndani ya kasha, kwa kuwa huwezi kuona chochote kile chema nje ya kasha, yaani madhaifu ya watawala wa chama chako.

Viongozi wa CCM hawana sera zenye mvuto kwa wananchi, ndiyo maana wanajificha ktk maendeleo ya vitu, ijapokuwa hawatoi taarifa sahihi kuhusu kukua kwa deni la taifa na matumizi ya kodi za Watanzania kuendana na hayo mambo ya kawaida kufanywa na serikali yoyote makini hapa duniani.

Kuwa ndani ya kasha la fikra hakuta badilisha watu makini na wenye sera mbadala kuweka bayana mapungufu ya sera za CCM. Mtizamo wa jumla kuhusu maendeleo yenye tija kwa watu ndiyo kitu Watanzania wanahitaji kukisikia.

Makundi tofauti ya kisekta yameumizwa na hata kyathirika sana na sera mbovu za CCM kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Sera hizo hizo mbovu bado kwa mara nyingine tena zinazidi kukumbatiwa na watawala, na zikipingwa hadharani zinaonekana kuwa ni matusi.

Waache wananchi wasikilize sera mbadala hata kama makada wa chama tawala mnaamini kuwa si sera. Wananchi ndiyo wenye uamuzi kwa kile ambacho wanalishwa kupitia kunadiwa kwa ilani tofauti za vyama ktk nyakati hizi za kampeni za uchaguzi.
 
So far naona JPM ni kituko.

Hakuna cha kuwaambia wananchi zaidi ya kuwabeba wasanii na kwenda nao ili kuvutia umati.
Hamna pesa za kuwalipa wasanii wawapambe ninyi. Kwani siri?
 
Waache wananchi wasikilize sera mbadala hata kama makada wa chama tawala mnaamini kuwa si sera. Wananchi ndiyo wenye uamuzi kwa kile ambacho wanalishwa kupitia kunadiwa kwa ilani tofauti za vyama ktk nyakati hizi za kampeni za uchaguzi.
Mkuu nisome tena nimesema Lissu anashindwa kueleza sera za Chadema nasisitiza aeleze sera za chadema sijapinga. Nimemtaka ajikite kueleza sera za Chadema ili wapiga kura awatendee haki.
 
Mkuu nisome tena nimesema Lisu anashindwa kueleza sera za Chadema nasisitiza aeleze sera za chadema sijapinga.Nimemtaka ajikite kueleza sera za Chadema ili wapiga kura awatendee haki
Mkuu ata wanaCCM wanazikubali sera za Lissu mbona zinaeleweka sana tu kama Jana alivyokuwa Shinyanga.
FB_IMG_1599108207925.jpg
FB_IMG_1599108225432.jpg
FB_IMG_1599108250504.jpg
 
Ndugu zangu,

Anachokifanya Tundu Lissu kwenye jukwaa la kampeni ni "kangaroo court"; anatuhumu,anajaribu kutoa vifungu vya sheria hata kama si sawa kisha anatoa hukumu akifikiri wananchi wanamuelewa.

Mara kadhaa anasikika akisema kwa mfano; "nawauliza,nikifungu gani cha sheria kinaruhusu hivi?serikali yangu ikiingia itaruhusu wananchi kuchunga ng'ombe kwenye hifadhi''

Unakuta anafoka na kugomba kana kwamba kuna mtu wanajibizana naye kumbe lah.

Ningechukua fursa hii kumkumbusha Tundu kuwa jukwaa la siasa sio mahakama ya kangaroo,jenga hoja kisha uombe kura.
 
Kama ulikuwepo
Ukweli Lissu hakujiandaa au kuandaliwa kuwa mgombea urais.

Anapata shida mno kueleza sera za Chadema na hasikii raha na Janeiro wa kuzielezea na hawi na flow nzuri. Na Hakawii kuacha kueleza sera na kuhama kugeuza mkutano kuwa law classroom badala ya political campaign meeting...
 
Kama anakosea muacheni akosee ninyi endeleeni kupatia.
 
Wale wasanii ni wa Uganda? Watampigia kura Museveni?

Kuna upumbavu muwe mnajaribu kuuficha
Nani kakwambia anawachukua wasanii ili hao wasanii wakampigie kura?Yaani awalipe mabilioni ya pesa kwa ajili ya kura 200 tu?Akili yako imelala!
Wasanii wanachukuliwa ili kuvutia watu wakajaze mikutano yake,shwain!Pia wasanii wanachukuliwa ili kuwashawishi mashabiki zao wale ambao hawatumii akili zao kufanya maamuzi ya kura zao,akishaambiwa na diamond Magufuli babalao basi na yeye anaweka kura kwa Magufuli!
 
Ukweli Lissu hakujiandaa au kuandaliwa kuwa mgombea urais.

Anapata shida mno kueleza sera za Chadema na hasikii raha na Janeiro wa kuzielezea na hawi na flow nzuri. Na Hakawii kuacha kueleza sera na kuhama kugeuza mkutano kuwa law classroom badala ya political campaign meeting..
Kwanza kajifunze kuandika vizuri.

Pili yule mgombea wenu si ana Pi echi Dii ya maganda ya korosho? Mwambieni naye atumie ile thesis yake ya kukopi kuombea kura.
 
Mkuu nisome tena nimesema Lissu anashindwa kueleza sera za Chadema nasisitiza aeleze sera za chadema sijapinga. Nimemtaka ajikite kueleza sera za Chadema ili wapiga kura awatendee haki.
Rudia kumsoma tena uliyemquote!Usichukue para ya mwisho tu,msome mwanzo mwisho na ueleww ujumbe wake kwako!
Anasema akili yako umeiweka ndani ya kasha na huwezi ona jema lolote nje ya kasha hilo!
 
Back
Top Bottom