Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Taratibu wasije wakakimbia uwanja wengine.Magufuli anajinasibu kuwa yeye ni Rais wa wanyonge na anajua kweli kuwanyonga hao wanyonge.
Elimu bure ni bora elimu watoto 100 darasa moja na mwalimu mmoja.
Mama kule kijijini aliendelea kujifungua ni lazins anunue mpaka gloves za mkunga.
korosho aliwapoka wakulima.
Mkuu nisome tena nimesema Lissu anashindwa kueleza sera za Chadema nasisitiza aeleze sera za chadema sijapinga. Nimemtaka ajikite kueleza sera za Chadema ili wapiga kura awatendee haki.Waache wananchi wasikilize sera mbadala hata kama makada wa chama tawala mnaamini kuwa si sera. Wananchi ndiyo wenye uamuzi kwa kile ambacho wanalishwa kupitia kunadiwa kwa ilani tofauti za vyama ktk nyakati hizi za kampeni za uchaguzi.
Mkuu ata wanaCCM wanazikubali sera za Lissu mbona zinaeleweka sana tu kama Jana alivyokuwa Shinyanga.Mkuu nisome tena nimesema Lisu anashindwa kueleza sera za Chadema nasisitiza aeleze sera za chadema sijapinga.Nimemtaka ajikite kueleza sera za Chadema ili wapiga kura awatendee haki
Ukweli Lissu hakujiandaa au kuandaliwa kuwa mgombea urais.
Anapata shida mno kueleza sera za Chadema na hasikii raha na Janeiro wa kuzielezea na hawi na flow nzuri. Na Hakawii kuacha kueleza sera na kuhama kugeuza mkutano kuwa law classroom badala ya political campaign meeting...
Huko bonde muhinduro kuna kugongana kwa kinga!Basi tuendelee kugongana bila kinga ili tufyatuane kwakua maziwa ya kunyonyeshea watoto tunayo.
Hamueleweki!Ni uchaguzi au ni fiesta?
Tuanzie hapo kwanza.
Mkuu wanaelewa ila kutetea wanafaidika. Mtu mwenye uwezo mzuri wa kufikiria hawezi kuona sawa kununua ndege dazeni wakati watumishi miaka mitano hawaboreshewi maslahi yao.ghhffjjkjgdddfhjhhchjkkjjugfddView attachment 1557112
Kama anakosea muacheni akosee ninyi endeleeni kupatia.
Nani kakwambia anawachukua wasanii ili hao wasanii wakampigie kura?Yaani awalipe mabilioni ya pesa kwa ajili ya kura 200 tu?Akili yako imelala!Wale wasanii ni wa Uganda? Watampigia kura Museveni?
Kuna upumbavu muwe mnajaribu kuuficha
Hatuuchukui ushauri wako.Kamanda huo ni ushauri
Kwanza kajifunze kuandika vizuri.Ukweli Lissu hakujiandaa au kuandaliwa kuwa mgombea urais.
Anapata shida mno kueleza sera za Chadema na hasikii raha na Janeiro wa kuzielezea na hawi na flow nzuri. Na Hakawii kuacha kueleza sera na kuhama kugeuza mkutano kuwa law classroom badala ya political campaign meeting..
Rudia kumsoma tena uliyemquote!Usichukue para ya mwisho tu,msome mwanzo mwisho na ueleww ujumbe wake kwako!Mkuu nisome tena nimesema Lissu anashindwa kueleza sera za Chadema nasisitiza aeleze sera za chadema sijapinga. Nimemtaka ajikite kueleza sera za Chadema ili wapiga kura awatendee haki.