Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Badala ya kujikita kwenye hoja machawa wanatamani kumsulubu huyo King Kinya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kujikita kwenye hoja machawa wanatamani kumsulubu huyo King Kinya
Ccm ilishimamisha wagombea wengi si kwa sababu ya kukubalila ama ubora, bali kwasababu ya hila. Mtu mjinga tu ndio anaweza kujivunia wingi wa hila. Uchaguzi wa cdm ndio uchaguzi wa kweli wa kisiasa, hata mshindi ameshinda kihalali.Ndio maananamuita ropo.ropo.
Chadema kubwa ilisimamisha wagombea asilimia 20% tuu Nchi nzima 😆😆
Mbona Serengeti Boy kabisa huyu.Wazee kama hawa wana jipya gani katika nchi hii?
Fikra pevu ni zipo, tunaomba kujuzwa.Fikra mgando na kukurupuka!
Wapenzi wa Shampeign Vs wanywa gongo/ double kikiHii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Yule ita watu 1900 wiki nzima Dodoma then akajiteua.🤣🤣🤣Ndio maananamuita ropo.ropo.
Chadema kubwa ilisimamisha wagombea asilimia 20% tuu Nchi nzima 😆😆
huo ugeni ni mzito, Habari za chadema zimefika katika mataifa yao. picha ya chini ni wapiga zumari, wasanii tu wasiojua siasa ni nini, wameburuzwa tu mradi nao wapate posho, hamna kitu hapoHii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Kazi ipo choice variable
😂😂😂😂😂 Sijui hata nacheka nini?
Matokeo ya uchaguzi October 2025 yatatuonesha nani mkubwa ,kunywa mtori nyama ziko chini
Akili kubwa hufikiria nje ya box.Ndio maananamuita ropo.ropo.
Chadema kubwa ilisimamisha wagombea asilimia 20% tuu Nchi nzima 😆😆
Uchaguzi mkuu unakujaHii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Mkuu umefanya nipaliwe😃😃😃😃
Cheo chako kimeenda na mboe!! Lissu akufukuze we ni chawa wa mboe,Hauko loyal kwa CDMHaya, ngoja tusubiri majibu ya wengine