Lissu: CHADEMA ni kubwa kuliko CCM

Lissu: CHADEMA ni kubwa kuliko CCM

Kile Chama Cha Matamasha ya Wasanii Tanzania?
Wenzao wamekesha nje ya Ukumbi wa Mlimani City huku wakiwa wamefika pale kwa kujugharamia, wapo nje usiku kucha, wananunuliana na kugawana vyakula vinywaji kidigo walivyo navyo.

Lakini wenyewe wamegharamiwa kwenda Dodoma kwa ajili kuhudhuria Mkutano wenye mambo wasiyoyajua, wakakesha Bar, Club na kumbi zote za starehe, wakinywa, wakila na kungonoka, halafu aliyewaita akajiteua, wakamstaafisha makamo, wenyewe wanabaki kushangilia tu.
Matapeli walijikusanya pale Dodoma.
 
Hii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema

View attachment 3210116

Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?

hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.

View attachment 3210123

Toa Maoni yako
We utakuwa mwehu tu. Nyie ndio mnao amini katika wazungu kuliko kujiamini wenyewe.
Hao wa liovaa suti hawapigi kura na hawana impact kwenye uchaguzi ila hawa wa chini waliovaa vijora ndio wanamweka rais madarakani. Na hao ndio muhimu.

Ni mwehu Peke anaeweza kuwadharau wanamchi wake na kuwathamini wageni wasiopiga kura.
 
Ulianza na "Lissu hashindi na hana uwezo wa kushinda", sasa naona umekuja na "fedha za uchaguzi mkuu atapata wapi"!!

Wewe endelea kuhamisha magoli.
Uchaguzi mkuu unakuja

Mtihani mkubwa wa kwanza Lisu atapambana nao ni kukusanya pesa kupeleka matawini kipindi cha uchaguzi mkuu

Ndipo atakapojua mkono mtupu haulambwi

Na alilaghai wapiga kura kuwa yeye kama mwenyekiti anajua Chadema ina pesa nyingi makao makuu ila Mbowe na genge lake hawashushi huko chini

Ok Mbowe kaondoka uzuri Lisu kashika kipindi ambacho pesa huko chini wanazohitaji mno kwa kampeni uchaguzi mkuu wanasubiri kwa hamu hela zake za ubelgiji ashushe huko chini

Mbowe tafadhali nenda sabbatical leave kwa mwaka mzima kuwa umeongoza vya kutosha na uchaguzi umeshindwa

waambie.Naenda likizo ili usibebe lawama kwa matokeo ya uchaguzi mkuu wakishindwa wakasema uliwashauri vibaya

Waachie asilimia 100 wao ndio wasimamie uchaguzi mkuu .Lawama zitue kwao kwa asilimia 100 wakishinda wajisifu wenyewe wakishindwa wazomeane na kuzodoleana wenyewe

Mimi CCM nasema Mbowe kaa mbali tuachie Lisu tunamumudu tena mno

Kwanza kifedha za kampeni hana uwezo huo yeye na timu yake kama wewe Mbowe na team yako mlivyokuwa mnaweza

Lisu safari hii uchaguzi mkuu ataufanya kilofa mno

Mbowe wala usihangaike na Chadema ya akina Lisu kuwaeleza siri za fedha zilikuwa zikipatikana wapi ndani au nje ya nchi mwachie Lisu kama ana kuku au mbuzi jule kwao singida auze hao afanye kampeni

Kashinda uchaguzi lakini kuna kitu yeye na team Lisu watajuta kuingia kwenye uongozi wa juu hasa kwenye eneo la pesa
 
Screenshot_2025-02-12-15-29-22-1.png
 
Back
Top Bottom