Ukwelimtupu00
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 289
- 416
Matapeli walijikusanya pale Dodoma.Kile Chama Cha Matamasha ya Wasanii Tanzania?
Wenzao wamekesha nje ya Ukumbi wa Mlimani City huku wakiwa wamefika pale kwa kujugharamia, wapo nje usiku kucha, wananunuliana na kugawana vyakula vinywaji kidigo walivyo navyo.
Lakini wenyewe wamegharamiwa kwenda Dodoma kwa ajili kuhudhuria Mkutano wenye mambo wasiyoyajua, wakakesha Bar, Club na kumbi zote za starehe, wakinywa, wakila na kungonoka, halafu aliyewaita akajiteua, wakamstaafisha makamo, wenyewe wanabaki kushangilia tu.
Mama Samia ameamua kuiua Ccm rasmi
Kudadadadeq walahi
Mkuu hapa ccm ina mahesabu makali!Hii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Mkuu hapa Tundu Lisu ndo uka gombee jimbo la kyela, na utapitaKaribu sana Kamanda
Hiyo ni kwa mujibu wa fikra za wana mboga mboga,na wale wahuni wa mapangoni hapo kwao.Fikra mgando na kukurupuka!
Manii za Pdidy zilikuwepo paleKwahiyo kijani kibichi walialika wakata viuno, wengine mpaka waliomkatia pididi nao walikuwepo .
We utakuwa mwehu tu. Nyie ndio mnao amini katika wazungu kuliko kujiamini wenyewe.Hii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Natafakari ombi lakoMkuu hapa Tundu Lisu ndo uka gombee jimbo la kyela, na utapita
Uchaguzi mkuu unakuja
Mtihani mkubwa wa kwanza Lisu atapambana nao ni kukusanya pesa kupeleka matawini kipindi cha uchaguzi mkuu
Ndipo atakapojua mkono mtupu haulambwi
Na alilaghai wapiga kura kuwa yeye kama mwenyekiti anajua Chadema ina pesa nyingi makao makuu ila Mbowe na genge lake hawashushi huko chini
Ok Mbowe kaondoka uzuri Lisu kashika kipindi ambacho pesa huko chini wanazohitaji mno kwa kampeni uchaguzi mkuu wanasubiri kwa hamu hela zake za ubelgiji ashushe huko chini
Mbowe tafadhali nenda sabbatical leave kwa mwaka mzima kuwa umeongoza vya kutosha na uchaguzi umeshindwa
waambie.Naenda likizo ili usibebe lawama kwa matokeo ya uchaguzi mkuu wakishindwa wakasema uliwashauri vibaya
Waachie asilimia 100 wao ndio wasimamie uchaguzi mkuu .Lawama zitue kwao kwa asilimia 100 wakishinda wajisifu wenyewe wakishindwa wazomeane na kuzodoleana wenyewe
Mimi CCM nasema Mbowe kaa mbali tuachie Lisu tunamumudu tena mno
Kwanza kifedha za kampeni hana uwezo huo yeye na timu yake kama wewe Mbowe na team yako mlivyokuwa mnaweza
Lisu safari hii uchaguzi mkuu ataufanya kilofa mno
Mbowe wala usihangaike na Chadema ya akina Lisu kuwaeleza siri za fedha zilikuwa zikipatikana wapi ndani au nje ya nchi mwachie Lisu kama ana kuku au mbuzi jule kwao singida auze hao afanye kampeni
Kashinda uchaguzi lakini kuna kitu yeye na team Lisu watajuta kuingia kwenye uongozi wa juu hasa kwenye eneo la pesa
Kyaro kyagenda.Haya, ngoja tusubiri majibu ya wengine
Huyu aliwahi kupimwa damu ya mshipa mkubwa kweli!!
Sanduku la kura ndio huamua nani mkubwa sio domokaya la mropokakaji Lisu kuwa nani mkubwaHaya, ngoja tusubiri majibu ya wengine
Chadema wamechagua mgonjwa wa akili wa kulazwa hospital ya vichaa mirembe kuwa mwenyekitiFikra mgando na kukurupuka!
Unalia nini sasa?Chadema wamechagua mgonjwa wa akili wa kulazwa hospital ya vichaa mirembe kuwa mwenyekiti