Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
Yaani uwongo mwingi sanaNa Slaa ndiye aliyesema chama kimeuzwa. 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani uwongo mwingi sanaNa Slaa ndiye aliyesema chama kimeuzwa. 😂😂
Nah…kuna kazi nafanya hapa hivyo siwezi kusikiliza wala kuangalia.Mbona kasema kwa hilo anakubali kosa au hausikilizi mdahalo?
Hujamsikiliza au huelewi kiswahili?!Suala la lowassa sijui hata kalijibuje.,......nasikia tu,
"Dr slaa ndiye aliyemleta......."
"Dr slaa aje alijibie hili kwanini alimleta"
"Ni kweli nami nilihusika katika suala hilo, siwezi kubisha"
Nimeenda kulala
Kijakazi kumbe upo? Sasa ulisusa nini mpk ukataka wewe ndo uulizwe swali? 😺flying monkeys wake watakuja kukwambia “kumwelewa lisu unahitaji zaidi ya d2 “ huyo jamaa hamna kitu kabisa sema tanzagiza kila kitu ni kinyume …
Mshenga alikuwa askofu?Babu anapigwa majungu akiwa seloView attachment 3204776
Mwanzo alisema Mbowe ndio aliomleta.ei baada ya Mbowe kusema Lema atafukuzwa chama na kitongoji chake kaingia .mmaNi vyema kama Lisu akikubali tu kuwa walikosea kumleta Lowasa CHADEMA.
Kukosea ni ubinadamu. Cha muhimu ni kujifunza kutokana na hayo makosa.
Bado lissu hajasema huu ni uharo wa mwanzo maji maji mpaka akifika kwenye mchanganyiko watu washamuelewa nae ni wale wale wapenda rushwa!Dr. Slaa ndiye alimleta Edward Lowassa CHADEMA ndiye aliyeanzanisha hilo wazo, ndiye aliyeongoza timu zote za majadiliano za CHADEMA kujadiliana na timu ya Lowassa.
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa
Na ndiye aliyetisha kikao cha kamati kuu cha kumkaribisha Lowassa, Na ndiye aliyenipigia mimi simu nikiwa jimboni kwangu Singida Mashariki tarehe 26 au 27 ya Julai 2015 na kuniambia njoo kuna kamati kuu ya dharula kesho.
Usimsikilize ukiwa na chuki
Utamue
Uwongo mwingi sanaSasa kwanini Padre slaaa Alikwambia mwenzake kuwa chama kimeuzwa 🤣!
Yaaani nimecheka sana
Tatizo ni mihemko iliyopita kiasi.Nilikiwa Team Liisu lkn kwa hili kama nahisi mkichwa hakuko sawa, labda apimwe mkojo
Anaongea utadhani yeye SI sehemu ya maamuziBado lissu hajasema huu ni uharo wa mwanzo maji maji mpaka akifika kwenye mchanganyiko watu washamuelewa nae ni wale wale wapenda rushwa!
Juzi juzi amesema aliletwa na Mbowe leo Dr Silaa. Ngoja tusubirie kesho atasemajeTatizo ni mihemko iliyopita kiasi.
Lisu ana shida kichwaniMwanzo alisema Mbowe ndio aliomleta.ei baada ya Mbowe kusema Lema atafukuzwa chama na kitongoji chake kaingia .mma
Hahahaha. Unajua siasa saa nyingine ni kama comedy tu.Na Slaa ndiye aliyesema chama kimeuzwa. 😂😂
Enzi hizo alimsifu sana Lowassa leo hii anaruka kiuongo uongo😂
View: https://m.youtube.com/watch?v=EL5eo9bWOHw&pp=ygUNbGlzc3UgbG93YXNzYQ%3D%3D