Lissu haamini katika taasisi, hata CHADEMA haiamini, anataka kwenda peke yake aongoze taifa kama mifugo yake

Lissu haamini katika taasisi, hata CHADEMA haiamini, anataka kwenda peke yake aongoze taifa kama mifugo yake

Lissu haamini katika taasisi, ndio maana hata sasa hataki kabisa kusikia maoni tofauti katika chama zaidi ya maoni yake.

Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya maoni ya wahasibu, amelazimisha apewe hela za mishahara za watumishi wa chama ili yeye na genge lake wazurure halafu jioni wachome nyama na kunywa whyisky.

Anakaa katika vikao vya chama wanaalika viongozi wa vyama vingine, anapiga kura kwa nguvu kuunga mkono, kesho yeye binafsi bila vikao, anakataa.

Mambo mengi ya chama yanakubaliwa, lakini yeye anatoka nje anayakataa.

Lissu ni JPM aliyefungwa polonium, bora hata JPM mwenyewe
Baada ya Covid 19 sasa umeingia uhonjwa mwingine hatari "Lisu fever" yaani tayari umekumba 50% ya wa-TZ.
 
Lissu haamini katika taasisi, ndio maana hata sasa hataki kabisa kusikia maoni tofauti katika chama zaidi ya maoni yake.

Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya maoni ya wahasibu, amelazimisha apewe hela za mishahara za watumishi wa chama ili yeye na genge lake wazurure halafu jioni wachome nyama na kunywa whyisky.

Anakaa katika vikao vya chama wanaalika viongozi wa vyama vingine, anapiga kura kwa nguvu kuunga mkono, kesho yeye binafsi bila vikao, anakataa.

Mambo mengi ya chama yanakubaliwa, lakini yeye anatoka nje anayakataa.

Lissu ni JPM aliyefungwa polonium, bora hata JPM mwenyewe
the gentleman is puppet 🐒
 
CHADEMA ku shwari kabisa kutokana na utamaduni wa fikra huru lakini upande wa chama dola kongwe wanaweweseka kutokana na utamaduni wa kutohoji taasisi, kutohoji rushwa, fomu kuwa moja ya mgombea ....hivyo kutaka utamaduni wa CCM ufuatwe na vyama vyote vya siasa nchini Tanzania
 
Baada ya Covid 19 sasa umeingia uhonjwa mwingine hatari "Lisu fever" yaani tayari umekumba 50% ya wa-TZ.
Subiri chakula kiive, kuni wanaweka wenzake, atapigwa tukio hataamini
 
Kama Lissu anaweza kufanya kazi kama JPM basi anatufaa huyo, maana binafsi nahitaji mtu atakayekuwa mara 100 zaidi ya JPM yaani mtu wa jamii kama ya Hitler Adolph hivi.
 
Lissu haamini katika taasisi, ndio maana hata sasa hataki kabisa kusikia maoni tofauti katika chama zaidi ya maoni yake.

Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya maoni ya wahasibu, amelazimisha apewe hela za mishahara za watumishi wa chama ili yeye na genge lake wazurure halafu jioni wachome nyama na kunywa whyisky.

Anakaa katika vikao vya chama wanaalika viongozi wa vyama vingine, anapiga kura kwa nguvu kuunga mkono, kesho yeye binafsi bila vikao, anakataa.

Mambo mengi ya chama yanakubaliwa, lakini yeye anatoka nje anayakataa.

Lissu ni JPM aliyefungwa polonium, bora hata JPM mwenyewe

1. Je Samia ni Mzanzibar au si Mzanzibar?
2. Je Zanzibar ni Nchi au si Nchi?
3. Je Samia amewafukuza Wamasai kwao ili awauzie Wajomba zake Eneo au Hajafanya hivyo?
4. Je Samia ameuza Bandari za Tanganyika Kwa Wajomba zake au hajauza? Kisha za Zanzibar akaziacha.
 
JPM hakuamini katika taasisi, akiamka kaota maharage inatibu korona, anatoa tamko mchi nzima mnafata
Hakuna neno rahisi hapa.

Lissu hawezi kuwa, hato kuwa, hajawahi kuwa Magufuli. R.I.P

Unadanganya! Ni uwongo huo.

Na Taasisi unazosisema katika muktadha huu ni Kampuni za madawa, na hivi majuzi baada ya Uchunguzi, madawa ya hayo ya Corona yamekutwa ndio yana ua watu na kuwalemaza wengine-dawa ambazo hizo "Taasisi" ama "Wazungu" walikuwa wakilazimisha tuzinunue, hata kwa mikopo!

Bora J.P.M alizikataa na athari zake za kukataa madawa na Taasisi hizo umekuwa chanya, na zimetambuliwa na mpaka aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump. Itoshe na wabobezi wa Uchumi Duniani. Bisha!

Unawezaje kuamini Taasisi zilizokuwa na lengo la Kukufilisi?

Unawezaje kuamnini Taasisi zinazotaka kukuua na kukulemaza.

Mshindwe CHADEMA. Kila mnapoishiwa hoja, mnamtaja Hayat Rais ili mpate popularity.

Mlaaniwe.
 
Lisu ni taasisi tayari ,huoni taasisi mwezake opponent wake ccm kajibu hoja kwa mdomo mtupu,bila rejea za maandishi
 
Lissu haamini katika taasisi, ndio maana hata sasa hataki kabisa kusikia maoni tofauti katika chama zaidi ya maoni yake.

Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya maoni ya wahasibu, amelazimisha apewe hela za mishahara za watumishi wa chama ili yeye na genge lake wazurure halafu jioni wachome nyama na kunywa whyisky.

Anakaa katika vikao vya chama wanaalika viongozi wa vyama vingine, anapiga kura kwa nguvu kuunga mkono, kesho yeye binafsi bila vikao, anakataa.

Mambo mengi ya chama yanakubaliwa, lakini yeye anatoka nje anayakataa.

Lissu ni JPM aliyefungwa polonium, bora hata JPM mwenyewe
Ngedere wewe acha kufananisha Mh Lissu na mavi tuu
 
Lissu haamini katika taasisi, ndio maana hata sasa hataki kabisa kusikia maoni tofauti katika chama zaidi ya maoni yake.

Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya maoni ya wahasibu, amelazimisha apewe hela za mishahara za watumishi wa chama ili yeye na genge lake wazurure halafu jioni wachome nyama na kunywa whyisky.

Anakaa katika vikao vya chama wanaalika viongozi wa vyama vingine, anapiga kura kwa nguvu kuunga mkono, kesho yeye binafsi bila vikao, anakataa.

Mambo mengi ya chama yanakubaliwa, lakini yeye anatoka nje anayakataa.

Lissu ni JPM aliyefungwa polonium, bora hata JPM mwenyewe
Wewe ni mwanachama wa chadema au ni mfanyakazi wa chadema? Kama siyo, haya maneno unayapata wapi? Shughulika na ya ccm unakokula buku Saba kwani huna ulijualo kuhusu cdm!
 
JPM alikosea sana kutompa Lissu ama uwaziri mkuu, au uanasheria mkuu..hawa watu wange-collabo muda huu Taifa lingekua mbali sana. Angemsahihisha JPM kuheshimu sheria za ndani ila angemsaidia kutobanwa na sheria za nje. Tungevunja mikataba ila faini tusingelipa
Unampaje mtu cheo wakati anakutukana? Baada ya Magufuli kuwa Rais chadema na wabunge wake waliamua kupinga chochote kitakacholetwa bungeni,kiwe kwa maslahi ya taifa au la pamoja na matusi juu, Lissu ndiye aliyeanzisha kumwita Magufuli jina la dictator uchwala,akaanza kupinga tume za Magufuli za kushugulikia mikataba na kuziita rubbishy,kila akipewa nafasi bungeni anaanza vitisho na matusi,mala tutanyorewa na vipande vya chupa bila maji,mala tutashitakiwa MIGA, mpaka Magu akaanza kumshanga jamaa kuwa mwanasheria gani huyu anayeogopa kushitakiwa? Baada ya vijana wa Magufuli dharau imezidi, Maana Lissu aliona hakuna cha kumfanya kwasababu ni mbunge, matokeo uliyaona.Hivyo Magufuli alikuwa anataka kufanya kazi watu smart Kama kina Lissu alivyokuwa mwanzo lakini Lissu aligeuka gafla baada ya kuona Magufuli kawa Rais, mbona aliwachukua akina Bashiru,Pole pole,Kitira Slinde na kuwaingiza kwenye Serikali ingawa hawakuwa na mizizi yeyote kwenye chama na Serikali.Lissu ni mtu asiye na msimamo,anayumbayumba,by Dkt Slaa.
 
Hakuna neno rahisi hapa.

Lissu hawezi kuwa, hato kuwa, hajawahi kuwa Magufuli. R.I.P

Unadanganya! Ni uwongo huo.

Na Taasisi unazosisema katika muktadha huu ni Kampuni za madawa, na hivi majuzi baada ya Uchunguzi, madawa ya hayo ya Corona yamekutwa ndio yana ua watu na kuwalemaza wengine-dawa ambazo hizo "Taasisi" ama "Wazungu" walikuwa wakilazimisha tuzinunue, hata kwa mikopo!

Bora J.P.M alizikataa na athari zake za kukataa madawa na Taasisi hizo umekuwa chanya, na zimetambuliwa na mpaka aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump. Itoshe na wabobezi wa Uchumi Duniani. Bisha!

Unawezaje kuamini Taasisi zilizokuwa na lengo la Kukufilisi?

Unawezaje kuamnini Taasisi zinazotaka kukuua na kukulemaza.

Mshindwe CHADEMA. Kila mnapoishiwa hoja, mnamtaja Hayat Rais ili mpate popularity.

Mlaaniwe.
Chiembe ni CCM mwenzio!!

Kubali tu, ndio watetezi wa chama waliobaki,

Yaani chiembe, kule lumuumba ndiye wanamuaminia ATI.
 
Wewe ni mwanachama wa chadema au ni mfanyakazi wa chadema? Kama siyo, haya maneno unayapata wapi? Shughulika na ya ccm unakokula buku Saba kwani huna ulijualo kuhusu cdm!
Mimi mwanachadema
 
Back
Top Bottom