Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

P
Ninakushauri usikiapo jambo lenye mashaka usikimbile kalamu hata kama muhusika unamchukia kiasi gani.
TAKE TIME TO KNOW IT.
Kuwa mvumilivu tunajua unahasira na Chadema kwani hatukuoni popote mpaka Chadema itokee! Wewe ni mwanasheria wa aina gani? Safari ya kumfikia Lakha utaianza labda 2045, unasikitisha sana mr. Lawyer.
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

P
Wewe una chuki binafsi na Mh. Tundu Lissu lolote linalotoka kwake wewe lazima uliite uropokaji.
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

P
Acha kujitoa ujuaji kila Jambo, yaani we jamaa sijui unajikutaga nani? Welevu tunakushangaaga. We unamwita Lissu ropo . nonsense
 
Jeuri ya CCM inatokana na vyombo vya dola kama alivyowahi kutahadharisha mhe. Kikwete kuwa CCM iache kuwategemea polisi.
Hii ndiyo nguvu ya CCM,bila mbeleko hii CCM chali saa nne asubuhi tu
IMG-20200726-WA0000.jpg
 
Huyo Bibi haendi kokote zaidi ya 2025, afanye ukipepeo wake aondoke
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

P
Kama huwezi kufahamu nafasi ya Makamu Mwenyekiti basi una tatizo kubwa kuliko watu wanavyodhani kuwa una uchawa uliopitiliza!
 

Akizungumza kupitia mjadala kwenye mtandao wa kijamii, Tundu Lissu amesema CCM wamekataa maridhiano, kwasababu CHADEMA ilipeleka mapendekezo mazuri ya kila kitu kinachohitajika kufanyika ili kupatikana kwa katiba mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025, mapendekezo ambayo yalikataliwa yote kwa maandishi tar 30/5/2023. Tar 31 Mei CHADEMA ilitoa msimamo kuwa mazungumzo yataendelea tu iwapo Rais atabadilisha msimamo wa chama chake.

Akiongeza kuwa jambo hilo lilithibitishwa na kauli ya Waziri Ndumbaro juzi kuwa CHADEMA watakiwa kufundishwa katiba ya sasa kwa miaka mitatu ndio wazungumze habari ya katiba mpya. Akisema CCM hawataki kufanya mabadiliko yoyote wala hawataki maridiano na hivyo inabidi watafute njia nyingine za kufanya mabadiliko.

True intent was absent…
Kazi bado ipo, muhimu ni kufika.
 
Turudi uwanja wa vita sasa... Police na vyombo vingine vya usalama wasiwe waamuzi wenye upendeleo .. Hata kabla mechi haijaanza tayari CHADEMA wana ushindi wa 3-0

Niko na wewe Kaka kwenye hili.... Mpira urudi kati.
 
makuwadi ya warabu mwambien mamayenu kuwa 2025 huku kanda ya ziwa hana chake arudishe pesa za mabwana zake tofaut na hapo ajiandae kuzitolea matundu yote ya mwili wake.
Nyumbu unawaka, au sio?!!!!🤣🤣🤣🤣

Hivi kanda ya ziwa ndo huko mwanza, shinyanga, geita na huku mara niliko ee?!!! Endelea kuchekesha walionuna!!!!
 
HAKI haiombwi, hudaiwa, KATIBA mpya ni sasa!!
Naunga mkono hoja, tena nililizungumza hili hapa Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini? nilisema
Wanabodi,

Kitu kama ni haki, then haki ni stahili sio hisani!, Je sisi Watanzania tutaendelèa kusubiri hadi lini wakati haki zetu na stahili zetu zikigeuzwa kuwa hisani?.

Kwenye issues za haki zetu za msingi za kikatiba, jee Watanzania tutaendelea kusubiri kuhisaniwa mpaka lini?.

Haki ni stahiki sio hisani!, haki haiombwi na kutegemea hisani, wala haki haihitaji vikao, mikutano na majadiliano kuzijadili haki, na haki hauletewi kwenye kisahani cha chai kama hisani, fadhila au zawadi, haki ni stahiki inayopaswa kutolewa unconditional not as a favour, hisani au fadhila!. Haki is a right, inayopaswa kutolewa unconditional na isipotolewa, haiombwi, bali hudaiwa, na katika kuidai huku kukishindikana kuidai kwa amani na kisheria, ndipo nguvu hutumika kuipigania, but only pale inapobidi, na ni katika kuipigania huku sometimes machozi, jasho na damu huweza kumwagika!.

Paskali
P
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Wewe ndio roporopo na makuwadi wenzio wa warabu dpworld. Wewe unaposema kuwa m/mwenyekit sio miongon mwa wajumbe wa maridhiano je unawajua wajumbe wa maridhiano wa CHADEMA? Je, umewataja hapa jf hao unaofikir wajumbe wa maridhiano wa CHADEMA?
Wewe ndio roporopo maana unajadili mambo ya chama ambacho hata hakikuhusu na hujui taratibu zake na wala hujui hata vikao huwa wanakaa wakati gani narudia tena wewe ndio roporopo hata MAGUFULI alikupuuza hata ulipomuuliza swali lako la kijinga aliishia kuwatafasiria wasio wasukuma kuwa wewe ni njaa na hii inadhihirisha kuwa wewe ni njaa kweli ila wauza bandar wa ccm walishakupuuza had ukakomea kura moja kwenye gulio lenu la rushwa mnaloita kura za maoni za chama, kifupi wewe ni zee bwege lisilojitambua na hio ILBORU yako ni ya hovyo.
 
Back
Top Bottom