Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Huteuliwi unahorojoka bure tu
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
  • Mhe Lissu kasema taarifa rasmi itatolewa na Mwenyekiti wa Chama ,
  • unamuita mwenzio ropo ropo wakati kakuzidi mbali sana kwenye uwakili, ww una number 10,000s wakati mwenzio ni very senior
 
Wewe ndio roporopo na makuwadi wenzio wa warabu dpworld. Wewe unaposema kuwa m/mwenyekit sio miongon mwa wajumbe wa maridhiano je unawajua wajumbe wa maridhiano wa CHADEMA? Je, umewataja hapa jf hao unaofikir wajumbe wa maridhiano wa CHADEMA?
Wewe ndio roporopo maana unajadili mambo ya chama ambacho hata hakikuhusu na hujui taratibu zake na wala hujui hata vikao huwa wanakaa wakati gani narudia tena wewe ndio roporopo hata MAGUFULI alikupuuza hata ulipomuuliza swali lako la kijinga aliishia kuwatafasiria wasio wasukuma kuwa wewe ni njaa na hii inadhihirisha kuwa wewe ni njaa kweli ila wauza bandar wa ccm walishakupuuza had ukakomea kura moja kwenye gulio lenu la rushwa mnaloita kura za maoni za chama, kifupi wewe ni zee bwege lisilojitambua na hio ILBORU yako ni ya hovyo.
Alivyokongoroka mwili hata akili zimekongoroka anavizia kumpiga madongo Lissu tu humu JF.
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Kwahiyo wewe mzee unajua mambo ya ndani ya CHADEMA kumzidi TL?

Kuwa basi mstarabu mzee, acha uchawa wasukuma hamuaminiki, nyie ni wavurugaji tu.
 
Haya majinga ma ccm yametangaza vita rasmi sasa ndio muda muafaka wa kuikomboa tanganyika
 
Ninakushauri usikiapo jambo lenye mashaka usikimbile kalamu hata kama muhusika unamchukia kiasi gani.
TAKE TIME TO KNOW IT.
Kuwa mvumilivu tunajua unahasira na Chadema kwani hatukuoni popote mpaka Chadema itokee! Wewe ni mwanasheria wa aina gani? Safari ya kumfikia Lakha utaianza labda 2045, unasikitisha sana mr. Lawyer.
Matatizo yakusoma Sheria kisa baba alifungwa
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Tunaomjua lissu na wewe ulivyo tunacheka sana kwa kauli zako. Lissu ni genious, wewe ni kasuku na chawa mzee, tuache tumsikilize mwenye msimamo na akili atufundishe
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Utakuwa chawa tu wewe! Hawa hawaongei hadi wakubaliane! Ndo maana kasema tamko rasmi litatoka. Sema kiukweli, hata wewe tunakujua ulipolalia. Mbowe mwenyewe alishaanza kugusia gusia. Na kwa taarifa yako, Lissu bado ni assest kubwa mno, sio tu kwa CHADEMA, bali kwa Tanzania.
NB: Sina kadi ya chama chochote!
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Lissu anajua anachokifanya, hii ni 'pre-emptive strike' kwa mwenyekiti Mbowe. Ni wazi kuwa Lissu, Mnyika na pamoja na wanachama wengi wa CDM hawana imani na Mbowe, wana mashaka na mwenendo wake huko kwenye maridhiano.

Sasa Mbowe anamachaguo mawili, aikatae kauli ya Lissu na kutoa ushahidi kuwa CCM wamekubali mapendekezo ya CDM au athibitishe kauli ya makamu mwenyeki wake.
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P


What if Lissu ameamua kutoka hadharani baada ya kuona Mwenyekiti anaumauma maneno?



Maana kwa hali inavyoenda, mtu yeyote mwenye utimamu wa akili lazima atahoji msimamo wa Mwenyekiti ukoje haswa? Kuacha hizi drama za +255.




Is the Chairman’s true loyalty at stake?

Halima Mdee & Co bado wapo bungeni.
 
Turudi uwanja wa vita sasa... Police na vyombo vingine vya usalama wasiwe waamuzi wenye upendeleo .. Hata kabla mechi haijaanza tayari CHADEMA wana ushindi wa 3-0
Siku zinakuja ambapo mtanielewa ninaposema tatizo la nchi hii siyo uongozi wala mfumo. Tatizo ni CCM.

CCM ni kansa inapaswa kukatiliwa mbali. Kikundi cha wachache kinachosaliti Taifa zima kwa kujitwalia mamlaka na madaraka isivyo haki.

Anguko lake hakuna wa kuzuia. Hata tufe ama watuue wote wakabaki wao, bado anguko la CCM lipo palepale hakuna kinachobadilika
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Lakini amesema CCM wamekataa rasmi maridhiano kwa maandishi tarehe 30/5/2023, na jukumu la kutangaza limebaki kwa Mwenyekiti Mbowe, Sasa kama maandishi ya CCM yapo, inakuwaje ropo ropo?
 
Haya ndio yale mambo ya ropo ropo na uropokaji tuu, taarifa ya kuvunjika kwa maridhiano lazima itolewe ama rasmi na chama ama wana maridhiano wenyewe in this case ni Mwenyekiti Mbowe, au KM Mnyika na sio M/Mwenyekiti, TL, si miongoni mwa wajumbe wa maridhiano!.

Kwenye hii issue ya maridhiano, niliwahi kuwauliza CHADEMA Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa mtu kama huyu akitangaza kuvunjika kwa maridhiano, we have to doubt him!. Kama ni kweli maridhiano yamevunjika, then CHADEMA watatoa taarifa rasmi, sio hizi taarifa za ropo ropo!.

NB. Neno ropo ropo ni mtu kujiongelea mambo ya chama bila taarifa rasmi, na kwenye hili kiukweli huyu mdogo wangu wa Ilboru ni mzuri kumpita hata yule Blaza wangu, na ni mimi ndie nilimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

P
Una chuki tu na Lisu! Tunataka wanasiasa wakweli Kama Lisu sio kutwa kutudanganya wananchi kua wapo ktk majadiliano! Wakat yamekufa. We subir taarifa rasmi! Likn habar ndio hiyo.
 
What if Lissu ameamua kutoka hadharani baada ya kuona Mwenyekiti anaumauma maneno?



Maana kwa hali inavyoenda, mtu yeyote mwenye utimamu wa akili lazima atahoji msimamo wa Mwenyekiti ukoje haswa? Kuacha hizi drama za +255.




Is the Chairman’s true loyalty at stake?

Halima Mdee & Co bado wapo bungeni.
"Halima Mdee & Co bado wapo bungeni",
Mwambe(mbunge Chadema) alihama chama kwa hiari yake akajiunga CCM na akapewa kadi, Spika Kichaa akamtangaza kuwa ataendelea kuiwakilisha Chadema huku akiwa mwanachama wa CCM! Wapuuzi mnafurahia ukiukwaji wa katiba mkidhani mnaikomoa Chadema kumbe mnaonesha ujinga wenu kwenye jamii.
 
"Halima Mdee & Co bado wapo bungeni",
Mwambe(mbunge Chadema) alihama chama kwa hiari yake akajiunga CCM na akapewa kadi, Spika Kichaa akamtangaza kuwa ataendelea kuiwakilisha Chadema huku akiwa mwanachama wa CCM! Wapuuzi mnafurahia ukiukwaji wa katiba mkidhani mnaikomoa Chadema kumbe mnaonesha ujinga wenu kwenye jamii.

Samahani boss, wapuuzi ndio kina nani?







Kuna Tatizo kubwa la uelewa na ufahamu hapa nchini.
 
Back
Top Bottom