Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

Ninakushauri usikiapo jambo lenye mashaka usikimbile kalamu hata kama muhusika unamchukia kiasi gani.
TAKE TIME TO KNOW IT.
Kuwa mvumilivu tunajua unahasira na Chadema kwani hatukuoni popote mpaka Chadema itokee! Wewe ni mwanasheria wa aina gani? Safari ya kumfikia Lakha utaianza labda 2045, unasikitisha sana mr. Lawyer.
 
Wewe una chuki binafsi na Mh. Tundu Lissu lolote linalotoka kwake wewe lazima uliite uropokaji.
 
Acha kujitoa ujuaji kila Jambo, yaani we jamaa sijui unajikutaga nani? Welevu tunakushangaaga. We unamwita Lissu ropo . nonsense
 
Huyo Bibi haendi kokote zaidi ya 2025, afanye ukipepeo wake aondoke
 
Kama huwezi kufahamu nafasi ya Makamu Mwenyekiti basi una tatizo kubwa kuliko watu wanavyodhani kuwa una uchawa uliopitiliza!
 

True intent was absent…
Kazi bado ipo, muhimu ni kufika.
 
Turudi uwanja wa vita sasa... Police na vyombo vingine vya usalama wasiwe waamuzi wenye upendeleo .. Hata kabla mechi haijaanza tayari CHADEMA wana ushindi wa 3-0

Niko na wewe Kaka kwenye hili.... Mpira urudi kati.
 
makuwadi ya warabu mwambien mamayenu kuwa 2025 huku kanda ya ziwa hana chake arudishe pesa za mabwana zake tofaut na hapo ajiandae kuzitolea matundu yote ya mwili wake.
Nyumbu unawaka, au sio?!!!!🤣🤣🤣🤣

Hivi kanda ya ziwa ndo huko mwanza, shinyanga, geita na huku mara niliko ee?!!! Endelea kuchekesha walionuna!!!!
 
HAKI haiombwi, hudaiwa, KATIBA mpya ni sasa!!
Naunga mkono hoja, tena nililizungumza hili hapa Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini? nilisema
P
 
Wewe ndio roporopo na makuwadi wenzio wa warabu dpworld. Wewe unaposema kuwa m/mwenyekit sio miongon mwa wajumbe wa maridhiano je unawajua wajumbe wa maridhiano wa CHADEMA? Je, umewataja hapa jf hao unaofikir wajumbe wa maridhiano wa CHADEMA?
Wewe ndio roporopo maana unajadili mambo ya chama ambacho hata hakikuhusu na hujui taratibu zake na wala hujui hata vikao huwa wanakaa wakati gani narudia tena wewe ndio roporopo hata MAGUFULI alikupuuza hata ulipomuuliza swali lako la kijinga aliishia kuwatafasiria wasio wasukuma kuwa wewe ni njaa na hii inadhihirisha kuwa wewe ni njaa kweli ila wauza bandar wa ccm walishakupuuza had ukakomea kura moja kwenye gulio lenu la rushwa mnaloita kura za maoni za chama, kifupi wewe ni zee bwege lisilojitambua na hio ILBORU yako ni ya hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…