Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anauliza, very simple question " Jeshi la akiba liliundwa kwa sheria gani?"Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Au kaanza kachanganyikiwa?
The guy is smart upstairs aiseeee
Hata mimi nimeshangaa!
Ina maana Tanzania hatuna reserve forces?
Kwani hakuna sheria inayounda jeshi la akiba?Tunaongozwa na sheria. Kama ni la muhimu liwekwe kwenye sheria zetu. Si kienyeji hivyo.
Majeshi yanaundwa na Katiba ya nchi na sheria. Huwezi tu kuamka ukaanza kujiita wewe ni jeshi.
Kama hilo jeshi la akiba halipo kwa mujibu wa sheria, basi ni jeshi batili na haramu.
Kuwepo kwake ni swala moja, lakini uhalali wake ni swala la pili.
Lipo ndio, lakini je, lipo kwa mujibu wa sheria ipi?
Ukweli ni kwamba, KILA KITU kinaandikwa kwenye sheria.Si kila kitu kinandikwa kwenye sheria...
Ukweli ni kwamba, KILA KITU kinaandikwa kwenye sheria.
Na ukweli ni kwamba, majeshi yote HALALI ya nchi yanatambulika na Katiba ya nchi.
Kama kuna jeshi lolote halitambuliki kwenye Katiba ya nchi, ujue hilo ni JESHI HARAMU NA BATILI.
...."Mafunzo ya wanamgambo yalianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Mgambo ya 1963 ya kulipatia jeshi raia wa Tanzania, wakulima na wafanyakazi waliotayari kulinda nchi yao kama moja ya sehemu za JWTZ. Azma ya Wanamgambo ni kujenga moyo wa uwajibikaji na kujivunia taifa kwa wananchi kwa kuwakaribisha wananchi kutoa mchango wao katika ulinzi wa nchi."Ukweli ni kwamba, KILA KITU kinaandikwa kwenye sheria.
Na ukweli ni kwamba, majeshi yote HALALI ya nchi yanatambulika na Katiba ya nchi.
Kama kuna jeshi lolote halitambuliki kwenye Katiba ya nchi, ujue hilo ni JESHI HARAMU NA BATILI.
Inasemekana tuna reserve personnel ya watu 80,000...
Kwahyo na mie ile force [emoji648], ndo nimekua mjeshi?Huyu alielewa kwa nini JKT kwa mujibu wa sheria alipewa force number?
Sheria ya mgambo ilishafutwa....."Mafunzo ya wanamgambo yalianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Mgambo ya 1963 ya kulipatia jeshi raia wa Tanzania, wakulima na wafanyakazi waliotayari kulinda nchi yao kama moja ya sehemu za JWTZ. Azma ya Wanamgambo ni kujenga moyo wa uwajibikaji na kujivunia taifa kwa wananchi kwa kuwakaribisha wananchi kutoa mchango wao katika ulinzi wa nchi."
Tovuti Kuu ya Serikali.