Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Si kila kitu kinandikwa kwenye sheria...jeshi la akiba ni kamandi ya jeshi la wananchi wa tanzania ambapo majeshi mengine ni majeshi ya nchi kavu,majini na anga.

Kukuthibitishi hilo ndo maana mkuu wake ni afisa wa jwtz na linasimamiwa na jwtz na linapewa mafunzo na jwtz. Na vitambulisho vyao vinasainiwa na afisa wa JWTZ.

Sawa sawa na kusema leo jeshi la wanamaji limewnzishwa na sheria ipi...hitimisho jeshi la akiba ni moja ya kamandi ya jwtz na inasimamiwa na jwtz na linasimamiwa na sheria iliyoanzisha JWTZ
Kwa kuongezea hata Askari wastaafu wa Jwtz ni part ya Jeshi la akiba
 
...."Mafunzo ya wanamgambo yalianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Mgambo ya 1963 ya kulipatia jeshi raia wa Tanzania, wakulima na wafanyakazi waliotayari kulinda nchi yao kama moja ya sehemu za JWTZ. Azma ya Wanamgambo ni kujenga moyo wa uwajibikaji na kujivunia taifa kwa wananchi kwa kuwakaribisha wananchi kutoa mchango wao katika ulinzi wa nchi."
Tovuti Kuu ya Serikali.
Lissu sheria alizosoma kakariri
 
...."Mafunzo ya wanamgambo yalianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Mgambo ya 1963 ya kulipatia jeshi raia wa Tanzania, wakulima na wafanyakazi waliotayari kulinda nchi yao kama moja ya sehemu za JWTZ. Azma ya Wanamgambo ni kujenga moyo wa uwajibikaji na kujivunia taifa kwa wananchi kwa kuwakaribisha wananchi kutoa mchango wao katika ulinzi wa nchi."
Tovuti Kuu ya Serikali.
Mwanasheria nguli hii haijui au upotoshaji wa makusudi kama ilivyo ada kwa vyama vyetu vya upinzani?
 
Anauliza, very simple question " Jeshi la akiba liliundwa kwa sheria gani?"
Jeshi la akiba ndilo jeshi la mgambo. Nafahamu tangu kitambo na baadhi ya vitabu vimeandikwa majina haya.

Kama huelewi uliza badala ya kubwatuka, kiongozi mzima hovyo!
 
Majeshi yanaundwa na Katiba ya nchi na sheria. Huwezi tu kuamka ukaanza kujiita wewe ni jeshi.

Kama hilo jeshi la akiba halipo kwa mujibu wa sheria, basi ni jeshi batili na haramu (kama jeshi la wasiojulikana? hehehe).

Kuwepo kwake ni swala moja, lakini uhalali wake ni swala la pili.

Lipo ndio, lakini je, lipo kwa mujibu wa sheria ipi?
Yeye mwenyewe ni jeshi la akiba. Kasahau ana force number wakati si mwajiriwa wa jeshi.
 
Sheria ya mgambo ilishafutwa.

Ipo sheria mpya ya " jeshi la polisi na huduma za ziada".

Hata kwenye sheria ya JWTZ sijaona hilo jeshi la akiba.

Traditionally, tunaweza kuwa na kitu kinachoitwa jeshi la akiba, lakini sidhani kama ni jeshi rasmi.
Je sheria ya jwtz kuna majeahi mangapi
 
Amejichanganya kivipi wewe ndio unaleta uchambuzi wako ambao na Mimi naushangaa hapa,kwa maelezo ya lisu ameyataja majeshi yaliyopo kwa mujibu wa sheria likiwepo jeshi la mgambo,,,wewe umeleta tafsi unatuaminisha mgambo ndio jeshi la akiba,mavazi yanayo valiwa na mgambo unayajua?Hilo jeshi linalo vaa t-shirt nyekundu ni la wapi mbona huku Musoma sijawahi liona?
Inamaana hujui sisi mgambo tunavaa either gwanda la kimgambo ,au tshirt nyekundu na suruali nyeusi, na kamanda wetu ni JWTZ personal, kweli chadema ni UTO..
 
Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Mbona ksuliza swali zuri tu? Mwenye majibu si ampatie? Jeshi la Akiba limeundwa kwa sheria gani kwa mujibu wa katiba yeti?
 
Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
kwa mujibu wa sheria halipo na hakuna kitu kama hicho unless kama mmlianzisha kama intarahamwe tu
 
Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
unaweza ku cite kifungu cha sheria kinachotamka "Reserve Army" imechukua nafasi ya "Mgambo"?
 
Back
Top Bottom