Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Jeshi la akiba linafanya nini mtaani hapo?
 
Jeshi la akiba lina fanya kazi km msaidizi wa askari polisi sheria ya polisi inaitambua km msaidizi wake km hana majukum chini ya jwtz kwa wakati husika
Wewe unajua sheria kushinda lissu?

Pale walikuwepo polisi,magereza,mgambo,jwtz,usalama wa taifa nk walikuwa wanapewa shule ya sheria na nguli wa sheria kuwahi kutokea duniani(tz) katika karne ya 21.
 
Nilivyoona matusi na kejeli. Sikuona haja ya kukujibu.
Poleeeeeh sana.
Huna uwezo wa kunijibu kwa hoja Maana unasubiri mpaka umezeshwe kitu pasipo wewe kukielewa kwa Akili yako..

Acha tuwambie ukweli.
 
Nani kakuambia kwmb JPM ndo kaanzisha kamandi ya jeshi la akiba?
Kuanzisha sio ishu. Walioanzisha walikua na maana nzuri ya kulinda mipaka yetu na sio kulinda Mabeberu wa ndani walioshiba Mali na madaraka.

Vita zote za wenyewe kwa wenyewe zinaanzishwa na watawala wanapotumia MAJESHI VIBAYA dhidi ya raia wa nchi moja.
Unaweza ukajiaminisha kuwa jeshi ni la kabila moja kubwa lakini kumbuka kuwa watanzania tumeoleana na kuzaliana makabila tofauti.
Kuna Siku utamtuma MTU kwenda kumuua ndugu yake kwa sababu tu eti yeye ni Chama kingine.
Tafanya hivyo kama mlevi lakini siku ulevi ukiisha kichwani ataiona dhambi yake aliyoitenda dhidi ya ndugu yake.

Jeshi la akiba linatumiwa na kuitwa hivyo wakati wa vita.
Wakati wa amani linaitwa polisi wasaidizi.
Lisu yupo sahihi.
Kupuuza sheria na kanuni kwa sababu ya woga wa kupoteza madaraka ni janga kubwa sana Afarika .
Ingekua vyama Vingi ni uadui na vita basi nchi za magharibi zisingeisha vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Afrika tatizo ni kupuuza sheria na kanuni za Demokrasia zinazoweka viongozi kwa haki . Hata mbwa usipomtendea haki huwezi kumfanya rafiki na atakungata tuu mana hakuna namna nyingine.
 
Lissu nadhani ime mchanganya hilo jina jeshi la akiba ila tshet zinge andikwa jeshi la mgambo asinge uliza hilo na hatuna jeshi la mgambo ila tuna jeshi la akiba na Lipo chini ya jwtz na ni kamandi inayo jitegemea kama JKT.
 
15 October 2020
Kinondoni, Dar es Salaam
Tanzania

Polisi Jamii wapiga watu Dar es Salaam
Kamanda wa Polisi kanda maalum Lazaro Mambosasa atoa taarifa kwa umma juu ya magenge yanayojivisha uPolisi Jamii
 
Wewe unajua sheria kushinda lissu?

Pale walikuwepo polisi,magereza,mgambo,jwtz,usalama wa taifa nk walikuwa wanapewa shule ya sheria na nguli wa sheria kuwahi kutokea duniani(tz) katika karne ya 21.
Uwe makini ukiwa unajibu au kuandika, mh lissu anaweza kua bora ktk sheria ila ukumbuke pia ktk hayo majeshi kuna wanasheria na wasimamizi wa haki pia na wanajua cha kufanya. Sio sahihi kusema vikosi vyetu vya ulinzi eti vinapata mafunzo toka kwa gwiji wa sheria karne ya 21 kwa maajabu gani ya huyo Lissu ktk sheria duniani?
 
Back
Top Bottom