Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Magufuli si wa kumchekea, apigwe chini Uchaguzi huu, tukikosea tutajuta wote, hata MaCCM mnaotanguliza matumbo yenu mbele kuliko nchi, tutalia wote siku ikifika. Tuombe uzima tu, haya yanayotokea leo sio mageni, Burundi, Rwanda na hata Kenya na Syria walichinjana kwa kuendekeza umimi.

Pole yetu Watanganyika

Lissu M/Mungu akubariki sana.
Historia itakukumbuka Lissu.
 
Nauliza Jeshi la Akiba Mbona silioni tena kwenye Mikutano ya Lissu, limeshakufa ghafla hivi au wamerudi Kambini (au msituni sijui) kujipanga?....
CCM baada ya kupekua makabrasha yote ya sheria za nchi hii hawajakutana na kitu kinaitwa jeshi la akiba, wakaona sio kesi ngoja tulipotezee hili suala.


Heshima kwako kamanda Lissu
 
Jeshi la mgambo ndilo lilibadilishwa jina likaitwa jeshi la akiba, sasa huyu Lissu nae kila kitu kujifanya anajua.
 
Rais mtarajiwa Tundu Lissu, umekaripia na umeongea jambo nyeti sana kuonya wenye mamlaka kuanzisha vitu mfano Jeshi la Akiba ambalo halipo kisheria wala kikatiba na linaweka mwanya wa CCM Mpya kutumia vikundi hivi kutisha wananchi na halina hata mfumo wa rank and file la nani awajibishe kikundi hiki kisichotambulika kisheria lililo sawa na Intarahamwe.
 
Ccm baada ya kupekua makabrasha yote ya sheria za nchi hii hawajakutana na kitu kinaitwa jeshi la akiba, wakaona sio kesi ngoja tulipotezee hili suala.


Heshima kwako kamanda Lissu

Hili jeshi la akiba likisababisha maafa ni sababu tosha waziri wa mambo ya ndani, waziri wa ulinzi kupelekwa ICC The Hague katika Korti ya Kimataifa ya Jinai iliyopo Uholanzi kujibu mipango ya kuanzisha, kufadhili, kuwezesha kikundi hiki haramu cha siri kisichotambulika kisheria na kikatiba Tanzania kufanya madhara kwa wananchi.
 
Rais Magufuli mpaka dakika hii anatembelea 'rims' kakata pumzi mzee wa watu.

Msongo utampeleka pabaya!
IMG_20200903_160818.jpg
 
Sheria ya nchi inataka kuanzisha jeshi la akiba wakati wa vita sio wakati wa uchaguzi Jiwe anajiaandaa kumwaga damu hajisikii bill
kumwaga damu

Screenshot_20200903-205934.png
 
Nauliza Jeshi la Akiba Mbona silioni tena kwenye Mikutano ya Lissu, limeshakufa ghafla hivi au wamerudi Kambini (au msituni sijui) kujipanga?

Ila tuseme Ukweli bila Lissu nchi hii inaweza kutumbukia kwenye mambo ya kishenzi haijapata kutokea, dah...Lissu amemlazimisha hata Mgombea wa CCM akiri yeye anaomba ridhaa ya Miaka mingine mitano TU astaafu kama Nyerere
Jeshi la Akiba la Magu. Alikuwa anaandaa vikundi kama Hezbollah, Taliban, M23😅😅😅

JPM hachomoki.
 
Sheria ya nchi inataka kuanzisha jeshi la akiba wakati wa vita sio wakati wa uchaguzi Jiwe anajiaandaa kumwaga damu hajisikii bill kumwaga damu View attachment 1558799
Makundi ya kigaidi kama Hezbollah, Taliban, M23, Ali-shaabab yalianza kama hivi hivi mara jeshi la akiba, mara wanamgambo wa kujihami n.k
 
Back
Top Bottom