Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tusiitane Wajinga, si vizuri! Mgombea wako akiitwa mjinga utfurahi hata kama kweli ni mjinga!Mjinga akikosa hoja hutafuta vitu vyepesi ili aonekane ana hoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiitane Wajinga, si vizuri! Mgombea wako akiitwa mjinga utfurahi hata kama kweli ni mjinga!Mjinga akikosa hoja hutafuta vitu vyepesi ili aonekane ana hoja.
Sawa ila nae ana hoja nyepesi sana elli mshana.Tusiitane Wajinga, si vizuri! Mgombea wako akiitwa mjinga utfurahi hata kama kweli ni mjinga!
Kwa nini elli mshana.?Umeandika ujinga mtupu
Hata kama, tutumie lugha za staha! Kuna maisha baada ya siasa. Matusi hayajengi. ShukraniSawa ila nae ana hoja nyepesi sana elli mshana.
Sawa umeeleweka elli mshana. Ila kura yako muhimu kwa Magu elli mshana.. kiukweli tunaihitaji sana.Hata kama, tutumie lugha za staha! Kuna maisha baada ya siasa. Matusi hayajengi. Shukrani
Hahahaha hahahaha karibu sana tumpe kijana Lissu! UtabarikiwaSawa umeeleweka elli mshana. Ila kura yako muhimu kwa Magu elli mshana.. kiukweli tunaihitaji sana.
Ila si unajua lissu sio mpango wa taifa.Hahahaha hahahaha karibu sana tumpe kijana Lissu! Utabarikiwa
Bali ni mpango wa Mungu.Ila si unajua lissu sio mpango wa taifa.
Hapana Wala hajajichanganya anajuwa kuwa Sheria ilianzisha Jeshi la mgambo na mgambo pamoja na wastahafu wa majeshi mengine wakaitwa Jeshi la Akiba lkn wote walipohitajika kutekeleza majukumu yao hawakuwajeneralized, walicategorised kulingana na majeshi yao. Mf wa mstahafu wa jwtz, polisi, magereza tiss etc watavalia mavazi yao ya majeshi (waliyokuwa wanayumikia) pale walipotumikia.,sasa watawala wakabadili maana bila kuweka kwenye sheria. Swali waweza kutuambia ni lini Sheria ilibadili Jeshi rasmi lenye sare zinazopromoti kuwa ni Jeshi lipya la Akiba? Reasoning....Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Sawa. Ila mpango gani wa Mungu ambaye hatambui hata uwezo wa Mungu kwenye covid 19.Bali ni mpango wa Mungu.
Sheiza si unaona tunaweza kubishana bila kutukana? Tujirekebishe tafadhali, let's feel proud kutumia lugha ya staha
Una mwamini Mungu??Sawa. Ila mpango gani wa Mungu ambaye hatambui hata uwezo wa Mungu kwenye covid 19.
Mkuu it seems wewe ni mgeni hapa Tanzania? Unaijua hospital ya Apolo au St Thomas? Ulizijuaje?Si kila jambo linapitishwa kwa sheria..kwani utaratibu wa kufanya usafi kwenye mitaa yetu upo kisheria??
Na kama ni hivyo atueleze yeye sheria ya mbunge kutibiwa nje ya nchi imekaaje? Na je alistahili kuibebesha bunge gharama za matibabu wakati mchakato wake wa kwenda nje ulifanywa ufipa.
Wote mnaohoji juu ya kuwepo kwa jeshi la akiba Ni Wapumbavu na Akili zenu mwazifanya vipofu angali macho yaona.Jamani lissu n upstairs kwa kweli,
Hilo jeshi la akiba liliundwa kwa sheria ipi, na minajiri gani?
Nilivyoona matusi na kejeli. Sikuona haja ya kukujibu.Wote mnaohoji juu ya kuwepo kwa jeshi la akiba Ni Wapumbavu na Akili zenu mwazifanya vipofu angali macho yaona.
Mataifa mengi na yenye nguvu duniani(USA,CHINA,URUSI na N.k) yanalo jeshi la akiba,
Vijana Kila mwaka wanahitimu mafunzo ya Kijeshi nchini nakupewa vyeti vyenye force number ya Kijeshi Sasa unafikiri hao wanavyorudi mtaani watakuwa wanaitwa je? Kama siyo reserved force army.
Lissu Ni mpotoshaji mzuri tu tena kwa kupitia mgongo wa Sheria uchwara aliyo nayo kwahiyo nyie vifaranga mnaoshadadia huu ujinga ipo siku Atakuja kuwalamba makario na kuwambia hamna Sheria inayozuia nisiwalambe makalio.
Au ipo siku atakwambia ukafanye mapenzi na Kaka/dada ako kwa kukuaminisha kuwa hakuna Sheria inayokuzuia kutofanya mapenzi na ndugu yako isipokuwa mke wa mtu tu.
Haya endeleni kufuata Akili za kijinga.
Majeshi yote yanaundwa kwa sheria. NI LAZIMA.Huwezi kuunda kila kitu kwa sheria
Ndio. Zipo sheria ndogo zinazotungwa na halmashauri za miji na manispaa za kutunza mazingira.kwani utaratibu wa kufanya usafi kwenye mitaa yetu upo kisheria?
Unajua JWTZ ina kamandi ngp? Na unaweza kuzitaja!!..ni uchochoro wa ccm kufanya uhuni.
..Jwtz hawasemi popote kwamba kuna kamandi ya jeshi la akiba.
Nani kakuambia kwmb JPM ndo kaanzisha kamandi ya jeshi la akiba?Hapo ni mjanja mmoja na fisadi mmoja amechapisha T-shirt ili auze apate pesa.
Jeshi la mgambo lina Uniform zake Rasmi na mafunzo yake yanafanyika kwa uwazi bila kijali Vyama.
Lakini pia Watoto wa maskini wanaotumiwa na watawala walioshiba na kuvimbiwa wajitafakari.
Hivi kwa mfano kule Zanzibar kuna mwanajeshi wa akiba atakubali kutumika kuiba kura ili Dr. Hasani alazimishiwe ushindi???
Utakua ni ulevi ,laana ,kufuru, dhambi, uovu,uasi na dhulma kubwa sana .
Mungu hatawaacha siku ya kiyama wale walitakao lazimisha ushindi wa Huseni Mwinyi na yeye mwenyewe kwa sababu ,Mungu amempa Baba yake Urais kwa miaka wa Zanzibar na Tanganyika , Yeye mwenyewe Mungu akampa uwaziri kwa miaka zaidi ya 20 .Sasa anagombea kuomba ridhaa ya kuwa Rais kwa haki.
Akishinda kwa haki Sawa kabisa lakini asikubali kubeba laana mana Mungu amempa kila kitu na fahari zote za Dunia. Anataka nini tena kuvuruga na kuangamiza watoto wa maskini waishi maisha ya kiyatima kwa sababu anataka tena uraisi kwa nguvu. Kodi za wananchi amezila tangu utotoni na uwaziri miaka zaidi ya 20.
Hao wavaa T-shirt za Jeshi la akiba ni vijana wa familia maskini wasikubali kudhulumu ili kuwafurahisha watu wasioridhika na mema yote waliyopewa na Mungu kupitia madaraka.
CCM kwa nini Hanna shukrani hata kwa Mungu.
Hata upande wa bara.
Kuna mtu amekua waziri miaka 20 na Rais miaka mitano lakini bado hataki kutenda haki ili amwambie Mungu nakushukuru kwa uliponifikisha nami nakuahidi kusimamia uchaguzi uwe wa haki nikishinda nitakushukuru na kuendelea kuongoza kwa mapenzi yako lakini nikishindwa pia nitashukuru mana umenipa kupitia wananchi kwa wakati na sasa wananchi wako wamempa mwingine kura.
Vinginevyo kwa kweli nchi zetu maskini tutaendelea kubaki nyuma mana tunajenga na kisha tunaweka mazingira mabovu ya kulinda umoja wetu na matokeo yake tunavurugana na kuharibu hata vidogo tulivyojenga.
Jeshi la akiba ni mgambo na wana uniform zao na hawapaswi kufanya kazi za jeshi kama hakuna vita.
Hii mambo ya matishet ni miradi ya watu walafi .
Hao migambo Wakiwatumikia wananchi wanafanya kazi kwa kusimamiwa polisi.
Hawaruhusiwi kufanya chochote bila kukifisha kituo cha polisi.
Wakifanya kazi chini ya polisi wanaitwa polisi wasaidizi.
Lisu yupo sahihi.
Mkuu wa nchi anashauriwa vibaya na walevi wa madaraka wasiofuata sheria.
Ubababaishaji sasa basi.
Unajua JWTZ ina kamandi ngp? Na unaweza kuzitaja!!