Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Meja jenerali martin busungu
 
Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Jibu swali wewe, Lisu kauliza lipo kwa sheria ipi?
 
Si kila kitu kinandikwa kwenye sheria...jeshi la akiba ni kamandi ya jeshi la wananchi wa tanzania ambapo majeshi mengine ni majeshi ya nchi kavu,majini na anga.

Kukuthibitishi hilo ndo maana mkuu wake ni afisa wa jwtz na linasimamiwa na jwtz na linapewa mafunzo na jwtz. Na vitambulisho vyao vinasainiwa na afisa wa JWTZ.

Sawa sawa na kusema leo jeshi la wanamaji limeanzishwa na sheria ipi...hitimisho jeshi la akiba ni moja ya kamandi ya jwtz na inasimamiwa na jwtz na linasimamiwa na sheria iliyoanzisha JWTZ na si jeshi linalojitegemea.
Jeshi kamili ni moja tu nchini tanzania kwa maana ambalo litasimamia na kutoa maelekezo na kupiganisha vita ktk uwanja wa medani,mengine ni majeshi usu na mengine ni kampuni za ulinzi na vingine ni vikundi vya jamii vya ulinzi kwa kuzingatia muktadha wa maana ya neno jeshi tafsiri ni nyingi kutokana na ain ya ujumbe unaotaka kuupeleka kwa jamii.
UNazidi kujichanganya Mkuu, kwa nn hawakuchukua JWTZ au JKT tu tujue moja?
 
Lisu ndio maana anajifichia nyuma ya hoja yake ya Risasi tofauti na hapo ni empty set.

Hoja ya kitoto sana hii, yaani mijadala kama hii ndio ile mtu mkiwa kijiweni unaitoa ili kupotezea muda,

Stori za vijiweni ndio hoja anazokuja nazo mgombea Urais wa Chadema,

Inasikitisha sana.
Are you mad or something!?
 
Nyie mapimbi wa ccm hebu tutajieni jeshi la akiba limeundwa kwa sheria ipi acheni kuzunguka zunguka kama kuku anataka kutaga , anzisheni tu mambo baadaye yatawarudi wenyewe . Kifupi Ni kwamba kila mnachofanya kinajulikana .
IMG_20200901_130103.jpg
IMG_20200901_130114.jpg
 
Kazi zake ni zipi?
Limeundwa kwa sheria ipi?
Kazi ya JW ni kulinda mipaka, na kama haowako chini yao, kazi yao ni kuwa ni akiba yakulinda mipaka na si usalama wa Raia na mali zao.
Kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao ni kazi ya POlisi.

Sio sahii kuwa nao hao
Mkuu nashukuru kwa hoja.
Jeshi la akiba ni lipi km unalifahamu.
Lilianzishwaje na lini? Tukianzia hapo tutaelewana
 
Kazi zake ni zipi?
Limeundwa kwa sheria ipi?
Kazi ya JW ni kulinda mipaka, na kama haowako chini yao, kazi yao ni kuwa ni akiba yakulinda mipaka na si usalama wa Raia na mali zao.
Kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao ni kazi ya POlisi.

Sio sahii kuwa nao hao
Kazi zao ni kazi za ulinzi wa mipaka km jw pale wanapoitajika hasa kwenye vita
Pili kusaidia mamlaka za kiraia na za kijeshi kwenye kusimamia sheria yaani usalama wa raia na mali zao ambapo hapa wanashirikiana na polisi.

Kuhusu sheria kasome national defence act utaona.
 
Sasa nembo ndio sheria
Kwani idadi ya majeahi na vikosi vya ulinzi nani anavianzisha? Kwani kuongeza na kupunguza idadi ya wizara katiba inasemaje inasema lazima idadi ya wizara zikiongezeka au zikipungua zikatungiwe sheria?
 
Jamani lissu n upstairs kwa kweli,

Hilo jeshi la akiba liliundwa kwa sheria ipi, na minajiri gani?
Nchi yoyote baada ya vita vya kwanza kumaliza hii tabia ya akiba kwa ajili ya baadae ilikuwa kama ni njia ya kupunguza idadi ya wanajeshi katika bajeti

Akiba wanaweza kuwa
-mgambo
-polisi
-magereza
Kwa nchi kama usa wanaitwa veteran
Hawa ni kama unakipaji mfano mdunguaji,mjuaji sana kwenye uhalifu au balaa kwenye jambo fulani
 
Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Anaharibu makusudi

Hana sera
 
M
Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Matumizi ya Jeshi la Akiba ni yapi?Wanapatikanaje,wamefunzwa kutuliza fujo/ghasia kamamnda wao ni nani hasa hapa nchini?Mbona hatuwaoni kwenye mikutano ya CCM?
 
Back
Top Bottom