Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa CCM hawatakupa jibu lolote hadi hapo Babu yao Pole pole atakapokamilisha kutafuta majibu,hakuna ndani ya hicho chama mwenye kukukjibu hata Mwenyekiti hawezi.Jana aliulizwa directly yeye ajibu leo kwamba hili Jeshi la Akiba limetoka wapi?Umesikia akijibu leo pale Kambarage Stadium?Majeshi yanaundwa na Katiba ya nchi na sheria. Huwezi tu kuamka ukaanza kujiita wewe ni jeshi.
Kama hilo jeshi la akiba halipo kwa mujibu wa sheria, basi ni jeshi batili na haramu (kama jeshi la wasiojulikana? hehehe).
Kuwepo kwake ni swala moja, lakini uhalali wake ni swala la pili.
Lipo ndio, lakini je, lipo kwa mujibu wa sheria ipi?
Huwezi kuunda kila kitu kwa sheria. Hilo kusanyiko analohutubia hapi lipo kwa sheria gani?Anauliza, very simple question " Jeshi la akiba liliundwa kwa sheria gani?"
Ukisoma utaelewa ulichoandika au unataka kuwapa shida tu wengine?Huwezi kuunda kila kitu kwa sheria. Hilo kusanyiko analohutubia hapi lipo kwa sheria gani?
Hao anaodhania walimdhuru si wapo kisheria? Mbona walimdhuru kama anavyowahisi.
Tukuulize wewe mbumbumbu unayemtegemea mlevi wa konyagi?Unazungumzia Sungusungu kuwa jeshi la akiba ?
Kama hujui uliza usaidiwe.
Mtu ashakula mpaka advance af bado mnataka tumpe nchi! Hatuwez fanya huo ujingaGenius Mkuu. Akiwa Rais wetu rasmi hiyo October.. tutafaidika sana na kichwa chake hicho.
Jeshi la akiba lina fanya kazi km msaidizi wa askari polisi sheria ya polisi inaitambua km msaidizi wake km hana majukum chini ya jwtz kwa wakati husikaJeshi la akiba linatoa wapi mamlaka ya kulinda mikutano ya kisiasa ?
Eti anajua sheria kumbe ni fyatu tu.Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Hivi unadhani hatujui sheria ?Jeshi la akiba lina fanya kazi km msaidizi wa askari polisi sheria ya polisi inaitambua km msaidizi wake km hana majukum chini ya jwtz kwa wakati husika
Unajua...je nintakwa la katiba jeshi la akiba lipelekewe sheria yake bungeni?maana hata idadi ya wizara sijaona mtu akisema wizara hii imeanzishwa kwa sheria ipi?Hivi unadhani hatujui sheria ?
Mkuu hujui lolote jaribu kuendelea na mambo mengine.Unajua...je nintakwa la katiba jeshi la akiba lipelekewe sheria yake bungeni?maana hata idadi ya wizara sijaona mtu akisema wizara hii imeanzishwa kwa sheria ipi?
Basi kasome national defence act inalitambuaje...usiende specific kwenye sheria ya jeshi husikaMkuu hujui lolote jaribu kuendelea na mambo mengine.
Hakuna jeshi linaloanzishwa kwa mazoea tu bila sheria.
Ningekuona wa maana sana kama ungesema tu hili jeshi la akiba limeanzishwa kwa sheria ipi, kifungu kipi.
Na limekuwa deployed kulinda mikutano ya kisiasa kwa mujibu wa kifungu hiki, tarehe fulani basi.
Nje na hapo kula chakula cha usiku ulale
Mkuu jitahidi ule chakula chako cha usiku ulale hili unalojitutumua kujadili ni kubwa sana kwako huliwezi.Basi kasome national defence act inalitambuaje...usiende specific kwenye sheria ya jeshi husika
Mkuu Tanzania ni nchi,si familia ya Magufuli Wala yako.Sheria ndo inaweka utaratibu wa kipi kinapaswa kufanywaHuwezi kuunda kila kitu kwa sheria. Hilo kusanyiko analohutubia hapi lipo kwa sheria gani?
Hao anaodhania walimdhuru si wapo kisheria? Mbona walimdhuru kama anavyowahisi.
Ni muhimu watz tukawa makini kipindi hiki. Hawa ni majizi ya kura yameandaliwa huko singida wananchi tujiandae kama tukishindwa kuwadhibiti sasa tutalizwa wakati wa kura . Wala1msifikiri these are speciAl criminals. Tundu Lissu our smartest president is right let us fight these interehamwes before it is late.Ilifutwa lini?
Unaweza kuweka udhibitisho wa kufutwa kwa hio sheria?
Yeye mwenyewe Lissu katamka kua kuna Jeshi la Mgambo...asichofahamu ni kua Jeshi la Akiba na Jeshi la mgambo ni kitu kile kile...
Hakuna aliemkamilifu, tunapokosea tujifunze kukubali kua tumekosea...huo ndo uungwana sio kutafta visababu vya kujustfy makosa...
Mjinga akikosa hoja hutafuta vitu vyepesi ili aonekane ana hoja.Ukisoma utaelewa ulichoandika au unataka kuwapa shida tu wengine?
Si kila jambo linapitishwa kwa sheria..kwani utaratibu wa kufanya usafi kwenye mitaa yetu upo kisheria??Mkuu Tanzania ni nchi,si familia ya Magufuli Wala yako.Sheria ndo inaweka utaratibu wa kipi kinapaswa kufanywa