Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

akili zako za kipumbavu sana, kwahiyo sisiemu wanaleta dp world wakijua watu hawatasema kwasababu wakisema watawaambia wanashusha utalii? mnatumia utalii kama kigezo cha kuingia mikataba mibovu ambayo italigarimu taifa, huo utalii utaingiza shilingi ngapi ukilinganisha na mipesa mliyokwisha kuitoa kulipa mikataba mibovu mliyovunja na mtakayovunja? mnatumia icho kama kigezo watu wanyamaze wakati ninyi mnapiga pesa?
 
Laiti kama ungalinisoma ungenielewa na ungejua niliyemjibu nimemjibu Kwa namna ipi aliyowasilisha! Usiwe na hasira soma in between the lines utajua nilikua naeleza na kumaanisha Nini ni hivyo tu! Usiniweke upande wa CCM!
Nimewalaumu wanaoutangaza uhaini sasa wewe unajua aliyetangaza Kuna uhaini nchini ni nani, ni wanapinga uwekezaji usio na tija au wanaotetea mkataba usio na tija na wenye dosari! Ukiijua hayo utaniomba radhi Asap Niko Hapa nakusubiri
 
Rubbish.

Revolution has never been televised.
Kauli hii ikitolewa na mtu wa ngazi kama ya Dr slaa,ambaye tunafahamu sio kichaa wala hakuwahi kuugua ukichaa,ni lazima jeshi letu lichukulie hili kwa uzito mkubwa!
Endapo angekuwa kichaa jeshi lisingepoteza muda wake!
-Intact lissu is so bright and he is aware on that!
 
Babu kanyea Kitumbua😆😆 sasa anaenda kula dona lenye wadudu.
 
mbowe alikaa jela miezi 4 alivyotoka alifanya nini?
 
Utauona na kuusikia Mahakamani
kama atauona mahakaman you sholud stop making bullshit comments that the arrested have committed an offence of treason while the evidence is to be adduced in the court, otherwise doing so amounts to lunacy on your part.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…