Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.

Wanajua, na wametamka, waache wapate tabu
 
Wanaharakati uchwara walitaka kujifanya wapo mbele ya sheria. Acha wajifunze hao.
Wajifunze au ndio mnawapa free publicity. Shida serikalini wamejaa wajinga Kama wale kwenye kesi ya madini wanaojitetea kuwa hawajui sheria maana wameamka vibaya asubuhi.
 
"Ukicheka na nyani utavuna mabuwa". Hawa mapimbi walikuwa wanahamasisha civil unrest. Labda Mshana Jr hujawahi kuwasikia kule Club house na Mariaspsce.

Waliiuwa wanapnga kwananunukia vipazia sauti hadi vijana wa kwenye vijiweni ili wasikikize na wahamasike na harakati zao za kutaka kuipindua serikali.

Serikali imechelewa sana ku SEAL na wahuni hawa
Kwa ujinga wa hii serikali lazima ipinduliwe.
 
Kwani mtu hata akifa kalala

Ukomo wa maisha yake unakuwa umefikia hapo kwa sababu hakuna anayeishi milele, misuli ya moyo inakuwa imefikia mwisho wa kusukuma damu...

huwa kauawa na nani Kama siyo Mungu!?..

Mungu sio chanzo cha mtu kufa, soma vizuri maandiko...

mwanadam aliyeua mwenzie anapaswa kuuawa ili wengine wahofu kuua wenzao,siyo unajua halafu unaendelea kuning'iniza kengele na mtindi duniani

Ili asiue watu wengine, mtu huyo anapaswa kufungwa au kutengwa na sio kuuawa kama ilivyokuwa kwa Kaini...

Hakuna mtu mwenye haki ya kutoa uhai wa mtu...

Unamuuaje mtu ambaye unamuhuku kaua, kama kuua si sawa iweje umuue muuaji?
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Shida ya Jeshi la Polisi ni kwenye kutetea hoja zao Mahakamani, nakumbuka kesi ya Ugaidi ya Mbowe,ilikuwa ni aibu kwa kweli!
 
Ukomo wa maisha yake unakuwa umefikia hapo kwa sababu hakuna anayeishi milele, misuli ya moyo inakuwa imefikia mwisho wa kusukuma damu...



Mungu sio chanzo cha mtu kufa, soma vizuri maandiko...



Ili asiue watu wengine, mtu huyo anapaswa kufungwa au kutengwa na sio kuuawa kama ilivyokuwa kwa Kaini...

Hakuna mtu mwenye haki ya kutoa uhai wa mtu...

Unamuuaje mtu ambaye unamuhuku kaua, kama kuua si sawa iweje umuue muuaji?
Hakuna malaika mtoa roho,hutumwa na nani!?
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Kwani nani alisema ‘apinduliwe’
Iko hivi
Tulipofika ni pazuri kuliko mnavyofikiri watetezi wa mwarabu
Dunia itaamua sasa
Endeleeni kujichimbia shimo
Mlipo karibu WaTanganyika watakuwa
Tutauimba wimbo Mpya
Wimbo wa ukombozi
Wimbo wa matumaini
Wimbo wa asili yetu
Tukijivunia vyetu

Ukweli utasimama
 
Kwa ujinga wa hii serikali lazima ipinduliwe.
Nakuambiaje, hakuna nzi wala kiroboto yeyote anaweza kuoindua Serikali ya Tanzania.

Nyie pindueni matako yenu mnapo pigwa mti na hao wafadhili wenu. Hatutaki mashoga Tanzania
 
Back
Top Bottom