cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
"The extreme" kwani tumefika the extremeHii hapa Dr Slaa anaropokaView attachment 2717923
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"The extreme" kwani tumefika the extremeHii hapa Dr Slaa anaropokaView attachment 2717923
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Ushahidi wa Afande Kingai?Wewe shida yako ipo wapi? Subiri Mahakamani ushahidi ukitolewa
Wajifunze au ndio mnawapa free publicity. Shida serikalini wamejaa wajinga Kama wale kwenye kesi ya madini wanaojitetea kuwa hawajui sheria maana wameamka vibaya asubuhi.Wanaharakati uchwara walitaka kujifanya wapo mbele ya sheria. Acha wajifunze hao.
Unaelewa maana ya intimidating. Mnapenda ugaidi na uhaini utokee, ipo siku utatokea.Intimidating utawala qualifies to be treason. Soma vizuri section 139
IGP yupi?.Wewe na IGP nani ana taarifa za uhalifu nchi hii?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Leta clip nzima sio nusu nusu. Kasema the extreme ni kuipindua serikali. Hajsema nitaipindua serikali.Ushahidi kwa Dr Slaa huu hapa
View attachment 2717966
Kwa ujinga wa hii serikali lazima ipinduliwe."Ukicheka na nyani utavuna mabuwa". Hawa mapimbi walikuwa wanahamasisha civil unrest. Labda Mshana Jr hujawahi kuwasikia kule Club house na Mariaspsce.
Waliiuwa wanapnga kwananunukia vipazia sauti hadi vijana wa kwenye vijiweni ili wasikikize na wahamasike na harakati zao za kutaka kuipindua serikali.
Serikali imechelewa sana ku SEAL na wahuni hawa
Kama nakuona unavyojicheka mwenyewe.Kwa ujinga wa hii serikali lazima ipinduliwe.
Kwani mtu hata akifa kalala
huwa kauawa na nani Kama siyo Mungu!?..
mwanadam aliyeua mwenzie anapaswa kuuawa ili wengine wahofu kuua wenzao,siyo unajua halafu unaendelea kuning'iniza kengele na mtindi duniani
We endelea tu kulitamka ilo neno unadhani hawawezi kukupata. Ukidakwa usianze kulialia hapaKwa ujinga wa hii serikali lazima ipinduliwe.
Shida ya Jeshi la Polisi ni kwenye kutetea hoja zao Mahakamani, nakumbuka kesi ya Ugaidi ya Mbowe,ilikuwa ni aibu kwa kweli!Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
At Niger walikula kiapo kumlinda Rais pia!Wana kula kiapo kumlinda Rais wale. Unadhani kwa bahati mbaya?
Na yule Mama anayetaka kuuza njia kuu za Uchumi wa nchi,yeye siyo Mhaini kwa mujibu wa katiba?Haya kaandika nani.....Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna malaika mtoa roho,hutumwa na nani!?Ukomo wa maisha yake unakuwa umefikia hapo kwa sababu hakuna anayeishi milele, misuli ya moyo inakuwa imefikia mwisho wa kusukuma damu...
Mungu sio chanzo cha mtu kufa, soma vizuri maandiko...
Ili asiue watu wengine, mtu huyo anapaswa kufungwa au kutengwa na sio kuuawa kama ilivyokuwa kwa Kaini...
Hakuna mtu mwenye haki ya kutoa uhai wa mtu...
Unamuuaje mtu ambaye unamuhuku kaua, kama kuua si sawa iweje umuue muuaji?
Hiyo kauli ya Dr. Slaa hujaielewa mantiki yake, mnakata vipande vya kuwafurahisha badala ya kuchukua statement yote, ili kutafuta justification ya ujinga wenu, sioni jipya toka kwenu na hii michezo yenu.Ushahidi kwa Dr Slaa huu hapa
View attachment 2717966
Hako ulikokaweka alikatengeneza nani?Nimekaweka angalia post # 52
Kwani nani alisema ‘apinduliwe’Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Hiyo pekee yake ambayo hata wewe unakiri alisema inatosha kumhenyeshaKasema the extreme ni kuipindua serikali.
Nakuambiaje, hakuna nzi wala kiroboto yeyote anaweza kuoindua Serikali ya Tanzania.Kwa ujinga wa hii serikali lazima ipinduliwe.