Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana nakuuliza wewe uliyeleta hizo habari hapaWaulize waliyotamka hayo
Mimi nimeleta habari za Lissu kutowahi kutamka hayo maneno
Zipo clip kweli kasemaWeka ushahidi hapa, yeyote kati ya Adv. Mwabukusi, Mdude, au Dr. Slaa akitamka hayo maneno Rais apinduliwe, usilete porojo za kitoto hapa..
Lisu anafahamu hatari yake japo kwenye lugha za Staha ndio hana.Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Haya kaandika nani.....Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua...Mimi nimeleta habari za Lissu kutowahi kutamka hayo maneno
Futility mjadala wao kwenye clubhouse waliongeq hayo. Nenda twitter kigogo kaweka hizo clipsHaya kaandika nani.....Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maneno ya kawaida, kuiangusha kuna maana nyingi na kupindua pia kuba maana nyingi, Nchi imejaa wahuni hiiNamkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Twende taratibu hakuna haja ya kupaniki.. Anayekamatwa na kidhibiti ndio mshtakiwaFutility mjadala wao kwenye clubhouse waliongeq hayo. Nenda twitter kigogo kaweka hizo clips
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Hivi mtu akila kiapo cha uongozi akaenda tofauti na nakiapo adhabu yake ni hipi?Weka ushahidi hapa, kama yeyote kati ya Adv. Mwabukusi, Mdude, au Dr. Slaa akitamka hayo maneno Rais apinduliwe, usilete porojo za kitoto hapa..
Hiyo ni sawa iwapo serikali hiyo iliingia madarakani kwa kura halali za wananchi. Ule uchafu wa 2020 haubebi utetezi wako.Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Kweli kabisa mkuu, wangejua jinsi jeshi likipindua nchi wananchi tutawaunga mkono wangekaa kimya tu. Tumechoka kutawaliwa na hiki chama kwa shuruti, kinachokaa madarakani kwa mbeleko ya vyombo vya dola.Naona mnaanza kuwabeep JWTZ waone kumbe inawezekana, endeleeni kuumba Maneno.
Na ushahidi wa uhaini sio kutamka tu. Kupindua hadi kuprove dhamira lazima uwepo ushahidi. Kuwepo mipango maandalizi silaha etc. Kesi dhidi ya dr slaa inaweza sanasana kua uchochezi ambayo angeshinda kirahisi. Mwenyewe nilisikia amesema serikali isiyo sikivu hatua extreme ni kuipindua.Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Intimidating utawala qualifies to be treason. Soma vizuri section 139Na ushahidi wa uhaini sio kutamka tu. Kupindua hadi kuprove dhamira lazima uwepo ushahidi. Kuwepo mipango maandalizi silaha etc. Kesi dhidi ya dr slaa inaweza sanasana kua uchochezi ambayo angeshinda kirahisi. Mwenyewe nilisikia amesema serikali isiyo sikivu hatua extreme ni kuipindua.
Binafsi nilisema waarabu watatuchochea kutengana. Watapandikiza udini ubara na uzanzibari maana ni hodari kuhonga. Wao mradi wapate wanachotaka. Samia ashauriwe aachane na hii mambo ya bandari. Sijui hizi sera anatoa wapi maana ccm bado rasmi ni chama cha kulinda maslahi ya umma.
Lisu ni mwanaseria mjanja na muona mbele, na anajua baadhi ya matamko ya makosa, hat ile kesi ya bandari Lisu alijua nini ukweli wa kesi kisheria ndoma hakujiingiaza katika utetezi aliamua kusema majukwaani kisiasa zaid.Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Kwahiyo wakati mnaropoka mlikua mmelewa gongo au..Rubbish.
Revolution has never been televised.
Wewe na IGP nani ana taarifa za uhalifu nchi hii?Weka ushahidi hapa, kama yeyote kati ya Adv. Mwabukusi, Mdude, au Dr. Slaa akitamka hayo maneno Rais apinduliwe, usilete porojo za kitoto hapa..
Mwambufusi si naye mwanasheria sasa imekuwajeNamkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.
Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.
Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.
Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.
Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.
Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.
Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.