Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

Lissu hajawahi kutamka neno Rais apinduliwe

Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Lisu anafahamu hatari yake japo kwenye lugha za Staha ndio hana.

Mbowe na Mnyika hawanaga upuuzi
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Hayo ni maneno ya kawaida, kuiangusha kuna maana nyingi na kupindua pia kuba maana nyingi, Nchi imejaa wahuni hii
 
Weka ushahidi hapa, kama yeyote kati ya Adv. Mwabukusi, Mdude, au Dr. Slaa akitamka hayo maneno Rais apinduliwe, usilete porojo za kitoto hapa..
Hivi mtu akila kiapo cha uongozi akaenda tofauti na nakiapo adhabu yake ni hipi?
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Hiyo ni sawa iwapo serikali hiyo iliingia madarakani kwa kura halali za wananchi. Ule uchafu wa 2020 haubebi utetezi wako.
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Na ushahidi wa uhaini sio kutamka tu. Kupindua hadi kuprove dhamira lazima uwepo ushahidi. Kuwepo mipango maandalizi silaha etc. Kesi dhidi ya dr slaa inaweza sanasana kua uchochezi ambayo angeshinda kirahisi. Mwenyewe nilisikia amesema serikali isiyo sikivu hatua extreme ni kuipindua.
Binafsi nilisema waarabu watatuchochea kutengana. Watapandikiza udini ubara na uzanzibari maana ni hodari kuhonga. Wao mradi wapate wanachotaka. Samia ashauriwe aachane na hii mambo ya bandari. Sijui hizi sera anatoa wapi maana ccm bado rasmi ni chama cha kulinda maslahi ya umma.
 
Na ushahidi wa uhaini sio kutamka tu. Kupindua hadi kuprove dhamira lazima uwepo ushahidi. Kuwepo mipango maandalizi silaha etc. Kesi dhidi ya dr slaa inaweza sanasana kua uchochezi ambayo angeshinda kirahisi. Mwenyewe nilisikia amesema serikali isiyo sikivu hatua extreme ni kuipindua.
Binafsi nilisema waarabu watatuchochea kutengana. Watapandikiza udini ubara na uzanzibari maana ni hodari kuhonga. Wao mradi wapate wanachotaka. Samia ashauriwe aachane na hii mambo ya bandari. Sijui hizi sera anatoa wapi maana ccm bado rasmi ni chama cha kulinda maslahi ya umma.
Intimidating utawala qualifies to be treason. Soma vizuri section 139
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Lisu ni mwanaseria mjanja na muona mbele, na anajua baadhi ya matamko ya makosa, hat ile kesi ya bandari Lisu alijua nini ukweli wa kesi kisheria ndoma hakujiingiaza katika utetezi aliamua kusema majukwaani kisiasa zaid.
 
Namkosoaga sana Tundu Antipas Lissu ila kwenye eneo ambalo nakiri na nasema ukweli ni kwamba Tundu Antipas Lissu ni mwanasheria smart sana.

Tundu Lissu anajua sheria hasa, kwenye maneno yake anapima kila kitu anachoongea kwenye mizani ya sheria ndo mana hata kumkamata kisheria ni ngumu sana.

Uhaini ni shtaka zito sana. Ndo shtaka lenye adhabu ya kifo tangu dunia iumbwe.

Walianza Adamu na Hawa ambapo Mungu aliwaambia mtakufa hakika maana waliamini wakila tunda la mti wa kati watakuwa kama Mungu.

Kwa maneno wanayosema Slaa, Mdude na Mwabukusi eti tutaiangusha Serikali ya Samia , eti tutaipindua kamwe huwezi kusikia hayo maneno akiyatamka mwanasheria makini Tundu Antipas Lissu.

Ushauri wangu kwa ufipa. Kamwe wenye akili hawasemagi tutapindua Serikali.

Kulitamka hilo neno tu ni kosa kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Mwambufusi si naye mwanasheria sasa imekuwaje
 
Back
Top Bottom