Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

Ata Chadema ilivyokua katika uborawake haijawai kuifikia nusu ya hamasa waliyokuanayo Cuf ya lipumba tena hakukua na mitandao ya kijamii yaani Cuf walikua wanaweza kukinukisha buguruni isipitike kwa masaa kadhaaa.

Sasa Tundulisu na hamasa yake ya mitandaoni tena watuwenyewe hawafiki ata kumi wana vi account kwenye social media aanajiona mpambanaji.
 
Mkitaka kuona kama wanaweza au hawawezi kukinukisha leteni ujinga wenu wa wizi wa kura na kuwaoneo chadema mwaka huu kama mtapona!!
 
Kwa jinsi tu mataga mnavyohangaika usiku na mchana kumuandika Lissu ni dhahiri kuwa kabla hata mchezo haujaanza mumeshapagawa, hii peke yake ni kiashiria kuwa Lissu ni mwiba kwa CCM. Sasa ngojeni kipenga kipulizwe hadi 28/10/2020 ndiyo uje uropoke tena.
 
Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Watu mnajua kujifarii aisee!!
Kwa hivyo Kinana kaomba msamaha bure wakati anajua jamaa mwisho wake Oktoba 2020?

Ni akili ya ajabu sana kudhani wewe unaujua undani wa yanayoendelea CCM na serikalini kuliko kinana aliye salim amri.
 
Mwaka huu Kura zote za Udiwani, Ubunge na
Urais tunaziipiga vituoni, tunazilinda zikihesabiwa vituoni na tunahakikisha matokeo halisi ndo yanayotangazwa hapohapo kituoni. Hakuna wizi wowote wa kura au kura kubebwa kwenda kuhesabiwa sijui halmashauri au popote pale. Ndo mtajijua hamjui mwaka huu.
 
Wewe sema bila tume huru ya uchaguzi wapinzani ni ngumu kuingia ikulu acha porojo
 
Ndugu yangu YEHODAYA unakomaa sana kumfundisha Lissu na chadema what to do!

Unaonekana kidampa tu!

You are not qualified for that!
 
Nina wasiwasi wewe utakuwa ni Musiba in disguise , Mchana usiku unamuota. TUNDU LISU

Naona mwisho utatuletea leo Tundu Lissu kala maharage mengi sasa anajamba tu
 
Mbona walishashinda ni uhuni wakifanyiwa
 
Kama mnalijua hilo yanini mnachafua hewa?
 
Hapo jiwe lazima lisagike tu
 
Umemaliza kila kitu
 
Wewe ni mgeni Tanzania??? Au mburundi nini??? Hujui kuwa CCM walikuwa wanasafirisha maboksi ya kura kwenda halmashauri???

Alafu shida iko wapi wananchi wakilinda kura zao kituoni??? Unateseka eeeh?????

Mwaka huu hakuna kuiba kwa taarifa yenu. Mbinu zenu zote zinawekwa kapuni Enough is Enough!
 
Wewe mbona Lissu anakuumiza Roho na akili wakati unajua hashindi? Si Umuache tuu mbona unamsakama kila Siku baada ya Kifo kushindwa kumuondoa Duniani? Mjumbe Mambo na Maisha ya Lissu yatakupa Stroke au Heart attack. Muache Apumue si Hana lolote?
 
Tanzania ya ngangari sio tz ya Sasa,mbabe wa wizi Mungu alimpenda zaidi Safari hii Haki bin haki, udhalimu tupa kule
 
Maandamano ya Mange Kimambi Lisu aliingia mitini Tena wakati alikuwa mzima wa afya alibwata ohh lazima tukiinukishe siku ya siku ilipofika akajifungia choooni .Mange Kimambi hakuamini kilichotokea Hadi Leo! Kaacha siasa kabisa .
Nadharia ya kuamini watz Ni wapole itawacost.Njaa imewaamsha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…