Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

Ata Chadema ilivyokua katika uborawake haijawai kuifikia nusu ya hamasa waliyokuanayo Cuf ya lipumba tena hakukua na mitandao ya kijamii yaani Cuf walikua wanaweza kukinukisha buguruni isipitike kwa masaa kadhaaa.

Sasa Tundulisu na hamasa yake ya mitandaoni tena watuwenyewe hawafiki ata kumi wana vi account kwenye social media aanajiona mpambanaji.
 
Ata Chadema ilivyokua katika uborawake haijawai kuifikia nusu ya hamasa waliyokuanayo Cuf ya lipumba tena hakukua na mitandao ya kijamii yaani Cuf walikua wanaweza kukinukisha buguruni isipitike kwa masaa kadhaaa.
sasa Tundulisu na hamasa yake ya mitandaoni tena watuwenyewe hawafiki ata kumi wana vi account kwenye social media aanajiona mpambanaji.
Mkitaka kuona kama wanaweza au hawawezi kukinukisha leteni ujinga wenu wa wizi wa kura na kuwaoneo chadema mwaka huu kama mtapona!!
 
Kwa jinsi tu mataga mnavyohangaika usiku na mchana kumuandika Lissu ni dhahiri kuwa kabla hata mchezo haujaanza mumeshapagawa, hii peke yake ni kiashiria kuwa Lissu ni mwiba kwa CCM. Sasa ngojeni kipenga kipulizwe hadi 28/10/2020 ndiyo uje uropoke tena.
 
Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Watu mnajua kujifarii aisee!!
Kwa hivyo Kinana kaomba msamaha bure wakati anajua jamaa mwisho wake Oktoba 2020?

Ni akili ya ajabu sana kudhani wewe unaujua undani wa yanayoendelea CCM na serikalini kuliko kinana aliye salim amri.
 
Utaiba kura ambayo mtu hajapata? Unaiba kura hewa? Lisu ana kura gani za kupata Hadi useme ataibiwa?

Halafu acheni ujinga unaibiwaje wakati una wakala wako mwenyewe chumba Cha kuhesabu kura?

Miaka yote huwa mnaimba hup wimbo wa kijinga ohh tunaibiwa kura ukiambiwa onyesha kituo kimoja tu ulichoibiwa unatoa mimacho tu
Mwaka huu Kura zote za Udiwani, Ubunge na
Urais tunaziipiga vituoni, tunazilinda zikihesabiwa vituoni na tunahakikisha matokeo halisi ndo yanayotangazwa hapohapo kituoni. Hakuna wizi wowote wa kura au kura kubebwa kwenda kuhesabiwa sijui halmashauri au popote pale. Ndo mtajijua hamjui mwaka huu.
 
Wewe sema bila tume huru ya uchaguzi wapinzani ni ngumu kuingia ikulu acha porojo
 
Ndugu yangu YEHODAYA unakomaa sana kumfundisha Lissu na chadema what to do!

Unaonekana kidampa tu!

You are not qualified for that!
 
Nina wasiwasi wewe utakuwa ni Musiba in disguise , Mchana usiku unamuota. TUNDU LISU

Naona mwisho utatuletea leo Tundu Lissu kala maharage mengi sasa anajamba tu
 
Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha

Sasa Lissu kaziokota kwenye jalala la historia anajiona yeye ndie kamanda. Mkuu wa ngangari aliyeshushwa na Allah kuwangungurisha watanzania!! Ana Messianic lunatism!!

Lissu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwanini haokufanikiwa

Pia ajiulize kwanini maandamano ya Mange Kimambi aliyoaitisha na yeye Lisu akasema ataongoza kwa Nini hayakufanikiwa? Kwa Nini wali change direction

Je, anadhani ngangari yake itafanikiwa? Kwa nini Kuna tofauti na ngangari za akina Seif Sharrif Hammad ambako watu walikuwa tayari hata kujitoa muhanga

Ninachokiona Lisu anadhani kugundua kitu kipya ambacho serikali haijawahi kukutana nacho kuwa Ni Mara ya kwanza kutokea!!!

Anyway anajaribu kucopy Let us mwishowe itakuwaje lakini sidhani Kama hata hiyo strategy anatumia Kama aliifanyia analyisis akiwa nawatu waliobobea kwenye political science Kama akina professier Baregu Ange m consult amsaidie

It is just a reminder ythat there is nothing new under the sun
Mbona walishashinda ni uhuni wakifanyiwa
 
Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha

Sasa Lissu kaziokota kwenye jalala la historia anajiona yeye ndie kamanda. Mkuu wa ngangari aliyeshushwa na Allah kuwangungurisha watanzania!! Ana Messianic lunatism!!

Lissu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwanini haokufanikiwa

Pia ajiulize kwanini maandamano ya Mange Kimambi aliyoaitisha na yeye Lisu akasema ataongoza kwa Nini hayakufanikiwa? Kwa Nini wali change direction

Je, anadhani ngangari yake itafanikiwa? Kwa nini Kuna tofauti na ngangari za akina Seif Sharrif Hammad ambako watu walikuwa tayari hata kujitoa muhanga

Ninachokiona Lisu anadhani kugundua kitu kipya ambacho serikali haijawahi kukutana nacho kuwa Ni Mara ya kwanza kutokea!!!

Anyway anajaribu kucopy Let us mwishowe itakuwaje lakini sidhani Kama hata hiyo strategy anatumia Kama aliifanyia analyisis akiwa nawatu waliobobea kwenye political science Kama akina professier Baregu Ange m consult amsaidie

It is just a reminder ythat there is nothing new under the sun
Kama mnalijua hilo yanini mnachafua hewa?
 
Hapo jiwe lazima lisagike tu
Kama unadhani siasa za Lissu zimepitwa na wakati basi elewa kuanzia sasa, kuna mtu siasa zake kama ni ubaya basi ni mara sita ya Lissu, lakini siasa zake hizo ndiyo zimemfikisha hapo alipo na zinamhakikishia kuendelea kuwepo.
Usilalamike Jiwe kukutana na Chuma
 
Umemaliza kila kitu
TOFAUTI YA NGANGARI YA CUF NA YA LISSU' ILE YA CUF ILIKUWA HAINA USHAWISHI TOFAUTI NA HII YA LISSU,

AU NISEME ILE YA CUF ILIKUWA NI KAMA KUPIGA MIZINGA HEWANI KWENYE SHEREHE ZA KUMBUKUMBU YA UHURU WAKATI
HII YA LISSU NI KUPIGA MIZINGA KWENYE UWANJA WA MAPAMBANO
 
Kwani zamani zilikuwa zikihesabiwa wapi? Hata hujui Ni Hapo hapo vituoni ? ndio Maana mkisema mumeibiwa mkiulizwa kituo kipi hamuwezi kuonyesha!!

Halafu ohh tutalinalda kura wakala wa chama chako kazi yake nini? Huko ndani ya chumba si Ni.kulinda kura .

Watu wako.ndani wanahesabu kura wewe hata kusaona husaoni unasema unalinda kura kula gani unalinda Hapo?

Piga kura kalale kwenu waachie mawakala wako mgombea Kama huwaamini Hilo Ni tatizo lako
Wewe ni mgeni Tanzania??? Au mburundi nini??? Hujui kuwa CCM walikuwa wanasafirisha maboksi ya kura kwenda halmashauri???

Alafu shida iko wapi wananchi wakilinda kura zao kituoni??? Unateseka eeeh?????

Mwaka huu hakuna kuiba kwa taarifa yenu. Mbinu zenu zote zinawekwa kapuni Enough is Enough!
 
Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha

Sasa Lissu kaziokota kwenye jalala la historia anajiona yeye ndie kamanda. Mkuu wa ngangari aliyeshushwa na Allah kuwangungurisha watanzania!! Ana Messianic lunatism!!

Lissu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwanini haokufanikiwa

Pia ajiulize kwanini maandamano ya Mange Kimambi aliyoaitisha na yeye Lisu akasema ataongoza kwa Nini hayakufanikiwa? Kwa Nini wali change direction

Je, anadhani ngangari yake itafanikiwa? Kwa nini Kuna tofauti na ngangari za akina Seif Sharrif Hammad ambako watu walikuwa tayari hata kujitoa muhanga

Ninachokiona Lisu anadhani kugundua kitu kipya ambacho serikali haijawahi kukutana nacho kuwa Ni Mara ya kwanza kutokea!!!

Anyway anajaribu kucopy Let us mwishowe itakuwaje lakini sidhani Kama hata hiyo strategy anatumia Kama aliifanyia analyisis akiwa nawatu waliobobea kwenye political science Kama akina professier Baregu Ange m consult amsaidie

It is just a reminder ythat there is nothing new under the sun
Wewe mbona Lissu anakuumiza Roho na akili wakati unajua hashindi? Si Umuache tuu mbona unamsakama kila Siku baada ya Kifo kushindwa kumuondoa Duniani? Mjumbe Mambo na Maisha ya Lissu yatakupa Stroke au Heart attack. Muache Apumue si Hana lolote?
 
Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha

Sasa Lissu kaziokota kwenye jalala la historia anajiona yeye ndie kamanda. Mkuu wa ngangari aliyeshushwa na Allah kuwangungurisha watanzania!! Ana Messianic lunatism!!

Lissu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwanini haokufanikiwa

Pia ajiulize kwanini maandamano ya Mange Kimambi aliyoaitisha na yeye Lisu akasema ataongoza kwa Nini hayakufanikiwa? Kwa Nini wali change direction

Je, anadhani ngangari yake itafanikiwa? Kwa nini Kuna tofauti na ngangari za akina Seif Sharrif Hammad ambako watu walikuwa tayari hata kujitoa muhanga

Ninachokiona Lisu anadhani kugundua kitu kipya ambacho serikali haijawahi kukutana nacho kuwa Ni Mara ya kwanza kutokea!!!

Anyway anajaribu kucopy Let us mwishowe itakuwaje lakini sidhani Kama hata hiyo strategy anatumia Kama aliifanyia analyisis akiwa nawatu waliobobea kwenye political science Kama akina professier Baregu Ange m consult amsaidie

It is just a reminder ythat there is nothing new under the sun
Tanzania ya ngangari sio tz ya Sasa,mbabe wa wizi Mungu alimpenda zaidi Safari hii Haki bin haki, udhalimu tupa kule
 
Maandamano ya Mange Kimambi Lisu aliingia mitini Tena wakati alikuwa mzima wa afya alibwata ohh lazima tukiinukishe siku ya siku ilipofika akajifungia choooni .Mange Kimambi hakuamini kilichotokea Hadi Leo! Kaacha siasa kabisa .
Nadharia ya kuamini watz Ni wapole itawacost.Njaa imewaamsha
 
Back
Top Bottom