Pre GE2025 Lissu hana sera mpya, hatafanikiwa

Pre GE2025 Lissu hana sera mpya, hatafanikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.

Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.

Lissu hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election.

Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.

Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
 
Siyo sera ya Lissu nadhani Chadema wenyewe kwenye vikao vyao wajikite pia kwenye Sera na Mwelekeo mpya kwa Watanzania. Mfano Taifa jipya, Maisha Mapya na Ukombozi wa Kiuchumi chini ya Katiba mpya.
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.
Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.
Lissu
Hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election
Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.
Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Wewe CHAWA acha kupiga kelele, Tundu Lissu ni Homa ya jiji, CCM mmechanganyikiwa vibaya sana
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.
Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.
Lissu
Hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election
Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.
Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
huyo muungwana ni kibaka wa siasa aliekosa uelekeo :NoGodNo:
 
Naona Sasa mmeamua kuthihirisha like swala kuwa ni kweli"MAITI ZINAZOTEMBEA ZINAPATIKANA TZ".
VIVA STEVEN WASIRA.
Mpaka vyombo vya Dora vinavyowabeba vimebaki na nsitofahamu juu Wasira.

Mmelitia aibu Taifa misukule nyie

Usijekuta na wewe ndo 70+Yrs😂😂😂😂😂
Kanywe maji mengi,ila 2025 mnayo kazi kubwa.
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.

Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.

Lissu hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election.

Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.

Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Mtateseka sn ***** nyie,lazima mtapike hela zote za uwizi
 
Nani aliyekuambia kuwa maendeleo yanaletwa na uchaguzi.
Kuchagua ni kupanga na kama ilivyo kupanga ni kuchagua!
Uchaguzi unahusisha kuchagua viongozi Bora wenye kubena maono na kuwaongoza watu katika shughuli za maendeleo na kubuni sera na mipango yenye kuleta tija maendeleo!
Ni Bora kundi la kondoo kuongozwa na Simba kuliko kundi la Simba kuongozwa na kondoo!
Uchaguzi mbovu huleta viongozi wabovu wasiotokana na na wananchi ambao sasa wanatumia nguvu kubwa kutafuta kukubalika, kutumia wasanii, mpira na mabango barabarani badala ya kutafuta kukubalika Kwa kuwaletea wananchi maendeleo endelevu kiuchumi, kijamii na kisiasa!
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana kiasi hujaona haya!
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.

Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.

Lissu hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election.

Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.

Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Ccm daima
 
Mkuu mleta maada nilitaka kukulaumu lakini nikasema nisome kwanza jina lako kwa Avatar... Nikajikuta nime kusamehe.. Buree. Ila nikwambie kitu.. Muda ndiyo kitu kina hukumu kwa ukimya..... Muda ukifika una hukumu kimya kimya...
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.

Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.

Lissu hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election.

Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.

Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Dada unahangaika na Lissu utakuja pata maradhi yasiyotibika bure mwenzio wala hana muda na wewe unamuwaza yeye tu masaa yote.
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.

Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.

Lissu hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election.

Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.

Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Kichwa maji wewe
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.

Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.

Lissu hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election.

Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.

Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Lisu sio size yako wewe kiroboto
 
Mfano: Maalim alikuwa na kauli mbiu ya kuwakokomboa wazanzibar kutoka Tanganyika. Alieneza sera miaka karibu miaka 40 au zaidi.

Sera ilipokolewa na wapinzani na ndani ya CCM ndio upinzani ukashika kasi.
Yaliobaki ufisadi, kukuza uchumi ambapo alisema Zanzibar itakuwa ya neema. Hii iliwavutia wazanzibar.

Lissu hana sera maalum, mara tume ya uchaguzi, mara ukizimkazi, mara rushwa, mara umri wa wasira. Mara no reform no election.

Hakuna kauli mbiu ya chadema kuiondoa ccm. Hii itamfanya Lissu uchaguzi kuwa hali ngumu.

Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Tapeli la siasa
 
Back
Top Bottom