Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Wewe ni mjinga!Wamefanya maandamano na wanadai watangaziwe.Gari la matangazo la Chadema lilikuwa linazunguka mitaani likitangaza.Kazi yake ilikuwa nini?Yaani mnataka msimamishe shughuli za wananchi kupata riziki zao za kila siku?
Wacheni kudeka.
Huyo jamaa ni mjinga... Haelewi hata kinachozungumzwa!Mbona kwa makonda wanafanya hivyo na hulalamiki?
Anachanganya msafara na maandamanoWamefanya maandamano na wanadai watangaziwe.Gari la matangazo la Chadema lilikuwa linazunguka mitaani likitangaza.Kazi yake ilikuwa nini?Yaani mnataka msimamishe shughuli za wananchi kupata riziki zao za kila siku?
Wacheni kudeka.
Huyo ndiye wale tunaita vilaza waongo.Watajiongozaje wakati ulikuwa ukisema kwanini wasiwe front hao viongozi? Au umesahau kauli yako ile kuwa Lissu amekimbia maandamano ameenda kucheki mechi Ivory Coast?
Mbona Lisu ameongea vizuri tu ndugu, maana ni muhimu maelekezo yatoke kwenye chombo kinachosimamia usalama ili kuepusha usumbufu na maafa. Yakitokea maafa atakayelaumiwa ni Jeshi la Polisi ambalo ndilo lenye dhamana ya kulinda usalama wa watu na mali zao. Ndio maana hata taarifa za kusudio la maandamano hupelekwa Polisi.Wamefanya maandamano na wanadai watangaziwe.Gari la matangazo la Chadema lilikuwa linazunguka mitaani likitangaza.Kazi yake ilikuwa nini?Yaani mnataka msimamishe shughuli za wananchi kupata riziki zao za kila siku?
Wacheni kudeka.
Ni ombi sio vibayaLissu amesema sehemu nyingine duniani Polisi hutaja njia ambako maandamano yatapita na kutoa tahadhari kwa wafanyabiashara pamoja watu wanaotumia barabara hiyo wajue itatumika kwa maandamo, lakini maandamano ya CHADEMA yanafanyika huku magari yanaingilia msafara wao wa maandamano.
Akiongeza, kuchanganya waandamanaji na magari sio sawa kwani maafa yanaweza kutokea, na kuwataka polisi wafanye kazi yao ya kuwasaidia waandamanaji kuandamana kama wanavyofanya kwa Makonda. Akisema Makonda akifanya mikutano yake polisi wanahakikisha barabara inakuwa wazi lakini wakifanya CHADEMA ni tofauti, waandamanaji wanachanganywa na magari.
Lissu ameyasema haya leo tar 27/2/2024 akiongea na wananchi Arusha baada ya maandamano.
HahahaWatajiongozaje wakati ulikuwa ukisema kwanini wasiwe front hao viongozi? Au umesahau kauli yako ile kuwa Lissu amekimbia maandamano ameenda kucheki mechi Ivory Coast?