- Thread starter
- #21
Nawazindua Marobot ya lissu kama weweHakika Lissu anakulaza na viatu.
Hata yule "ntume" wako naona siku hizi humuongelei tena ila ni Lissu, Lissu, Lissu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawazindua Marobot ya lissu kama weweHakika Lissu anakulaza na viatu.
Hata yule "ntume" wako naona siku hizi humuongelei tena ila ni Lissu, Lissu, Lissu!!
Kwa hiyo wale bikira 72 na mito ya pombe huipambanii tena!!?Nawazindua Marobot ya lissu kama wewe
We ndio hujielewi, wamesema No reforms No elections maana yake sio kwamba hawatashiriki uchaguzi ila uchaguzi utafanyika baada ya reforms kupatikana meaning kama hakuna reforms basi hakuna uchaguzi kufanyika.Ktk mahojiano yake ya hivi juzi alisema No reform no election maana yake kwamba atafanya maandamano makubwa kuzuia uchaguzi. Mwandishi aliposema hio itakuwa vurugu? Akajibu kwamba ndani ya Katiba ni ruhusa kufanya maandamano.
Jana amesema maamuzi ya kuzuia uchaguzi yatajadiliwa ktk kikao.
Sote tunaamini maamuzi ya chama yatakuwa kushirik uchaguzi.
No reform no election inakufa hapo hapo.
Hii miaka yote tangu mfumo wa uchaguzi wa vyama vingi uanze kelele za upinzani ndio hizo.
Ya Mbowe ni ya Lissu
Atatulia tu muda ukifikaKtk mahojiano yake ya hivi juzi alisema No reform no election maana yake kwamba atafanya maandamano makubwa kuzuia uchaguzi. Mwandishi aliposema hio itakuwa vurugu? Akajibu kwamba ndani ya Katiba ni ruhusa kufanya maandamano.
Jana amesema maamuzi ya kuzuia uchaguzi yatajadiliwa ktk kikao.
Sote tunaamini maamuzi ya chama yatakuwa kushirik uchaguzi.
No reform no election inakufa hapo hapo.
Hii miaka yote tangu mfumo wa uchaguzi wa vyama vingi uanze kelele za upinzani ndio hizo.
Ya Mbowe ni ya Lissu
Malaria ishampanda hajui kuchambua hojaKtk mahojiano yake ya hivi juzi alisema No reform no election maana yake kwamba atafanya maandamano makubwa kuzuia uchaguzi. Mwandishi aliposema hio itakuwa vurugu? Akajibu kwamba ndani ya Katiba ni ruhusa kufanya maandamano.
Jana amesema maamuzi ya kuzuia uchaguzi yatajadiliwa ktk kikao.
Sote tunaamini maamuzi ya chama yatakuwa kushirik uchaguzi.
No reform no election inakufa hapo hapo.
Hii miaka yote tangu mfumo wa uchaguzi wa vyama vingi uanze kelele za upinzani ndio hizo.
Ya Mbowe ni ya Lissu
No reform no election,siyo azimio la Lisu ni la kamati kuu nzima, na wako sahihi,ni mjinga peke yake anayeamini kuwa Tanzania huwa tuna uchaguzi. Toka 2019 mpaka leo hatujawahi kufanya uchaguzi labda maigizo ya uchaguzi.Ktk mahojiano yake ya hivi juzi alisema No reform no election maana yake kwamba atafanya maandamano makubwa kuzuia uchaguzi. Mwandishi aliposema hio itakuwa vurugu? Akajibu kwamba ndani ya Katiba ni ruhusa kufanya maandamano.
Jana amesema maamuzi ya kuzuia uchaguzi yatajadiliwa ktk kikao.
Sote tunaamini maamuzi ya chama yatakuwa kushirik uchaguzi.
No reform no election inakufa hapo hapo.
Hii miaka yote tangu mfumo wa uchaguzi wa vyama vingi uanze kelele za upinzani ndio hizo.
Ya Mbowe ni ya Lissu
hahahaha,hilo moja tu haliwezi kufanya aonekane mbaya au hafaiUkiwa nje ya uongozi unaona walio ndani wajinga, haya sasa, ameshaanza kurudi nyuma.
Anaweza kuwa akashindwa yes, lakini je sheria na kanuni zetu za uchaguzi zinaweka fair ground kwa kila chama?Ktk mahojiano yake ya hivi juzi alisema No reform no election maana yake kwamba atafanya maandamano makubwa kuzuia uchaguzi. Mwandishi aliposema hio itakuwa vurugu? Akajibu kwamba ndani ya Katiba ni ruhusa kufanya maandamano.
Jana amesema maamuzi ya kuzuia uchaguzi yatajadiliwa ktk kikao.
Sote tunaamini maamuzi ya chama yatakuwa kushirik uchaguzi.
No reform no election inakufa hapo hapo.
Hii miaka yote tangu mfumo wa uchaguzi wa vyama vingi uanze kelele za upinzani ndio hizo.
Ya Mbowe ni ya Lissu
Kuzuia uchaguzi hawawezi, nasema kwa mdomo mpana hawawezi.Naona unapotosha msimamo wa Lissu.
Lissu kasema wazi jana kuwa kushiriki uchaguzi kama wa 2019, 2020 na 2024 ni kutafuta kwenda kuchinjwa!. Yaani ni ujinga!
Kasema kuwa hawasusi uchaguzi halafu eti wengine wafanye uchaguzi, bali wanakwenda kuufanya huo uchaguzi usifanyike kabisa.
Sasa namna ya kuufanya huo uchaguzi usifanyike ni.kwa namna gani?-Subiri wakajifungie kupitia vikao wakuletee hatua za kuchukua ili huo uchaguzi usifanyike!
Kama Africa siasa ni business, basi jua Lissu nae ni mwafrika. Siasa kwake kama businessAnaweza kuwa akashindwa yes, lakini je sheria na kanuni zetu za uchaguzi zinaweka fair ground kwa kila chama?
Kumbuka Africa siasa ni business ya kupata maslahi
Kwa hivyo? Mbowe atazuia kwa maandamanoNo reform no election,siyo azimio la Lisu ni la kamati kuu nzima, na wako sahihi,ni mjinga peke yake anayeamini kuwa Tanzania huwa tuna uchaguzi. Toka 2019 mpaka leo hatujawahi kufanya uchaguzi labda maigizo ya uchaguzi.
Yaweza kuwa kweli, lakini let's make the game fair to everyoneKama Africa siasa ni business, basi jua Lissu nae ni mwafrika. Siasa kwake kama business
Acha kujiaminisha sana bro, hii dunia si yako pekee.Kuzuia uchaguzi hawawezi, nasema kwa mdomo mpana hawawezi.
1. Maandamano hayawezi
2. Mahakamani hawatasikilizwa.
Kipi chengine?
Dunia hii ya wote. Ndio maana matusi yamenuondoa mboweAcha kujiaminisha sana bro, hii dunia si yako pekee.
Ndo maana hata hayo unayosema hayawezekani, yanaweza kutokeaDunia hii ya wote. Ndio maana matusi yamenuondoa mbowe
Labda n wale wamiaka izo 1902 🤣🤣🤣Dah, ulisomea nini shuleni?!
Kuzuia uchaguzi hawawezi, nasema kwa mdomo mpana hawawezi.
1. Maandamano hayawezi
2. Mahakamani hawatasikilizwa.
Kipi chengine?