Lissu: Katika Nchi Hii hatukuwekewa Utaratibu wa Kutokubaguana, Ubaguzi Ulianza Baada ya Uhuru

Lissu: Katika Nchi Hii hatukuwekewa Utaratibu wa Kutokubaguana, Ubaguzi Ulianza Baada ya Uhuru

Kilimo ni ajira!, sijaona kipindi ambacho banks zipo friendly kama wakati huu wa awamu ya sita.
Jaribu kuwa mkweli kidogo mkuu 'Croco.'
Naomba niseme kwamba leo nakusoma vizuri zaidi kuliko siku za nyuma. Leo umetulia kidogo na maandishi yako yanaonekana kuwa ya msingi sana.

Sasa niambie, mwananchi kule kijijini ataanzia wapi kwenda kutafuta mkopo Benki; na inawezekana kabisa hajawahi hata siku moja kuingia Benki!
Usilete utani mkuu, haya ni mambo muhimu sana.
Serikali imefanya juhudi zipi kuwapanga hawa watu ili waweze kupata mikopo ya Benki. Imewapa 'guarantee' huko Benki ili kuhakikisha Benki ziondoe mashaka juu ya wananchi hawa?
 
Jaribu kuwa mkweli kidogo mkuu 'Croco.'
Naomba niseme kwamba leo nakusoma vizuri zaidi kuliko siku za nyuma. Leo umetulia kidogo na maandishi yako yanaonekana kuwa ya msingi sana.

Sasa niambie, mwananchi kule kijijini ataanzia wapi kwenda kutafuta mkopo Benki; na inawezekana kabisa hajawahi hata siku moja kuingia Benki!
Usilete utani mkuu, haya ni mambo muhimu sana.
Serikali imefanya juhudi zipi kuwapanga hawa watu ili waweze kupata mikopo ya Benki. Imewapa 'guarantee' huko Benki ili kuhakikisha Benki ziondoe mashaka juu ya wananchi hawa?
Ni lazima kwanza warasimishe mashamba yao, yajulikane hasa juu ya mmiliki wake!, ndipo waingie bank, inapendeza sana kama sehemu ya shamba lako ukapanda mazao ya kudumu, hata heka moja ya mitiki, hapa bank has no to say! 7 days tu unapata fedha.
 
Mkuu 'Croco', tunaweza kufanya utani humu wewe na mimi na wengine wote, lakini inapokuja kwenye mambo kama hilo ulilotaja hapo roho yangu inasononeka sana na kuisikitikia nchi yetu hii.
Mimi siwezi kuwalaumu waTanzania kwa kutofanya wanayofanya waChina; kama huko kulima mchicha wao wakiwa wapowapo tu. Mimi nawalaumu viongozi wote wa nchi hii (kasoro Mwalimu), kwa kushindwa kuwatia moyo na kuwapa uwezo, ikiwa ni pamoja na mafunzo ya kufanya kazi hiyo vizuri sisi wenyewe.
Kwa kushindwa kuwahimiza na kusimamia kazi zao zifanyike vizuri.

Yaani hata wahitimu wetu wa kilimo wanashindwa kulima mchicha kwa ufanisi ili ulete tija kwao na ndugu zao; badala yake wanashinda kutwa wakitafuta kazi maofisini?

Na unajuwa kwa nin wanaona kilimo ni balaa kwao, kwa sababu serikali imekifanya kionekane kuwa balaa, ndiyo maana hata wananchi hawachangamkii fursa hiyo.
Sasa nchi inaposhindwa kufanya hata yaliyo ndani ya uwezo wake, eti tusubiri waChina waje kuwekeza kwenye kilimo cha mchicha Ruvu. Ukiwa kiongozi wa nchi utajivunia nini kwenye uongozi wako, unashindwa hata kuwapanga wananchi wako kuifanya vizuri kazi hiyo?

Inaudhi na kuumiza roho sana inapokuwa namna hii.
Spinach, mchicha,na baadhi ya mboga mboga ni mazao ya wiki mbili tu, unavuna!, ili kuingia sokoni ni lazima ulime kwa wingi, ili ufunge bundle kubwa, kuvutia wachuuzi!, mfano, bando huuzwa kwa 300-400, mchuuzi akinunua huligawa katika mabando madogo manne, yeye huuza 300/-mitaani.
 
Ni lazima kwanza warasimishe mashamba yao, yajulikane hasa juu ya mmiliki wake!, ndipo waingie bank, inapendeza sana kama sehemu ya shamba lako ukapanda mazao ya kudumu, hata heka moja ya mitiki, hapa bank has no to say! 7 days tu unapata fedha.
Sasa wewe hii elimu unayo ya kukuelewesha hivyo, pengine uliipata huko shuleni ulikokwenda kusoma; ambako kwa njia moja au nyingine uliwezeshwa na serikali.
Nielewe ninachosisitiza hapa, nafasi ya viongozi wetu katika maisha ya raia wanao waongoza. Ni wajibu wa hawa viongozi kuwa mstari wa mbele kuhakikisha wananchi wetu wanapata fursa zote zilizopo ili wajiletee maendeleo wao wenyewe, wananchi.
Huko kurasimisha mashamba yao wananchi wataanzia wapi kama viongozi hawawapi ufahamu wa faida ya kufanya hivyo?

Hebu elewa maana halisi ya neno hilo:"Kiongozi," wa watu.
 
Spinach, mchicha,na baadhi ya mboga mboga ni mazao ya wiki mbili tu, unavuna!, ili kuingia sokoni ni lazima ulime kwa wingi, ili ufunge bundle kubwa, kuvutia wachuuzi!, mfano, bando huuzwa kwa 300-400, mchuuzi akinunua huligawa katika mabando madogo manne, yeye huuza 300/-mitaani.
Lakini hujajibu hoja.
Kwa nini waChina watoke China kuja kulima mchicha hapa na kupata faida; lakini mTanzania wetu hawezi kuifanya kazi hiyo kwa faida.
Ukipata jibu la mfano huu, utapata majibu ya kila sekta, hata huko kuendesha bandari zetu tu kwa faida sisi wenyewe. Kwa nini akili za viongozi wetu zimegota kabisa juu ya swala hili?

Ninavyokusoma leo, naona unajitahidi sana kukwepa hili swala la uhusika wa uongozi wetu katika kushindwa kutuongoza tulete maendeleo ya nchi yetu.
Badala yake, unabaki kunicheka tu niliyo andika na kuendelea na mengine kma kawaida.
 
Lakini hujajibu hoja.
Kwa nini waChina watoke China kuja kulima mchicha hapa na kupata faida; lakini mTanzania wetu hawezi kuifanya kazi hiyo kwa faida.
Ukipata jibu la mfano huu, utapata majibu ya kila sekta, hata huko kuendesha bandari zetu tu kwa faida sisi wenyewe. Kwa nini akili za viongozi wetu zimegota kabisa juu ya swala hili?

Ninavyokusoma leo, naona unajitahidi sana kukwepa hili swala la uhusika wa uongozi wetu katika kushindwa kutuongoza tulete maendeleo ya nchi yetu.
Badala yake, unabaki kunicheka tu niliyo andika na kuendelea na mengine kma kawaida.
Kwa nini DP World, wanaendesha bandari za UK, Inamaana waingereza hawana akili?
 
Kwa nini DP World, wanaendesha bandari za UK, Inamaana waingereza hawana akili?
LOooh! Hapana, siyo kwamba waingereza hawana akili au HAWAWEZI kuziendesha bandari zao. Kuna tofauti kubwa kabisa kuhusu sababu zinazowafanya wao kutopenda kuziendesha bandari zao. Sisi sababu ni hiyo hiyo, kuwa HATUWEZI!
Kwa hiyo usichanganye mambo hapa.
Watu wanarukia tu kutoa mifano kama hiyo bila kutafakari.
Je, bandari za Waingereza zote zinaendeshwa na DPWorld? Hakuna bandari wanazoendesha waingereza wenyewe kwa ufanisi?
 
Back
Top Bottom