Japhet Karibu
Member
- Feb 27, 2020
- 79
- 129
Jipige kifuani mara tatu kisha sema "Mimi japhet Karibu" ni matako kama yalivo matako ya Shishi baby.Jana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
Nyie ndio mataahira ambayo Lisu anajivunia kuwa nayo!Jipige kifuani mara tatu kisha sema "Mimi japhet Karibu" ni matako kama yalivo matako ya Shishi baby.
Wananchi wenyewe kutwa nzima wamekaa kumsubiri, wameambiwa rudin home, watu wakagoma katakata.
Kwa ule umati km Polis wangeusambaratisha kwa mabomu basi ingekua ni hatari kuliko hatari ambayo matope yako lichwan T.Lissu alifanya makusudi.
Amefikaz yaan watu wamsubiri mpaka muda huo, wengine mpaka wakaenda kwenye Hotel alofikia... Asiwasalimie?????? Unahisi iyo kesho yake wangekuaje?? Wangemtafasiri Lisu km kiongozi gan???
Kama hujanielewa....jipige tena kifuani mara tatu kisha sema " Mimi Japhet karibu ni mjinga wa kupindukia".
sema 'mimi Jafet Karibu ni mjinga wa kupindukia'Jana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
Jana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
[emoji23][emoji23][emoji23]Jipige kifuani mara tatu kisha sema "Mimi japhet Karibu" ni matako kama yalivo matako ya Shishi baby.
Wananchi wenyewe kutwa nzima wamekaa kumsubiri, wameambiwa rudin home, watu wakagoma katakata.
Kwa ule umati km Polis wangeusambaratisha kwa mabomu basi ingekua ni hatari kuliko hatari ambayo matope yako lichwan T.Lissu alifanya makusudi.
Amefikaz yaan watu wamsubiri mpaka muda huo, wengine mpaka wakaenda kwenye Hotel alofikia... Asiwasalimie?????? Unahisi iyo kesho yake wangekuaje?? Wangemtafasiri Lisu km kiongozi gan???
Kama hujanielewa....jipige tena kifuani mara tatu kisha sema " Mimi Japhet karibu ni mjinga wa kupindukia".
Ni kusudi na kiburiJana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
Issue wahuni wakipopoa bichwa lake na mawe asisingizie CCMNi kusudi na kiburi
Hapana watu waligoma kutoka na muda.haurusu kuwahutubia alienda kuwatawanyisha na kuwahidi atalanta mkutano kipindi kingine wananchi wakija kusanyika nivizuri tukatumia style hiyo kuidhibiti mob sycology mie kukuona amehutubia paleJana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
Nyie ndio mataahira ambayo Lisu anajivunia kuwa nayo!
Mleta mada kaleta mada nzuri sana hii! Waliosema kampeni mwisho saa 12 hawakuwa wajinga. Lisu nae alivyo mbumbumbu anatokeza tu bichwa lake eti kisa kuna umati wa watu wakati anaona ni usiku!.
Angepipolewa mawe angemlaumu nani kwa usiku ule?
Jana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
Mwisho ni saa 12:00 jioniHivi saa 12 jioni simpaka iiishe ifike saa moja ndo saa 12 inaisha, alafu vitu vingine tunapaswa kutumia hekima siyo nguvu Sasa mtu amechelewa kwasababu zilizonje ya uwezo wake kafika kawaambia watawanyike kosa liko wapi? Mfalme Sulemani aliomba hekima kitu kilichompa kibali kuingiza taifa, Mambo yote nje ya Sheria tunahitaji kutumia hekima ili tupate kibali machini kwa watu na Mungu.
Polepole alisema kuwa watu huwa wanajitokeza kwenye mikutano yao na njiani kwanzia SAA 12 kasorobo mbona hashughulikiwi?Jana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
Huyu msaliti Lissu ametumwa na mabeberu wakina Robert Amsterdam ili watz wapigane ili waibe rasilimari zetu ndiyo maana anafanya hivyo makusudi kabisa.Jana akiwa njiani kuelekea Moshi Lisu alifanya kampeni gizani huku wananchi wakiwasha simu na tochi zao kupata mwanga sasa je haya si kwamba anafanya makusudi ili akidhurika ailaumu serikali. Kwa nini hataki kufuata sheria zilizowekwa kuwa muda wa kumaliza kampeni ni saa 12 jioni. Nawasilisha
Hakupaswa kuzungumza wale ni watu wazima wangeondoka wenyewe