Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,093
- 2,843
Tusi ama Kusifiwa ni Perspective ya muhusika.. Jinsi utakavyotafsiri.Talent ya kutukana siyo? Uko Mirembe au uko wapi tukuwahishe sasa hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusi ama Kusifiwa ni Perspective ya muhusika.. Jinsi utakavyotafsiri.Talent ya kutukana siyo? Uko Mirembe au uko wapi tukuwahishe sasa hivi
Tuliza mshono kijana watu tumetoka hija hii biashara yako unayotangaza kila mara situmii hiyo kitu unalazimisha kunifuata pm!Kipara bila akili ni Sawa tako
Kipara bila akili ni sawa takoTuliza mshono kijana watu tumetoka hija hii biashara yako unayotangaza kila mara situmii hiyo kitu unalazimisha kunifuata pm!
Kipara bila akili ni Sawa takoItabidi nivumilie harufu!
Kipara bila akili ni Sawa takoItabidi nivumilie harufu!
Kipara bila akili ni Sawa takoLeo nitahakikisha unanyea mashuka!
Wacha tuone mwisho wao!Mbowe akiachia chair chadema inakuwa viziri sana dakitari silaa wmwambukusi. Mdude msigwa lema chama kitapata uungwaji mkono ma wengi
Lema alikuwa wapi wakati tukiyasema haya!Pafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Hii ndiyo JF sasa.Pafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Tuendelee kuwahabarisha mkuu!Hii ndiyo JF sasa.
Kongole sana mkuu kwa kuona mbali. Siyo haya machawa kutwa kujitoa ufahamu.
Erythrocyte ukweli huu Sasa.
Muda ni mwalimu wa kweli. Unajiona ulivyopuñguani leo wee nyumbu?Weka bango hapa kwenye kibanda chako:
"Mganga maarufu kutoka Sumbawanga. Njoo nikutabirie nyota yako". Hutawakosa punguani wa kuwaokota.
Imeshatokea sasa, ushachoma kadi? Hii ndo jf sasa.Ikitokea hii nachoma kadi ya CCM. Hakika hii timu itatisha bila kumsahau HECHE
Nyumbu hovyo kabisa.Uzushi Mtupu
Lucas MwashambwaMimi Mwashambwa Lucas Nasema acha wapinduane tu mpaka na ikibidi hata wagawane mbao ili kila mtu aende na mbao zake kwake kukokea moto kwa ajili ya kuota kupata joto.
BamsWeka bango hapa kwenye kibanda chako:
"Mganga maarufu kutoka Sumbawanga. Njoo nikutabirie nyota yako". Hutawakosa punguani wa kuwaokota.
Huyu nu zaidi ya Muyaya, huyu ni kuku ngubendu wa zàbanga.Si tuliambiwa ni chama cha mkwe amemrithisha Mwenyekiti wa Muyaya
Nadhani Leo hii unàelewa maana ya kipara kipya .Bado tu mnatumiaga mbinu hii ya propaganda uchwara za miaka 47?
Huu uwendawazimu wenu wa kujaribu ku - baffle mgogoro ndani ya CHADEMA hujitokeza kila zinapokaribia chaguzi kuanzia 2005, 2010, 2015 na zaidi ilikuwa 2020...
kipara kipya unadhani una akili utaiweza kuicheza ngoma ya CHADEMA wewe na wenzako maana style ya propaganda ni ileile na watu ni walewale tangu miaka ileeeeeee na ilishashindikana!!
mungu wenu mjinga sana, unaona ukweli sasa?Mtakufa nyie CHADEMA mpango wa Mungu.
mirror01Tuliza mshono kijana watu tumetoka hija hii biashara yako unayotangaza kila mara situmii hiyo kitu unalazimisha kunifuata pm!