kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #121
Ngoma anaicheza ngoma yeye!Nadhani Leo hii unàelewa maana ya kipara kipya .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma anaicheza ngoma yeye!Nadhani Leo hii unàelewa maana ya kipara kipya .
Kwa maelezo ya Lema jana, hii habari ilikuwa ni ukweli mtuuNgoja tuone!wapiga ramli kazini!!
Jibuni hoja zake au hakuna vichwa!!!?
Nyota yako majibu yamepatikana!Weka bango hapa kwenye kibanda chako:
"Mganga maarufu kutoka Sumbawanga. Njoo nikutabirie nyota yako". Hutawakosa punguani wa kuwaokota.
Kwa maelezo yale ya Lema jana, hii habari ni ukweli mtupu sema kwasababu Mbowe alishabeba akili zetu zote ndio maana tulikuwa tunaona mleta mada mwongoWeka bango hapa kwenye kibanda chako:
"Mganga maarufu kutoka Sumbawanga. Njoo nikutabirie nyota yako". Hutawakosa punguani wa kuwaokota.
Vipi?Bado hamjasema
Maono yako yalikuwa makubwa leo hii yamerudiwa na Ntobi na yerricko nyerere!We unataka mtendaji au muigizaji, yule hafai kuwa kiongozi ht wa kitongoji
Vipi kuhusu malipo yangu hayastahili!Kwa ujinga huu (kazi hii), malipo unayopata sio halali.
Source yangu umeipata sasa!Kipara tako hujaweka source
Mzee Chakaza umeadimika sana!Halafu unakuta hao vuvuzela wa ccm wengine ni watumishi na wanalia lia na kikokoto na umasikini wao baada ya kustaafu.
Leo Samia kawakimbia Arusha lakini shida zao wakigeuka nyuma wanataka kina Heche, Lema, Lissu nk ndio waeasemee!
Ni kama wamelishwa limbwata na ccm
Upo!CCM kwa uzushi kama huu tunapata faida gani?
Ujinga umesadiki!Acha mipasho kama upo chitchat. Ninekuambia unapoandika habari zenye kuvuta hisia za watu punguza ujinga na andika kitu kikicho sahihi
Nakuletea utumbo upikie ndizi!Umeandika utumbo mtupu, halafu wakati mwingine habari zenye kuvuta hisia za watu muwe mnaandika kwa weledi basi.
Chenye wazee wa busara kimewasaidiaje wa Tz?Chama hakina wazee wenye busara!
CCM ni sumu!😳Chenye wazee wa busara kimewasaidiaje wa Tz?
Kweli wewe Kipara. Na iwe hivyo ili kuleta siasa ya ushindaniPafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Unaishi wapi?Chenye wazee wa busara kimewasaidiaje wa Tz?