Tetesi: Lissu kufanya mapinduzi CHADEMA kuwavuta Mwabukusi, Dkt Slaa na Mpina

Tetesi: Lissu kufanya mapinduzi CHADEMA kuwavuta Mwabukusi, Dkt Slaa na Mpina

Acha mipasho kama upo chitchat. Ninekuambia unapoandika habari zenye kuvuta hisia za watu punguza ujinga na andika kitu kikicho sahihi
Ndio maana nilikuambia vile nawe upunguze ujinga!
 
Pafukapo moshi ujue kuna moto,

Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.

Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .

Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.

Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!

Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Mtakufa nyie CHADEMA mpango wa Mungu.
 
Binafsi naona nchi ya Tanzania inahitaji ukombozi wa awamu ya pili baada ya ukombozi kutoka kwa mkoloni Mwingereza.

Lisu anatakiwa kuwa Mwenyekiti na Mboye atulie au akagombee ubunge.

CHADEMA wakiendesha siasa za kiharakati, hakika nchi itapata maendeleo kwa sababu CCM wanahitaji kuchangamshwa ili walete maendeleo.

Simaanishi nataka vita, la hasha, nataka siasa za kiharakati mfano kuikosoa serikali wazi wazi, maandamano serikali inapolala nk. Hii itawafanya viongozi wa CCM kushughulikia kero za wananchi!
 
Pafukapo moshi ujue kuna moto,

Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.

Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .

Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.

Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!

Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!



Lisu na Dr Slaa? Labda ni Lisa umekosea spellings
 
Pafukapo moshi ujue kuna moto,

Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.

Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .

Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.

Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!

Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Wakimchukua na MPINA watakuwa wamefanya la maana sana. Mpina ni Bonge la STRIKER 😀
 
Ninawajua lakini siwasujudii. Huenda kwakuwa ww unasujudia viongozi wa ccm, basi unadhani Kila mtu ana udhaifu kama wako.
Bwana mdogo Tindo ungeniambia sio mfuasi wa chadema ningekuamini huna udhaifu huo lakini mpaka muda huu upo ndani ya koti la Mbowe!
 
Binafsi naona nchi ya Tanzania inahitaji ukombozi wa awamu ya pili baada ya ukombozi kutoka kwa mkoloni Mwingereza.

Lisu anatakiwa kuwa Mwenyekiti na Mboye atulie au akagombee ubunge.

CHADEMA wakiendesha siasa za kiharakati, hakika nchi itapata maendeleo kwa sababu CCM wanahitaji kuchangamshwa ili walete maendeleo.

Simaanishi nataka vita, la hasha, nataka siasa za kiharakati mfano kuikosoa serikali wazi wazi, maandamano serikali inapolala nk. Hii itawafanya viongozi wa CCM kushughulikia kero za wananchi!
Hata ikiwezekana washike dola ila tatizo lipo kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo!
 
Pafukapo moshi ujue kuna moto,

Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.

Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .

Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.

Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!

Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Kipara bila akili ni Sawa tako
 
Back
Top Bottom