Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ni kweli, ila hao ni lile kundi la wajinga.Mbona wana usubiri kwa hamu kubwa na shauku wanasema wanatayarisha vichinjio!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ila hao ni lile kundi la wajinga.Mbona wana usubiri kwa hamu kubwa na shauku wanasema wanatayarisha vichinjio!
Hapa una mzungumzia Mbowe,lissu,mnyika & wafuasi watiifu!Ni kweli, ila hao ni lile kundi la wajinga.
Kakojoe ulale!Umeandika utumbo mtupu, halafu wakati mwingine habari zenye kuvuta hisia za watu muwe mnaandika kwa weledi basi.
Ndio, kwani wao ni nani labda?Hapa una mzungumzia Mbowe,lissu,mnyika & wafuasi watiifu!
Acha mipasho kama upo chitchat. Ninekuambia unapoandika habari zenye kuvuta hisia za watu punguza ujinga na andika kitu kikicho sahihiKakojoe ulale!
Unaniuliza wakati unawajua!Ndio, kwani wao ni nani labda?
Ndio maana nilikuambia vile nawe upunguze ujinga!Acha mipasho kama upo chitchat. Ninekuambia unapoandika habari zenye kuvuta hisia za watu punguza ujinga na andika kitu kikicho sahihi
Mtakufa nyie CHADEMA mpango wa Mungu.Pafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Ninawajua lakini siwasujudii. Huenda kwakuwa ww unasujudia viongozi wa ccm, basi unadhani Kila mtu ana udhaifu kama wako.Unaniuliza wakati unawajua!
Pafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Wakimchukua na MPINA watakuwa wamefanya la maana sana. Mpina ni Bonge la STRIKER 😀Pafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Bwana mdogo Tindo ungeniambia sio mfuasi wa chadema ningekuamini huna udhaifu huo lakini mpaka muda huu upo ndani ya koti la Mbowe!Ninawajua lakini siwasujudii. Huenda kwakuwa ww unasujudia viongozi wa ccm, basi unadhani Kila mtu ana udhaifu kama wako.
Tusubiri tuone!Wakimchukua na MPINA watakuwa wamefanya la maana sana. Mpina ni Bonge la STRIKER 😀
Hata ikiwezekana washike dola ila tatizo lipo kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo!Binafsi naona nchi ya Tanzania inahitaji ukombozi wa awamu ya pili baada ya ukombozi kutoka kwa mkoloni Mwingereza.
Lisu anatakiwa kuwa Mwenyekiti na Mboye atulie au akagombee ubunge.
CHADEMA wakiendesha siasa za kiharakati, hakika nchi itapata maendeleo kwa sababu CCM wanahitaji kuchangamshwa ili walete maendeleo.
Simaanishi nataka vita, la hasha, nataka siasa za kiharakati mfano kuikosoa serikali wazi wazi, maandamano serikali inapolala nk. Hii itawafanya viongozi wa CCM kushughulikia kero za wananchi!
Shida huna logic...huyo Jamaa anawaona pamoja mwanzisha thread wote wapuuziMzee wangu na wewe ukinywaga ulanzi wako wa kitanzini au zizi la ng'ombe unaanzaga mbwembwe zako😃😃
Kipara bila akili ni Sawa takoPafukapo moshi ujue kuna moto,
Za chini ya kapeti Makamu Mwenyekiti wa Chadema yupo, kwenye harakati za chini kwa chini kutaka kumpindua mwenyekiti na kukiongoza chama kama mwenyekiti.
Kikao chao cha siri inasemakana ameona Mbowe ni kikwazo chama kukamata dola hata kama sio kukamata ila chama kuendeshwa kiharakati zaidi kuliko uongozi wake Mbowe, ambaye chama kinafanya siasa za uoga .
Na inasemekana wanamtuhumu Mh Mbowe kuwa chama kimepokea mabilioni ili kutimiza matakwa ya kuwaweka wale watu wasio na siasa kali za kiharakati, hivyo makamu mwenyekiti kama atafanikiwa kuchukua madaraka amepanga kumvuta mwabukusi kama makamu wake, na katibu ni Dkt. Slaa.
Sisi tulio nje tunasema wacha wapasuane pesa haijawahi muacha mtu salama!
Chadema na ife kabisa Act ichukue nafasi!
Hakuna atakaye bakia!Mtakufa nyie CHADEMA mpango wa Mungu.