Kenyatta almwambia Nyerere anaongoza maiti, ni kweli. Nchi Haina umeme wa Dola watx wako bize na goli la axizi ki,Siyo mamluki bali anafahamu ya kuwa siasa za nguvu na mabavu ni ngumu kufanikiwa kwa Taifa letu
Lissu usiwe serious na siasa za wabogo . Wabongo wenyewe hawako serious. Mnowe anazijua hizi siasa msikilizeNdugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa ndugu Lissu anatarajia kuondoka na kuihama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa.hii ni baada ya
umepanic 🐒Ya Chadema yanakuhusu Nini mbwa koko wewe hangaika na maccm Yako Chadema IPO salama salimini na LISSU ni Chadema na Chadema ni LISSU!
acha upotoshaji,Lissu usiwe serious na siasa za wabogo . Wabongo wenyewe hawako serious. Mnowe anazijua hizi siasa msikilize
Imagine Sasa hivi hatuna umeme nchi nzima kwenye magroup yetu ya wasap tunajadili goli la axizi ki
Mtoto wa haramu ni haramu tu,halafu baba hajulikani chezea mtungo wewe.Utapona tu huo ukichaa wako maana naona unakutesa sana.
Mkuu siwezi kukupinga hata kidogo.Mbowe ni mamluki wa Ccm
kuwa mngwana,Bila chadema,tungekua tumekufa.kweli kabisa,mngeuza Hadi ikulu
Ulitaka niseme wewe ndie umesema??“Anasema” umeandika nyingi sana hadi zimeharibu muktadha wa andiko!
Ni ukweli na siyo uzushi.Hakuna shida, ila sio lichama fisadi la CCM ukihama watahakikisha wanakumaliza Kila kitu na kukufanya adui, kwenye siasa ni kawaida sana na hakuna tatizo lolote maana anayeamua mwishoni ni kura za wananchi, ila sio wezi wa CCM wasiojua uchaguzi maana yake nini, ni hii habari kutoka Kwa chawa mwenye njaa kuliko ombaomba ni uzushi tuu
Lisuu kaamua kuukataa unyumbu na ukondoo.Hizi propaganda za kuigawa CHADEMA ili kuisambaratisha mbona zilishindwa hata wakati wa Magufuri?
HhahahahahahahaaTundu Antipas Lisu kurejea NCCR mageuzi siyo Siri Hapa Mjini Mzizima 🐼
Kichaa weweEndelea kuwa mtulivu utajuwa tu kuwa anakwenda wapi.
Na yeye mwenyewe ajisalimie.Sawa.
Tuma salamu Kwa watu watano.
.
Lisuu kaamua kuukataa unyumbu na ukondoo.
Ila una moyo!!
CHADEMA mtabakia manyumbu na mahayawani msiojitambua.mtaburuzwa kama makondoo na kuswagwa kama ng'ombe.mtaendelea kuimbishwa mapambio kama makasuku.Jiambie mwenyewe moyoni mwako mara tatu, "MIMI NI MWEHU NINAYEFURAHIA UPUNGUANI WANGU"