Kama CCM ya wakati wa Jakaya Kikwete ilishindwa kuisambaratisha CHADEMA kwa propaganda za dizaini hii, sijui hii CCM ya "
Mama wa Ushungi" na yenye wana propaganda wenye
very low profile dizaini ya
Lucas Mwashambwa sijui watawezaje kuisambaratisha CHADEMA hii iliyokwisha simika mizizi yake kitaifa na kimataifa kwa utoto huu wa kipumbavu kiasi hiki..!
Na kama hata ile CCM ya
John P. Magufuli a.k.a
Jiwe iliyokuja na
combination ya wa mbinu zote
possible kuanzia propaganda za kusifia na kupaka mafuta viongozi wenu, kununua viongozi wa vyama vya upinzani, waliokataa walitekwa, wakateswa, wakatiwa vilema na wengine kuuwawa yote hiyo ikiwa ni mkakati wa aidha kuidhoofisha CHADEMA au kuiondoa kabisa katika suasa za Tanzania,
lakini haikuwezekana na badala yake mwasisi na msimamizi wa siasa hizi chafu yaani Rais John P. Magufuli alipotezwa yeye kwa kuuwawa kwa kifo cha kipumbavu kabisa...!
Lucas Mwashambwa mimi naamini humfahamu wala kumjua Tundu Lissu vyema.
Unafikiri Tundu Lissu ni mwanahakarati na mwanasiasa wa mzandiki na mnafiki dizaini ya kina Steven Wassira, Zito Kabwe, Lijualikali, Kangi Lugola, Nape Nnauye au Paul Makonda, NO WAY...HUJUI LOLOTE...
Ndugu
Lucas Mwashambwa, Tundu Lissu ni mtu very genuine sana, jasiri asiye na hofu, husimama kwenye kweli na hamwogopi yeyote kiongozi au binadamu wa gengeni..
Kama kuna ukweli kwenye sababu ulizozitoa hapo kma justification ya hoja yako, basi umekosea sana. Maana Tundu Lissu hahitaji mwana CCM dizaini yako aseme matatizo ya CHADEMA. Kama yapo, mwenyewe TL angesema na angesema mchana kweupe kuwa anaacha siasa au anaondoka CHADEMA na kwenda CCM au chama kingine chochote..
Kama hajasema hivyo yeye, basi wewe ni mwongo na mpiga propaganda tu kama wana CCM wengine wanaoihofia na kuiogopa CHADEMA..
Kwa heri🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻