Tetesi: Lissu kuhama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa

Sasa kam ni kichaka wewe huo moyo wa lisu kichaka chake umekijuaje.
Huna akili wewe
Huyu bwege ndiyo anapishana na teuzi kila siku kwa uzushi wake. Hii habari kila leo inaandikwa na wazushi wa CCM leo yeye kaifanya habari ya kiuchunguzi,mpumbavu sana huyu mshamba.
 
Pumbavu ,inakuhu nini lissu akiama chadema? Chadema sio mali ya mtu kama ambavyo ccm imekua genge la watu flani ,pumbavu
 
Pumbavu ,inakuhu nini lissu akiama chadema? Chadema sio mali ya mtu kama ambavyo ccm imekua genge la watu flani ,pumbavu
Wala haihitaji hasira bali ni kutulia tu kama unanyolewa. Utake usitake ndio hivyo Lissu ameona hawezi kukaa na ninyi manyumbu msio na akili.
 
Kama CCM ya wakati wa Jakaya Kikwete ilishindwa kuisambaratisha CHADEMA kwa propaganda za dizaini hii, hivi CCM ya "Mama wa Ushungi" na yenye wana propaganda wenye very low profile dizaini yako wewe Lucas Mwashambwa sijui mtawezaje na mtatumia mbinu gani iliyosalia kuisambaratisha CHADEMA hii iliyokwisha simika mizizi yake kitaifa na kimataifa kwa utoto huu wa kipumbavu kiasi hiki..!

Na kama hata ile CCM ya John P. Magufuli a.k.a Jiwe iliyokuja na combination ya wa mbinu zote possible kuanzia propaganda za kusifia na kupaka mafuta viongozi wenu, kununua viongozi wa vyama vya upinzani, waliokataa walitekwa, wakateswa, wakatiwa vilema na wengine kuuwawa yote hiyo ikiwa ni mkakati wa aidha kuidhoofisha CHADEMA au kuiondoa kabisa katika suasa za Tanzania, lakini haikuwezekana na badala yake mwasisi na msimamizi wa siasa hizi chafu yaani Rais John P. Magufuli alipotezwa yeye kwa kuuwawa kwa kifo cha kipumbavu kabisa...!

Lucas Mwashambwa mimi naamini humfahamu wala kumjua Tundu Lissu vyema.

Ni wazi kuwa unafikiri Tundu Lissu ni mwanahakarati na mwanasiasa mzandiki na mnafiki dizaini ya kina Samia Suluhu Hassan, Jakaya Kikwete, John P. Magufuli, Mwigulu Nchemba, Steven Wassira, Zito Kabwe, Lijualikali, Kangi Lugola, Nape Nnauye au Paul Makonda eti eeh??.....NO WAY...HUJUI LOLOTE. Na kama unabisha, basi jua tu kuwa hii ndoto yako itabaki mfukoni mwako mpaka ufe nayo..!

Ndugu Lucas Mwashambwa, Tundu Lissu ni mtu very genuine sana, jasiri asiye na hofu, husimama kwenye kweli na hamwogopi yeyote kiongozi au binadamu wa gengeni..

Kama kuna ukweli kwenye sababu ulizozitoa hapo kama justification ya hoja yako, basi umekosea sana...

Maana Tundu Lissu hahitaji mwana CCM dizaini yako aseme matatizo ya CHADEMA...

Kama yapo kweli, basi, mwenyewe TL angesema na angesema mchana kweupe huku TV zikirusha hewani statement yake kuwa anaacha siasa au anaondoka CHADEMA na kwenda CCM au chama kingine chochote..

Kama hajasema hivyo yeye, basi WEWE NI MWONGO na mpiga propaganda tu kama wana CCM wengine wanaoihofia na kuiogopa CHADEMA..

Kwa heri🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻
 
Leo umeandika habari ya Lissu kuhama wakati huwa unasema ni mropokaji na hana maana.

Wamekupunguzia posho tena?

Maana ulipunguziwa posho ukanuna hadi ukaacha kuweka namba baada ya kudai unapokea simu tu za watu kukuchora na kila uteuzi hupati.
 
CHADEMA ya enzi za Jakaya ilikuwa na Zitto Kabwe, Dr Slaa, Halima Mdee, Kitila Mkumbo, Marando, na vipaji vingine vya hali ya juu sana sio kama hii ambayo Mdude Nyagali ndo think-tank yenu. CHADEMA ile ya 2011 ilikuwa ya moto mno... vile vichwa vilikuwa hatari kwa kujenga hoja. CHADEMA ya sasa ni takataka.
 
Ningependa kukwambia tu kuwa Lissu hakuanzia siasa zake CHADEMA bali pale ni mhamiaji au wakuja tu.kwa hiyo yeye kuondoka na kuihama CHADEMA ni jambo la kawaida kwake. Kwani wangapi mliokuwa mnawaamini wameondoka CHADEMA? Lissu ndio atakuwa wa kwanza kuondoka? Kwa hiyo unataka aendelee kukaa ndani ya CHADEMA wakati yeye anasema haoni chama kikikata kiu yake ya kutaka mabadiliko mifuko ya kisiasa na kidemokrasia hapa nchini? Unataka abaki wakati anaona mwenyekiti wake kabadilika na hana misimamo inayoeleweka? Hujawahi kumisiki Lissu akipinga hadharani habari za maridhiano?
 
Leo umeandika habari ya Lissu kuhama wakati huwa unasema ni mropokaji na hana maana.

Wamekupunguzia posho tena?

Maana ulipunguziwa posho ukanuna hadi ukaacha kuweka namba baada ya kudai unapokea simu tu za watu kukuchora na kila uteuzi hupati.
Kwani akihama chama ndio ataacha kuropoka kama alikuwa ni mropokaji? Au hujaelewa hoja iliyopo hapa.
 
Sasa mbona wewe unaongelea nafsi ya mtu mwingine.... kama moyo wa mtu kichaka 😀 😀
Ndio maana nimewaleteeni habari ambazo ninyi kwenu ni chungu na hamuamini kama inaweza kutokea.bila kujuwa kuwa Lissu ni mhamiaji na wakuja tu ndani ya CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…