Tetesi: Lissu kuhama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa

Sema italeta matatizo kwa upinzani kwa sana ,itapunguza ushindani haswa lissu alidondoka na genge lake.
 
Kanye ulale mbweha wewe
 
acha upotoshaji,

yaan CCM na ukubwa wake ule, uzoefu, umahiri na ubobevu wake katika siasa za Tz namna ile , kwamba iitishe kikao cha kujadili kukasambaratisha kachadema au upinzani kwa ujumla, Kweli?🤣

acheni utani basi 🐒

hako kachadema kamekua tishio au kasumbufu tangu lini jamani mbele ya CCM imara namna ile...

hata hivyo,
hako kachadema kenyewe kana kila dalili ya kujisambaratisha kenyewe, ni suala la muda tu,

maridhiano, mgombea uenyekiti Taifa na urais205, usaliti, matumizi holela ya pesa za chama, uzalendo na ukibaraka vinatajwa kama miongoni mwa sababu ya msambaratiko huo unao nukia kwenye kachama hako 🐒
 
Kamtukane Lissu na siyo kuniletea hasira mimi .kama unahasira basi kunywa sumu ya panya UFE tu.
Ya Chadema yanakuhusu Nini mbwa koko wewe hangaika na maccm Yako Chadema IPO salama salimini na LISSU ni Chadema na Chadema ni LISSU!
 
Bila chadema,tungekua tumekufa.kweli kabisa,mngeuza Hadi ikulu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ni kuwa ndugu Lissu anatarajia kuondoka na kuihama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa.hii ni baada ya kutoridhika na mwenendo na aina ya siasa zinazoendeshwa na ndugu Mbowe. Lissu anaamini kuwa masuala mbalimbali
Nimeconcentrate kusoma thread ulivotaja jina lako tu nikaishia hspo sababu najua hakuna zuri uliloandika zaidi ya kumsifia mama yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…