Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Tunaweza tukavilaumu vyama kumbe tatizo ni wanachama wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo tatizo letu ngozi hii, UNAFIKI! Kila mtu anajifahya kuzungumzia 'kuukosa uenyekiti' katika kujaribu kutafuta uhalali wa kumshambulia Msigwa na kufurahisha 'herd' ya nyumbu wa mbowe, lakini kamwe hajuna anayezungumzia hoja za uharamia ulioasisiwa juu kabisa aliokuwa anafanyiwa!! ShidaLissu atakuwa kaumia sana, ila Mchungaji naye katumia hasira baada ya kuukosa uenyekiti kanda ya Nyasa. Nina Imani kabisa, atarudi tu tena Chadema... Time will tell...
Wanatuzuga tu!Usome mwenyewe
---
Siku chache tangu Mchungaji Peter Msigwa kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM), Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameeleza kusikitishwa na uamuzi huo akisema: “Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, sasa nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa.”
Lissu amesema hayo leo Jumanne Julai 2, 2024 ikiwa ni siku nne zimepita tangu Mchungaji Msigwa, aliyewahi kuwa mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Nyasa kutimkia CCM.
Msigwa alitambulishwa kuwa mwanachama mpya wa CCM Juni 30, 2024 mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, katika kikao kilichofanyika Ikulu, Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
MWANANCHI
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Acha umbea mtoto wa kiume utasomwa jicho hivi Tundu Lissu akiwa peke yake ni sawa mabasi mangapi ya wajumbe wa kamati kuu ccm? Hata mkijikusanya ccm woote bado uwezo wa Lissu utakuwa mkubwa saaaana more than thousand miles away!Lisu mwenyewe kama anakili kweli..anatakiwa atoke kwenye hiyo kampuni ya wachxga iliyovaa koti la chama cha kisiasa,bora aende ACT wazalendo..Lissu anatumika pale kama punda mbeba mizigo tu..ila bado hajitambui.
Sasa mtu kapewa hela za mama abduli unategemea angepata huo uwenyekiti kanda ya nyasa angefanya kazi ya nani? CHADEMA walipewa taarifa zote kutoka ccm wakapiga chini hilo jambazi na sasa limerudi kwa bosi wake alekuwa akimtuma. Watu husema muungwana akivuliwa nguo huchutama sasa yeye kaamua kutimua mbioNdo tatizo letu ngozi hii, UNAFIKI! Kila mtu anajifahya kuzungumzia 'kuukosa uenyekiti' katika kujaribu kutafuta uhalali wa kumshambulia Msigwa na kufurahisha 'herd' ya nyumbu wa mbowe, lakini kamwe hajuna anayezungumzia hoja za uharamia ulioasisiwa juu kabisa aliokuwa anafanyiwa!! Shida
Bila shaka unajua wanayoyapitia wapinzani sababu ya tofauti hizo.Tofauti za kiitikadi siyo uadui, ni mitazamo tofauti ya kufikia malengo.
Wewe ni mpumbav kabisa kwa hiyo katiba haigusi maisha ya watu? Kumbe ndo maana ccm mnakimbilia kwenye utekaji na ulozi, yaani kubwa zima umeolewa kumbe hujui hata bandar imeuzwa kwa kuegemea katiba mbovu halafu wewe hujui kama katiba imebeba maisha yako? Puuumbav kabisaKama nyumbu wenyewe huwa kuna kipindi wanahamia Masaimara kutokea Serengeti sasa ajabu ni ipo mwanasiasa akihama chama? Tatizo la upinzani hasa chadema wanajiona wao ni malaika na ndio wakombozi wa watanzania kumbe hamna lolote zaidi ya kukipigania chama zaidi ya watanzania. Kila siku wao wanapigania katiba mpya kwa ajili ya maslahi ya kisiasa badala kupigania mambo ya msingi ambayo ndio yanagusa maisha ya watu halafu eti wanataka watu waungane nao kwenye maandamano.
Inawasaidia nini wananchi ambao hawana hata uhakika wa milo mitatu?Moja ndio ila c unaona kabisa kuna sura mpya, kwan kwa hapo chini hua wanachapa form ngapi?
Duh!Tundu Lissu ameeleza kusikitishwa na uamuzi huo akisema: “Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, sasa nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa.”
Nikitazama ramani za siasa naona hakuna mtu anaye hofiwa zaidi sasa hivi huko CCM kuliko Tundu Lissu...wako wanaCcm wanamchukulia Tundu Lissu kama adui yao.
..ndio maana baadhi yao walijaribu kumuua.
..Na wengine wamegoma kuwachukulia hatua waliotaka kumuua.
Bidhaa ikishanunuliwa inatumiwa hairudishwi mnadani Tena.Lissu atakuwa kaumia sana, ila Mchungaji naye katumia hasira baada ya kuukosa uenyekiti kanda ya Nyasa. Nina Imani kabisa, atarudi tu tena Chadema... Time will tell...
Naungana nawe, lissu aende ACT - WAZALENDO!Lisu mwenyewe kama anakili kweli..anatakiwa atoke kwenye hiyo kampuni ya wachxga iliyovaa koti la chama cha kisiasa,bora aende ACT wazalendo..Lissu anatumika pale kama punda mbeba mizigo tu..ila bado hajitambui.
Kwani "uadui" ni kitu gani?Tofauti za kiitikadi siyo uadui, ni mitazamo tofauti ya kufikia malengo.
Akili huna wewe umejawa matusi tu, uwe unatumia akili kidogo. Sasa ngoja nikuelimishe kidogo wewe unayeishi kwa kufuata mkumbo wa wanasiasa. Kipaumbele cha wananchi sio katiba kama ilivyo kwa wanasiasa kwa sasa upo hapo? Wanasaiasa wanadai katiba kwa ajili ya uchaguzi na ndio maana Rais Kikwete alipowapa nafasi ya kaunda katiba mpya wanasiasa walivurugana huko bungeni hasa ccm na chadema wote walionekana kulinda maslahi ya vyama vyao kuliko kuweka mambo muhimu ya wananchi. CCM waliiangalia ni mambo gani yawepo kwenye katiba yatakayowafanya waendelee kutawala huku chadema wakitaka katiba ambayo itaweza kuwafanya wao waingie madarakani kiurahisi wanasahau ya kuwa watakaowafanya waingie madarakani ni wananchi na wala sio katiba mpya.Wewe ni mpumbav kabisa kwa hiyo katiba haigusi maisha ya watu? Kumbe ndo maana ccm mnakimbilia kwenye utekaji na ulozi, yaani kubwa zima umeolewa kumbe hujui hata bandar imeuzwa kwa kuegemea katiba mbovu halafu wewe hujui kama katiba imebeba maisha yako? Puuumbav kabisa
Muulize mumeoInawasaidia nini wananchi ambao hawana hata uhakika wa milo mitatu?
Duh! Wewe mpuuzi huna tofauti na mnyama wa porini na heri ungeishi porini kama wanyama wenzio wasio na akili. Binadamu aliyejaaliwa akili, hawezi kuandika ujinga kama huu wa kwako. Sidhani unaelewa hata Katiba ni nini. Ngoja niachie hapo kwani kujadiliana na wewe ni heri kujadiliana na meza au kiti!Sasa ngoja nikuelimishe kidogo wewe unayeishi kwa kufuata mkumbo wa wanasiasa. Kipaumbele cha wananchi sio katiba kama ilivyo kwa wanasiasa kwa sasa upo hapo?
Msigwa amefuata kanuni za wamarekani hawana Adui wakudumu wala rafiki wakudumu ila wana maslai ya kudumu msigwa alipo ona maslai yake yameisha CDM na wamemjenga kiasi cha kutosha akaamua kuhamia CCM ili akapate maslai mapya nako maslai yakiisha anaweza akaimarisha kanisa lake na huko akaendelea kupata maslai. Kwahiyo ni mru anayepiga mahesabu mazuri kwa ajili ya maslai yake na familia yake. Wenzake wakina Katambi waitara wanakula kuku tu yeye amechelewa angehamia kipindi cha Magufuli huwenda hivi sasa angekuwa mbali kimaslai.Usome mwenyewe
---
Siku chache tangu Mchungaji Peter Msigwa kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM), Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameeleza kusikitishwa na uamuzi huo akisema: “Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, sasa nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa.”
Lissu amesema hayo leo Jumanne Julai 2, 2024 ikiwa ni siku nne zimepita tangu Mchungaji Msigwa, aliyewahi kuwa mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Nyasa kutimkia CCM.
Msigwa alitambulishwa kuwa mwanachama mpya wa CCM Juni 30, 2024 mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, katika kikao kilichofanyika Ikulu, Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
MWANANCHI
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM