hewamkaa
Member
- Mar 30, 2023
- 85
- 127
Na
Na inasikitisha kuona jinsi Msigwa alivyotembezwa katikati ya high table, wakati wa kutambulishwa kwenye chama mithili miss TanzaniaLissu atakuwa kaumia sana, ila Mchungaji naye katumia hasira baada ya kuukosa uenyekiti kanda ya Nyasa. Nina Imani kabisa, atarudi tu tena Chadema... Time will tell...