Pre GE2025 Lissu kuhusu Msigwa kuhamia CCM: Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na
Lissu atakuwa kaumia sana, ila Mchungaji naye katumia hasira baada ya kuukosa uenyekiti kanda ya Nyasa. Nina Imani kabisa, atarudi tu tena Chadema... Time will tell...
Na inasikitisha kuona jinsi Msigwa alivyotembezwa katikati ya high table, wakati wa kutambulishwa kwenye chama mithili miss Tanzania
 
Huyo hapo analia kujutia upuuzi aliofanya. Kalipwa mamia ya mamilioni lakini hana amani ya moyo
Watu wanasema pesa sabuni ya roho lakini pesa ya Mama Abdul kwa Msigwa imekuwa shubiri hana amani kabisa, ndugu zake wamchunge sana asije akajinyonga kama alivyofanya Yuda baada ya kupokea hela za malipo ya kumsaliti Bwana Yesu.
 
Lissu kaumia sana na Lema alilia sana kuhusu Msigwa kuhamia CCM, ila najua kabisa wazi. Lissu au Lema wanajua kabisa wana uchungu mkubwa ndani ya Chadema hakuna demokrasia ya kweli hasa katika kumpata Mwenyekiti wao au hata wenyeviti wa kanda, ni rushwa sana, ubabe sana na ukitaka kugombea uenyekiti Taifa wa Chadema basi wewe utakuwa msaliti mkubwa sana..!! Ni sbb tu hawana pa kwenda wanakufia na tai shingoni huko huko Chadema..!!
 
Kikubwa amehama baada ya kula mkwanja pesa nzuri hata ingekuwa ni mimi. ila anyamaze kimya akiwa anameza alichokula. pitia tend ya Musukuma
 
Hayo ni mawazo yako je fomu moja ya Rais CCM haiwaumi wengine. Demokrasia ni ngumu sana
 
Atakaa sawa tu na yeye asiishi maisha ya maigizo
 
Akili huna wewe umejawa matusi tu, uwe @konyola unatumia akili kidogo.

Sasa ngoja nikuelimishe kidogo wewe unayeishi kwa kufuata mkumbo wa wanasiasa.

Kipaumbele cha wananchi sio katiba kama ilivyo kwa wanasiasa kwa sasa upo hapo?

100%✓
Yaani☝🏿huo ndio ukweli. Wanaumia chawa wa CHADEMA😂
Katiba mpya haiwezi ondoa njaa wala tatizo la ajira, au kuleta maendelo kama mnavyoaminishwa, hayo mambo yanaletwa na kiongozi mwenye uzalendo, maono na utashi.
100%✓
Kenya waliunda katiba mpya kule kwao lakini haijaweza kuondoa njaa na tatizo la ajira kwa vijana na unaona kinachomtokea Ruto huko.
Hakika
Mnachotaka nyie ni katiba atakayiruhusu maandamano na kwenda mahakamani mkishindwa uchaguzi na huo ndio ukweli, mpo kwa ajili ya kutafuta vyeo, madaraka na kujaza wabunge wengi huko bungeni na wala sio kwa maslahi yetu sisi wananchi
Inatakiwa Watanzania wote wasome hapo Juu☝🏿
hili tuliligundua pale mlipo mpinga JPM kwa kila jambo hata lenye maslahi kwa nchi.
Walimuua. Uchunguzi utafanyika. Na ni lazima ufanyike.
Hivi sasa watu wamepoteza imani na nyie ndio maana mama kawapa nafasi ya kuandama kama mlivyokuwa mnadai muda wote mmekosa waandamanaji mmeacha.
Wananchi washagundua hawa CHADEMA ni vInara wa siasa za majitaka tu. Hawana sera
===================

Kazia hapo hapo Mkuu.

Wanakuelewa hawa manyumbu ila wanajiondoa ufahamu tu.

Na ukitaka kujua ujumbe wako umefika, tizama mitusi yao juu ya ulichokiandika.

Kanyaga piga ua. Kazia hapo hapo. Konyo zao kabisa.
 
Atakaa sawa tu na yeye ipo siku mtamsikia na yeye kahamia ccm
 
Lissu inaonekana hana washauri wazuri kisiasa na qnatumia sana hisia kwenye siasa kuliko akili.
 
Lisu mwenyewe kama anakili kweli..anatakiwa atoke kwenye hiyo kampuni ya wachxga iliyovaa koti la chama cha kisiasa,bora aende ACT wazalendo..Lissu anatumika pale kama punda mbeba mizigo tu..ila bado hajitambui.
Lissu asipozingatia huu ushauri wako atakuja kujuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…