Pre GE2025 Lissu: Kukaa na Wassira ni kupoteza muda, kama kuna la kujadili tutajadili na Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maana yake: Lisu haongei na mbwa ila anaongea na mwenye mbwa. Credit: Manji
 
Na bahati mbaya sana Rais Samia Hana muda wa kukutana nae
 
Angeshukuru ht kupata hiyo nafasi. Aache egoism na utoto.
 
Mia.....naunga mkono hoja hilo propaganda tu atakupozea muda wako hapo yeye anasogeza muda tu.....hana cha kupotezaaa
 
Sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…