LGE2024 Lissu: Kukamatwa kwa Mbowe iwe fundisho tusirudie kudanganywa danganywa

LGE2024 Lissu: Kukamatwa kwa Mbowe iwe fundisho tusirudie kudanganywa danganywa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Dr. Martin Luther King Jr.
 
Back
Top Bottom