Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ndogo ni sumu ya mwil mkuuKongole kwa vyombo vyetu vya usalama...!
Ndiyo,
Na huu ndio ukweli. Hii Ccm sio wa kuwaamini kwenye lolote.
Atakuwa na mwisho mchungu kama shubiri.Huyu mzanzibar ananyanyasa sn ndugu zetu
Ni kweli kabisa,kwa sababu kama tungekuwa na Katiba bora inayotokana na wananchi Watanganyika tusingetawaliwa na Mzanzibari.kiini cha tatizo ni kuwepo kwa Katiba mbaya Sana katika nchi hii.
SureBali kiini cha tatizo ni kuwepo kwa Katiba mbaya Sana katika nchi hii.
Lissu amevurugwa anapiga spana nje na ndaniHizi ni jumbe kwa wote wawili, Mbowe na Samia. Mbowe iwe mwisho kudanganywa danganywa
Lissu kashaona Mbowe hawezi kuongoza mabadiliko maana ni mtu wa kwenda mbele hatua 5 na kurudi nyuma hatua 7Ukimaikiliza kwa umakini nj kwamba Lissu anachekelea tumboni kwa Mbowe kukamatwa🐼