4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu yupo kazini mkuu ,Nakupa siku 87 ,tunza hii anzia sasa.ndugu zetu wananyanyaswa
Iliyowekwa na Nyererekiini cha tatizo ni kuwepo kwa Katiba mbaya Sana katika nchi hii.
Dini gani?Angalau yeye ana imani ya dini moyoni
GoodWatanganyika tuamke kudai uhuru wetu kutoka kwa makoloni Mzanzibari
Hakuna kitu mkuu, haya majitu ni mashirikina balaaMungu yupo kazini mkuu ,Nakupa siku 87 ,tunza hii anzia sasa.
Mungu yupo kazini
policcm! nilifurahi sana jinsi yule polisi alivyotolewa mkuku akimfuta Mdude mkutanoni!Ila nyie majamaa bwana.
Sasa Mratibu wa ratiba ni nani?
Polisi
Tume
Aaau
Serikali
Mkuu nakuelewa ila ni nikuombe tu ,tunza hii, hii ni ya kimamlaka ya kimbigu wala sio mie 4 7 mbatizaji , wapige tunguli wawezavyo tukutane ndani ya siku 87Hakuna kitu mkuu, haya majitu ni mashirikina balaa
Ni ndoto tu mkuu wala hakuna kitu kitatokeaMkuu nakuelewa ila ni nikuombe tu ,tunza hii, hii ni ya kimamlaka ya kimbigu wala sio mie 4 7 mbatizaji , wapige tunguli wawezavyo tukutane ndani ya siku 87
Polendugu zetu wananyanyaswa
Kwa ujio wa hivi vyuma ccm ,hapalaliki , kosa wamefanya ccm kujitangaza mapema kabla ya kusoma upepo, ICC watajaa sana watu kama uchaguzi utafanyika , wazee wangu katika mfumo sukumeni kete kwa tadhali kubwa , hasa wewe mzee wangu ,sie kama familia bado twakuhitaji sana ,mzee wangu, ukiona vipi piga chini kazi, kama umetukuza nakufika hatua hii, tunashindwaje kukutunza mzee, hatuwezi shindwa kukutunza kama ambavyo umetutunza , tunao uwezo wa kukulipa mshahara wa kila mwezi utakao mzee wetu,
HaisaidiiPole