Mkuu division IV na 0 popote huwa hazijifichi kuonyesha uwezo wao.Kwa lipi sasa kibaka wewe?
Si unawaona hao polisi na boss wao mama Abduli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu division IV na 0 popote huwa hazijifichi kuonyesha uwezo wao.Kwa lipi sasa kibaka wewe?
Hela gani unazosema wewe mbona unadandia treni kwa mbele?Hakuna mwisho mbaya, rudisheni pesa. Mnataka kula pesa alafu muendelee na ukaidi wa kupinga pinga, hiyo haipo
Mbona tayari ni suala la muda tu na dalili zote zimeshaonekanaTumloge kwa kumloga asee
Nani asiehusika anavurugiwa utaratibu? Je amelalamika?ukivuruga ratiba za kampeni maana yake unavuruga shughuli na kazi za wengine wasio husika na kampeni zako.
Lazima wakati kampeni zinaendelea na shughuli za wasio husika zinaendelea kwa amani bila fujo.
kukiuka ratiba a kukaidi maelekezo ni kuchochea vurugu na kuvuruga amani katika eneo husika.
Ustaarabu ni kitu cha bure 🐒
4Rs ni danganya Toto hakuna kitu zindukeni ni uongo.
hakuna haja ya vyombo vya ulinzi na usalama eti kusubiri uharibifu utokee au malalamiko ya waathirika ndipo vichukue hatua. Hilo litakua sio jeshi sasa.Nani asiehusika anavurugiwa utaratibu? Je amelalamika?
Watanzania ni watu waliostaarabika hawawezi kufanya muwazanyo nyiehakuna haja ya vyombo vya ulinzi na usalama eti kusubiri uharibifu utokee au malalamiko ya waathirika ndipo vichukue hatua. Hilo litakua sio jeshi sasa.
yaani usuburi uharibifu ndio uchukue hatua? hiyo itaku ni useless na completely nonsense sasa, alaaa 🐒
vyombo vya ulinzi na usalama vinatekeleza majukumu yao mazito kwa mujibu wa sheria, kanuni na tararibu zilizoko,Watanzania ni watu waliostaarabika hawawezi kufanya muwazanyo nyie
Mbona Mbowe,lockup ni second house kwake huksa kuwa naye as much as you can.Tuko chini ya miguu yenu tunaomba mtuachie mbowe alale lockup leo tu
Huyu mzanzibar ananyanyasa sn ndugu zetu
Watanganyika tuamke kudai uhuru wetu kutoka kwa makoloni MzanzibariHuyu mzanzibar ananyanyasa sn ndugu zetu
Ccm wamefika mbinu ya mwisho....hii inaelekea kufeli je wanayo nyingine?
Hapo ulipo wewe, unalo wazo gani kichwani unaloweza kuwa shauri CHADEMA walifanye sasa hivi kuliko wanavyo fanya.Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."
Dr. Martin Luther King Jr.