Ila nyie majamaa bwana.Ndiyo,
Iwe fundisho kwa kiongozi yeyote wa kisiasa atakae kiuka utaratibu na ratiba za kampeni za Uchaguzi wa serikali za mitaa zinazoendelea π
Mtu aliefilisika akili zipo kwenye ubaguz ww unamwacha aonekane mjingaBali kiini cha tatizo ni kuwepo kwa Katiba mbaya Sana katika nchi hii.
Tatizo la Mbowe ni "mstaarabu"Lissu kashaona Mbowe hawezi kuongoza mabadiliko maana ni mtu wa kwenda mbele hatua 5 na kurudi nyuma hatua 7
Ratiba za vyama vyote vya siasa nchini ziko polisi, na vyama vyote wanazo nakala ya ratiba hizo, ambazo ikiwa chama kinahitaji marekebisho, wanawasilisna na polisi kisha wanaokubaliana cha kufanya ili kuwepo na ulinzi wa wanaoshiriki kampeni hizo.Ila nyie majamaa bwana.
Sasa Mratibu wa ratiba ni nani?
Polisi
Tume
Aaau
Serikali
Lakini Lissu naye amempasua Mbowe kuwa ajifunze kudanganywa na ccm kuhusu mwafakaAtakuwa na mwisho mchungu kama shubiri.
Ndio wamkamate si wangemwelekeza tuRatiba za vyama vyote vya siasa nchini ziko polisi, na vyama vyote wanazo nakala ya ratiba hizo, ambazo ikiwa chama kinahitaji marekebisho, wanawasilisna na polisi kisha wanaokubaliana cha kufanya ili kuwepo na ulinzi wa wanaoshiriki kampeni hizo.
sasa hii ya kukurupuka kama nyumbu, ndiyo hii inayodhibitiwa na haiwezi kuruhusuwa hata kidogo π
Wananchi mngekua mnawapa ushirikiano dhabiti mbona ungeona wakitimiza yao kwa usawaChadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
Ikiwa Kama Ccm inatumia majeshi yake ya Polisi na Tiss, Je, na nyinyi nao mnashindwa Nini kutumia ya kwenu???
"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."
Dr. Martin Luther King Jr.
hataki kuelekezwa, anakaidi kila anachoambiwa, na halii hiyo ikazidisha wasiwasi juu ya lengo lake, na kulazimu vyombo vya ulinzi na usalama kulazmika kumchukulia hatua ya kumdhibiti na kumtia nguvuni ili asiharibu ratiba za wengine.Ndio wamkamate si wangemwelekeza tu
Arudishe pesa alizochukua. Hakuna pesa ya bure bureHizi ni jumbe kwa wote wawili, Mbowe na Samia. Mbowe iwe mwisho kudanganywa danganywa
Hakuna mwisho mbaya, rudisheni pesa. Mnataka kula pesa alafu muendelee na ukaidi wa kupinga pinga, hiyo haipoAtakuwa na mwisho mchungu kama shubiri.
MI naamini ifafaa pale ambapo uchaguzi utakuwa umekwishafanyikahataki kuelekezwa, anakaidi kila anachoambiwa, na halii hiyo ikazidisha wasiwasi juu ya lengo lake, na kulazimu vyombo vya ulinzi na usalama kulazmika kumchukulia hatua ya kumdhibiti na kumtia nguvuni ili asiharibu ratiba za wengine.
ataachiwa itakapoonekana ina faa π
Kwa lipi sasa kibaka wewe?Kongole kwa vyombo vyetu vya usalama...!
ukivuruga ratiba za kampeni maana yake unavuruga shughuli na kazi za wengine wasio husika na kampeni zako.MI naamini ifafaa pale ambapo uchaguzi utakuwa umekwishafanyika
Na hayo maridhiano uchwara Mbowe ndio alikuwa anayatetea. Lisu aliwaambia huo ni utapeli hawakusikia wakawa wanamuona extremist, acha wamtandike mpaka ajue urafiki wa kinafiki haulipi.
Kongole kwa kuonyesha upumbavu wako .Kongole kwa vyombo vyetu vya usalama...!