Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Whoah! Good move. Garnering the international support. As well as being brave, this man is very shrewd.Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
IndeedMtazamo na mawazo ya kitumwa!
Tundu Lisu awe chachu ya ukombozi
Anakomboa nini? mtarukwa na kichaaTundu Lisu awe chachu ya ukombozi
Yuko mkoloni anaitwa chichiem, nawe waweza kuwa mmojawapo period!Ukombozi?kwani tuko chini ya koloni lipi ? Cheap politics
UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHIJamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Mzee mizani unayotumia ni IPI? Hivi kati ya mtu anayeua watu na anayesema kuna mtu anayeua watu, yupi anadhalilisha nchi. Wacheni hizi fikra nyepesiSijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu