acha kuchanganya madawa km huna hoja bora ujinyamazie
..nyinyi mnaogopa Kiingereza.
..Hata Mabalozi mliwahi kuwakimbia.
..mnachoweza ni kukutana na Babu Seya, child rapist.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kuchanganya madawa km huna hoja bora ujinyamazie
huna lolote kiingereza si lugha pekee duniani na kila mtu ana lugha anayoielewa si lazima ufahamu kila lugha..nyinyi mnaogopa Kiingereza.
..Hata Mabalozi mliwahi kuwakimbia.
..mnachoweza ni kukutana na Babu Seya, child rapist.
huna lolote kiingereza si lugha pekee duniani na kila mtu ana lugha anayoielewa si lazima ufahamu kila lugha
Amini amini nakuambia, mwanaume anaye shindwa kumfikisha mkewe kilele cha raha anaiweka ndoa matatizoni, lakini mwanamke anaye amua kutangaza udhaifu huu mtaani anaua ndoa asubuhi SAA tatu.
Tundu Lissu ni aibu ya taifa hili.
wewe mwenyewe si mkamilifu kwenye lugha hizo,nyani haoni kundule...kiingereza mgogoro.
..kiswahili matatizo.
.." tuna ... wa ajabu kupata kutokea Tz."
wewe mwenyewe si mkamilifu kwenye lugha hizo,nyani haoni kundule.
Poa kikubwa ukweli utawaleKwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
Kumbuka hao jmaa hawashindwi kitu. Kma ccm wameweza kuiba uwezo wako wa kufikir sasa wazungu wakiamua si hta jicho wanaweza kukuomba na ukawapa.Kwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
binadamu hawalingani au hilo nalo unahitaji torch kuliona?..kwa nafasi ile, nikimlinganisha na wenzake, hakika huyu ni wa ajabu kwelikweli.
binadamu hawalingani au hilo nalo unahitaji torch kuliona?
wewe mwenye kiswahili fasaha na kiingereza kizuri una nini zaidi yake?..kweli.
..hazungumzi kiswahili fasaha.
..kiingereza ndiyo kibovu kabisa.
..ni ...wa ajabu.
Pia kumbuka mtu wa Magogoni alitoa kauli kuwa Tanzania itatoa misaada kwa nchi zingine. Ina maana Tanzania ya Mtu wetu haihitaji misaada kwa hiyo Lisu anatekeleza au anaunga mkono kauli ya MagogoniMimi simjui aliyemshambulia ila nnachojua huyu jamaa aliomba nchi wafadhili waache kuisadia tanzania..
wewe mwenye kiswahili fasaha na kiingereza kizuri una nini zaidi yake?
mm siko huko..mimi siyo fisadi na mwizi kama yeye.
Dah ...Trump was right[emoji41]Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Mpaka leo huyo Lisu bado hajafanya mazungumzo na wazungu wake? Mbwembwe nyingii kumbe ni hewa tupu.Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA